Tanzania hatujawahi kuwa na Marais au Mawaziri ambao kabla ya madaraka waliwahi kuendesha mradi wowote na wakafanikiwa

Tanzania hatujawahi kuwa na Marais au Mawaziri ambao kabla ya madaraka waliwahi kuendesha mradi wowote na wakafanikiwa

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
Tuwe wakweli tu kama unamjua yeyote ambaye kabla ya kuwa mbunge, waziri au rais aliwahi kuendesha mradi wowote na ukafanikiwa.

Inawezekana ndio maana Tanzania yetu inaendelea kuwa chini tu badala ya kwenda juu.

Kwa sababu inaendeshwa na watu ambao uwezo wa kuendesha jambo lolote likafanikiwa hawajawahi kufanya.

Mtu kama huyu ataiba tu kodi zetu.

We fikiria pesa nyingi inalipa mishahara mizuri na ya maendeleo ni kidogo tu.

Hapa kukua juu kiuchumi tutakusikia kwa Usa, china, India, japani na England.
 
tuwe wakweli tu kama unamjua yeyote ambaye kabla ya kuwa mbunge, waziri au rais aliwahi kuendesha mradi wowote na ukafanikiwa.

inawezekana ndio maana Tanzania yetu inaendelea kuwa chini tu badala ya kwenda juu.

kwa sababu inaendeshwa na watu ambao uwezo wa kuendesha jambo lolote likafanikiwa hawajawahi kufanya.

mtu kama huyu ataiba tu kodi zetu.

we fikiria pesa nyingi inalipa mishahara mizuri na ya maendeleo ni kidogo tu.

hapa kukua juu kiuchumi tutakusikia kwa Usa, china, India, japani na England.
Nazir Karamagi
 
tuwe wakweli tu kama unamjua yeyote ambaye kabla ya kuwa mbunge, waziri au rais aliwahi kuendesha mradi wowote na ukafanikiwa.

inawezekana ndio maana Tanzania yetu inaendelea kuwa chini tu badala ya kwenda juu.

kwa sababu inaendeshwa na watu ambao uwezo wa kuendesha jambo lolote likafanikiwa hawajawahi kufanya.

mtu kama huyu ataiba tu kodi zetu.

we fikiria pesa nyingi inalipa mishahara mizuri na ya maendeleo ni kidogo tu.

hapa kukua juu kiuchumi tutakusikia kwa Usa, china, India, japani na England.
Kigwangala herbal clinic...huyu bwana kigwangala hamis alikua na herbal clinic hapo nzega na mkoani Tabora na amefanya / alifanya vyemaa TU
 
tuwe wakweli tu kama unamjua yeyote ambaye kabla ya kuwa mbunge, waziri au rais aliwahi kuendesha mradi wowote na ukafanikiwa.

inawezekana ndio maana Tanzania yetu inaendelea kuwa chini tu badala ya kwenda juu.

kwa sababu inaendeshwa na watu ambao uwezo wa kuendesha jambo lolote likafanikiwa hawajawahi kufanya.

mtu kama huyu ataiba tu kodi zetu.

we fikiria pesa nyingi inalipa mishahara mizuri na ya maendeleo ni kidogo tu.

hapa kukua juu kiuchumi tutakusikia kwa Usa, china, India, japani na England.
Ku-run nchi na kuendesha mradi ni vitu viwili tofauti. Kwanza wengi ya hawa wenye miradi ni watu wa shortcut na wamepata mafanikio kwa njia haramu. Tanzania tunahitaji katiba nzuri ili tuwe na urahisi wa kuchagua kiongozi mzuri na kumuondoa iwapo atazembea.
 
h
Ku-run nchi na kuendesha mradi ni vitu viwili tofauti. Kwanza wengi ya hawa wenye miradi ni watu wa shortcut na wamepata mafanikio kwa njia haramu. Tanzania tunahitaji katiba nzuri ili tuwe na urahisi wa kuchagua kiongozi mzuri na kumuondoa iwapo atazembea.
huoni kama hao wanaojua shortcut za mafanikio wanatufaa sana kuwa viongozi katika taifa letu? ili na taifa nalo likue juu kiuchumi
 
Kigwangala herbal clinic...huyu bwana kigwangala hamis alikua na herbal clinic hapo nzega na mkoani Tabora na amefanya / alifanya vyemaa TU
Mkuu wacha kupotosha.

Kingwangala herbalist wa Tabora siyo huyo Waziri Kigwangala.

Hayo ni majina yenye kufanana tu, lakini watu ni tofauti.

Waziri Kigwangala kazaliwa Puge wilaya ya Nzega huko, wala Tabora hajulikani.
 
Mkuu wacha kupotosha.

Kingwangala herbalist wa Tabora siyo huyo Waziri Kigwangala.

Hayo ni majina yenye kufanana tu, lakini watu ni tofauti.

Waziri Kigwangala kazaliwa Puge wilaya ya Nzega huko, wala Tabora hajulikani.
🤣🤣🤣 aisee hatari sana
 
Ku-run nchi na kuendesha mradi ni vitu viwili tofauti. Kwanza wengi ya hawa wenye miradi ni watu wa shortcut na wamepata mafanikio kwa njia haramu. Tanzania tunahitaji katiba nzuri ili tuwe na urahisi wa kuchagua kiongozi mzuri na kumuondoa iwapo atazembea.
Mtazamo mbaya wa Kitanganyika kwamba ukifanikiwa kwenye private sector wewe ni mwizi.

Marekani imewahi ongozwa majenerali wazuri wastaafu, wanasheria wakubwa, wafanyabiashara na hadi sasa Rais mteule ni mfanyabiashara, bondia kama Abraham Lincoln, mwigizaji wa filamu kama Ronald Reagan na hawa wote walifanikiwa kwenye fani zao.

Hufyatuki uko ukagombea Urais na hujawahi fanikiwa kwenye jambo lolote ulilofanya. Wala huji kugombea wakasema wewe ni tajiri hivyo ni mwizi, Rais Ford alikuwa billionaire na alifanya sera nyingi nzuri zinazohusiana na sheria za kazi. Hata sheria ya siku 5 za kazi, saa 8 za kazi, siku mbili za weekend aliianzisha yeye huku wakosoaji wakiipinga vikali.

Ford aliianzisha kwenye kiwanda chake, Ford akiwa mmiliki wafanyakazi wake waliweza jenga nyumba, miliki gari na kulea familia huku mama akiwa wa nyumbani. Wamefuata Marais hao unaoita sio wezi wakaharibu.

Israel viongozi wao hasa Waziri Mkuu aliwahi fanikiwa kwenye jambo lao kuu, ulinzi na usalama.
Sasa sisi mtu alikuwa UVCCM, mjumbe wa sijui nini, kaimu, mkuu wa wilaya, boom Waziri alafu leo Wizara ya Afya, kesho Wizara ya Michezo na kote uko hajui kitu.
 
Mtazamo mbaya wa Kitanganyika kwamba ukifanikiwa kwenye private sector wewe ni mwizi.

Marekani imewahi ongozwa majenerali wazuri wastaafu, wanasheria wakubwa, wafanyabiashara na hadi sasa Rais mteule ni mfanyabiashara, bondia kama Abraham Lincoln, mwigizaji wa filamu kama Ronald Reagan na hawa wote walifanikiwa kwenye fani zao.

Hufyatuki uko ukagombea Urais na hujawahi fanikiwa kwenye jambo lolote ulilofanya. Wala huji kugombea wakasema wewe ni tajiri hivyo ni mwizi, Rais Ford alikuwa billionaire na alifanya sera nyingi nzuri zinazohusiana na sheria za kazi. Hata sheria ya siku 5 za kazi, saa 8 za kazi, siku mbili za weekend aliianzisha yeye huku wakosoaji wakiipinga vikali.

Ford aliianzisha kwenye kiwanda chake, Ford akiwa mmiliki wafanyakazi wake waliweza jenga nyumba, miliki gari na kulea familia huku mama akiwa wa nyumbani. Wamefuata Marais hao unaoita sio wezi wakaharibu.

Israel viongozi wao hasa Waziri Mkuu aliwahi fanikiwa kwenye jambo lao kuu, ulinzi na usalama.
Sasa sisi mtu alikuwa UVCCM, mjumbe wa sijui nini, kaimu, mkuu wa wilaya, boom Waziri alafu leo Wizara ya Afya, kesho Wizara ya Michezo na kote uko hajui kitu.
Huu mtazamo wa ''kitanganyika'' kuwa ukifanikiwa private sector wewe ni mwizi ni muhimu sana japo mara nyingi siyo hivyo. Na mimi sisemi kuwa kila mfanyabiashara ni mwizi au hawezi kuongoza. Lengo langu ni kumwonyesha mwanzisha thread kuwa siyo lazima ukifanikiwa kwenye biashara basi wewe ni kiongozi mzuri. Vivyo hivyo, utajiri haumaanishi kuwa utakuwa kiongozi mbaya. I mean nataka tujikite kwenye tatizo linasababisha hasa tunashindwa ki-uongozi na tusipotoshe. Turudi kwenye katiba nzuri tuache kupotosha.
 
Huu mtazamo wa ''kitanganyika'' kuwa ukifanikiwa private sector wewe ni mwizi ni muhimu sana japo mara nyingi siyo hivyo. Na mimi sisemi kuwa kila mfanyabiashara ni mwizi au hawezi kuongoza. Lengo langu ni kumwonyesha mwanzisha thread kuwa siyo lazima ukifanikiwa kwenye biashara basi wewe ni kiongozi mzuri. Vivyo hivyo, utajiri haumaanishi kuwa utakuwa kiongozi mbaya. I mean nataka tujikite kwenye tatizo linasababisha hasa tunashindwa ki-uongozi na tusipotoshe. Turudi kwenye katiba nzuri tuache kupotosha.
Kumbuka katiba inaendeshwa na watu.Mnaweza kuwa na katiba nzuri sana na sheria nzuri lkn utayari wa wananchi wenyewe kuanzia kiakili - kichwani na kimtazamo kutekeleza hayo maelekezo inaweza kuwa changamoto.
Unakumbuka kesi ya kina Mbowe na suala la PGO??.Utaratibu upo lkn haufuatwi - mambo yanakaa kwenye makabrasha tu..
Pia mtu aliyesimamia biashara akatoboa na kuikuza ikawa kitu kinachosaidia maisha ya watu wengi - usifikiri ni mtu mwepesi hata kidogo.Kuanzia uwezo wa kuhimili taabu, mateso, uwezo wa kujiongoza au kuongoza wengine, uwezo wa kuwa na maomo na kuyasimamia licha ya vishawishi vingi na pressure hasi kutoka ndugu, jamaa na marafiki.
Mtu kama huyo kumuweka serikali tena ambapo tayari kuna miongozo atapush parefu sana - real life experience usicheze nayo.
Naona mama alianza kawatoa watu private huko na kuwaleta serikalini..lengo ndo hilohilo kuleta nidhamu ya kazi, kufanya kazi kwa malengo etc..na sio bora liende tu..
 
Mtazamo mbaya wa Kitanganyika kwamba ukifanikiwa kwenye private sector wewe ni mwizi.

Marekani imewahi ongozwa majenerali wazuri wastaafu, wanasheria wakubwa, wafanyabiashara na hadi sasa Rais mteule ni mfanyabiashara, bondia kama Abraham Lincoln, mwigizaji wa filamu kama Ronald Reagan na hawa wote walifanikiwa kwenye fani zao.

Hufyatuki uko ukagombea Urais na hujawahi fanikiwa kwenye jambo lolote ulilofanya. Wala huji kugombea wakasema wewe ni tajiri hivyo ni mwizi, Rais Ford alikuwa billionaire na alifanya sera nyingi nzuri zinazohusiana na sheria za kazi. Hata sheria ya siku 5 za kazi, saa 8 za kazi, siku mbili za weekend aliianzisha yeye huku wakosoaji wakiipinga vikali.

Ford aliianzisha kwenye kiwanda chake, Ford akiwa mmiliki wafanyakazi wake waliweza jenga nyumba, miliki gari na kulea familia huku mama akiwa wa nyumbani. Wamefuata Marais hao unaoita sio wezi wakaharibu.

Israel viongozi wao hasa Waziri Mkuu aliwahi fanikiwa kwenye jambo lao kuu, ulinzi na usalama.
Sasa sisi mtu alikuwa UVCCM, mjumbe wa sijui nini, kaimu, mkuu wa wilaya, boom Waziri alafu leo Wizara ya Afya, kesho Wizara ya Michezo na kote uko hajui kitu.
asante mkuu kwa comment bora sana
 
Back
Top Bottom