Tanzania hatujawahi kuwa na Marais au Mawaziri ambao kabla ya madaraka waliwahi kuendesha mradi wowote na wakafanikiwa

Tanzania hatujawahi kuwa na Marais au Mawaziri ambao kabla ya madaraka waliwahi kuendesha mradi wowote na wakafanikiwa

Mtazamo mbaya wa Kitanganyika kwamba ukifanikiwa kwenye private sector wewe ni mwizi.

Marekani imewahi ongozwa majenerali wazuri wastaafu, wanasheria wakubwa, wafanyabiashara na hadi sasa Rais mteule ni mfanyabiashara, bondia kama Abraham Lincoln, mwigizaji wa filamu kama Ronald Reagan na hawa wote walifanikiwa kwenye fani zao.

Hufyatuki uko ukagombea Urais na hujawahi fanikiwa kwenye jambo lolote ulilofanya. Wala huji kugombea wakasema wewe ni tajiri hivyo ni mwizi, Rais Ford alikuwa billionaire na alifanya sera nyingi nzuri zinazohusiana na sheria za kazi. Hata sheria ya siku 5 za kazi, saa 8 za kazi, siku mbili za weekend aliianzisha yeye huku wakosoaji wakiipinga vikali.

Ford aliianzisha kwenye kiwanda chake, Ford akiwa mmiliki wafanyakazi wake waliweza jenga nyumba, miliki gari na kulea familia huku mama akiwa wa nyumbani. Wamefuata Marais hao unaoita sio wezi wakaharibu.

Israel viongozi wao hasa Waziri Mkuu aliwahi fanikiwa kwenye jambo lao kuu, ulinzi na usalama.
Sasa sisi mtu alikuwa UVCCM, mjumbe wa sijui nini, kaimu, mkuu wa wilaya, boom Waziri alafu leo Wizara ya Afya, kesho Wizara ya Michezo na kote uko hajui kitu.
Umenena vyema.
 
Naomba nitumie mfano wa Nchi na Kampuni ili kuonyesha hicho ulichosema kinaweza kuwa na faida kimaendeleo:
1.Kampuni = Nchi
2.Wananchi = Shareholders
3.Katiba ya nchi = MEMART
4.Serikali na vyombo vyake vyote = Directors of the company.
Kama nchi itafanyakazi kwa hiyo mentality mafanikio kwa wananchi yatakua nje nje.
Unaposema kampuni kunyonya watu.It means serikali kwa niaba ya wananchi ambao ndo shareholders wahakikishe wanawivu wa kuhakikisha mapato yanapatikana by all means - kwa jasho na damu na yanarudi kwa watu - kupitia miundombinu , huduma za afya, uwekezaji, huduma za shule n.k.
Nchi za magharibi zilikuja na ukoloni - wakaenda nchi nyingine wakachukua mali kwa nguvu - wakapeleka kwao, France, Spain, USA, UK, Belgium - walinyonya wengine for the sake ya watu wao ndo maana unaona miundo mbinu imenyooka n.k.
Sasa kuna ukoloni mamboleo - makampuni makubwa ya kimagharibi yako ulimwengu mzima kuchuma faida hata kwa dhuluma na kupeleka kwao. N.k
CIA wako everywhere ulimwenguni kuangalia opportunity kwa ajili ya manufaa yao bila kujali host nations interest zenu.
Nchi ni kama kampuni tu - Hao wenzetu hizi mentality ndo zimefanya waendelee - kama vile mwenye kampuni anavyotamani afanikiwe by all means ndivyo na nchi inapaswa kuwa hivyo.
Tumeshapita enzi za Mercantile Capitalism.
Kazi kubwa ya serikali sio kukusanya mapato, bali kutengeneza mazingira mazuri ya raia wake kufanikiwa. Makampuni binafsi ndio yaliyokuja ya kwanza kujitwalia makolini Africa, mashamba na migodi enzi za ukoloni ilikuwa inamilikiwa na watu binafsi ambao walikuwa wanalipa kodi tu kwa serikali za kikoloni. Watawala kazi yao ilikuwa kuhakikisha kuna mazingira mazuri ya hao watu kufanya mambo yao.
 
Unaposema kampuni kunyonya watu.It means serikali kwa niaba ya wananchi ambao ndo shareholders wahakikishe wanawivu wa kuhakikisha mapato yanapatikana by all means - kwa jasho na damu na yanarudi kwa watu - kupitia miundombinu , huduma za afya, uwekezaji, huduma za shule n.k.
Nchi za magharibi zilikuja na ukoloni - wakaenda nchi nyingine wakachukua mali kwa nguvu - wakapeleka kwao, France, Spain, USA, UK, Belgium - walinyonya wengine for the sake ya watu wao ndo maana unaona miundo mbinu imenyooka n.k.
Sasa kuna ukoloni mamboleo - makampuni makubwa ya kimagharibi yako ulimwengu mzima kuchuma faida hata kwa dhuluma na kupeleka kwao. N.k
CIA wako everywhere ulimwenguni kuangalia opportunity kwa ajili ya manufaa yao bila kujali host nations interest zenu.
Makampuni yaliyo duniani kote sio ya Magharibi tu, yako ya Wachina, yako ya Waarabu kama DP World, Yako ya Singapore, Brazil, Vietnam, Russia, Korea Kusini n.k
 
Tumeshapita enzi za Mercantile Capitalism.
Kazi kubwa ya serikali sio kukusanya mapato, bali kutengeneza mazingira mazuri ya raia wake kufanikiwa. Makampuni binafsi ndio yaliyokuja ya kwanza kujitwalia makolini Africa, mashamba na migodi enzi za ukoloni ilikuwa inamilikiwa na watu binafsi ambao walikuwa wanalipa kodi tu kwa serikali za kikoloni. Watawala kazi yao ilikuwa kuhakikisha kuna mazingira mazuri ya hao watu kufanya mambo yao.
Kutenganisha mapato ya serikali ni sawasawa na kuanza kubishana yai ma kuku nani ni nani...
Serikali inakutengenezea mazingira mazuri ili baadae ichukue kodi yake ikawaletee wananchi wengine maendeleo - Kutengeneza mazingira bora ya watu wakujiendeleza na kukusanya kodi kwa usahihi na ufasaha ni pande mbili za shilling
 
Kutenganisha mapato ya serikali ni sawasawa na kuanza kubishana yai ma kuku nani ni nani...
Serikali inakutengenezea mazingira mazuri ili baadae ichukue kodi yake ikawaletee wananchi wengine maendeleo - Kutengeneza mazingira bora ya watu wakujiendeleza na kukusanya kodi kwa usahihi na ufasaha ni pande mbili za shilling
Serikali inaweza kukopa kujiendesha, inaweza kuuza maliasili zake, sio lazima ikusanye kodi, Serikali inaweza kukusanya kodi na isifanyie mambo ya maana. Lengo kubwa la uwepo wa serikali sio kodi.
 
Mtu yoyote mwenye uwezo wa kuongoza naye aongoze au kama vipi twende na meritocracy system kazi itakuwa nzito hapa.
 
Back
Top Bottom