Tanzania hatujawahi kuwa na Marais au Mawaziri ambao kabla ya madaraka waliwahi kuendesha mradi wowote na wakafanikiwa

Tanzania hatujawahi kuwa na Marais au Mawaziri ambao kabla ya madaraka waliwahi kuendesha mradi wowote na wakafanikiwa

Huu ni mtazamo potofu sana, kuongoza nchi ni tofauti sana na kuendesha kampuni.
utofauti wake ni nini
kama lengo la kampuni ni kufikia mafanikio makuu na kusambaa kila upande, vipi lengo la nchi liwe tofauti na maendeleo?
tuache kudanganyana
 
utofauti wake ni nini
kama lengo la kampuni ni kufikia mafanikio makuu na kusambaa kila upande, vipi lengo la nchi liwe tofauti na maendeleo?
tuache kudanganyana
Lengo la kampuni ni kupata faida tu hata kwa njia zisizofaa ikiwemo ukwepaji kodi, uchafuzi wa mazingira, unyonyaji wafanyakazi n.k Lengo kuu la kwanza la uongozi wa nchi ni raia wapate furaha na maendeleo kwa kujali haki za wote, sheria, usawa, national pride, mazingira na vizazi vijavyo.
 
Tuwe wakweli tu kama unamjua yeyote ambaye kabla ya kuwa mbunge, waziri au rais aliwahi kuendesha mradi wowote na ukafanikiwa.

Inawezekana ndio maana Tanzania yetu inaendelea kuwa chini tu badala ya kwenda juu.

Kwa sababu inaendeshwa na watu ambao uwezo wa kuendesha jambo lolote likafanikiwa hawajawahi kufanya.

Mtu kama huyu ataiba tu kodi zetu.

We fikiria pesa nyingi inalipa mishahara mizuri na ya maendeleo ni kidogo tu.

Hapa kukua juu kiuchumi tutakusikia kwa Usa, china, India, japani na England.
Yupo: HAYATI DR.J.P.MAGUFULI alikua na mafanikio kila alipo kanyaga, ila bahati mbaya walikua wanamkwamisha sana, na hata baada ya ku take control bado alikimbiza mbaya ila ndio hivyo tena wa kwamishaji hawakosekani
 
Lengo la kampuni ni kupata faida tu hata kwa njia zisizofaa ikiwemo ukwepaji kodi, uchafuzi wa mazingira, unyonyaji wafanyakazi n.k Lengo kuu la kwanza la uongozi wa nchi ni raia wapate furaha na maendeleo kwa kujali haki za wote, sheria, usawa, national pride, mazingira na vizazi vijavyo.
furaha ya watu wa kawaida ni kulipwa vizuri, na ili walipwe vizuri ni kupata mtu anayejua shortcut za maendeleo ili kutoa unafuu wa maisha. na hao watu ni waliofanikiwa kabla ya madaraka
hawa wanajua njia za kupita
Trump amerudi madarakani kwa sababu ya sera yake ya uchumi kueleweka kwa wamarekani
 
Yupo: HAYATI DR.J.P.MAGUFULI alikua na mafanikio kila alipo kanyaga, ila bahati mbaya walikua wanamkwamisha sana, na hata baada ya ku take control bado alikimbiza mbaya ila ndio hivyo tena wa kwamishaji hawakosekani
kukanyaga ndio nini? kipi alikiendesha kikafanikiwa kabla hajawa mbunge, waziri au rais
 
furaha ya watu wa kawaida ni kulipwa vizuri, na ili walipwe vizuri ni kupata mtu anayejua shortcut za maendeleo ili kutoa unafuu wa maisha. na hao watu ni waliofanikiwa kabla ya madaraka
hawa wanajua njia za kupita
Trump amerudi madarakani kwa sababu ya sera yake ya uchumi kueleweka kwa wamarekani
Kuna watu tayari wanalipwa vizuri wanataka usalama, maji, umeme, barabara bora, miji iliyopangiliwa vizuri n.k
 
Tuwe wakweli tu kama unamjua yeyote ambaye kabla ya kuwa mbunge, waziri au rais aliwahi kuendesha mradi wowote na ukafanikiwa.

Inawezekana ndio maana Tanzania yetu inaendelea kuwa chini tu badala ya kwenda juu.

Kwa sababu inaendeshwa na watu ambao uwezo wa kuendesha jambo lolote likafanikiwa hawajawahi kufanya.

Mtu kama huyu ataiba tu kodi zetu.

We fikiria pesa nyingi inalipa mishahara mizuri na ya maendeleo ni kidogo tu.

Hapa kukua juu kiuchumi tutakusikia kwa Usa, china, India, japani na England.
Ndo maana wengi ni watumiaji tu wa kodi za watanganyika kama huyu aliyepo. Ndege ya matanuzi ya nini kwenye uchumi huu. Wakati Dunia nzima inajaribu kubana matumizi. Wakitoka hapo TRA wanawasha moto watu walipe kodi kwa nguvu.
 

Attachments

  • IMG-20250102-WA0060.jpg
    IMG-20250102-WA0060.jpg
    143.8 KB · Views: 2
  • IMG-20250102-WA0049.jpg
    IMG-20250102-WA0049.jpg
    48.3 KB · Views: 1
Kuna watu tayari wanalipwa vizuri wanataka usalama, maji, umeme, barabara bora, miji iliyopangiliwa vizuri n.k
hivi unajua kama asilimia kubwa ya wafanyakazi wa viwandani wanaishi kama watumwa kwa malipo wanayolipwa. na hawa ni wale wasiokuwa na vyeo kabisa.

hawa wanahitaji mtu ambaye ameshafanikiwa kuwatoa walipo.
 
Tuwe wakweli tu kama unamjua yeyote ambaye kabla ya kuwa mbunge, waziri au rais aliwahi kuendesha mradi wowote na ukafanikiwa.

Inawezekana ndio maana Tanzania yetu inaendelea kuwa chini tu badala ya kwenda juu.

Kwa sababu inaendeshwa na watu ambao uwezo wa kuendesha jambo lolote likafanikiwa hawajawahi kufanya.

Mtu kama huyu ataiba tu kodi zetu.

We fikiria pesa nyingi inalipa mishahara mizuri na ya maendeleo ni kidogo tu.

Hapa kukua juu kiuchumi tutakusikia kwa Usa, china, India, japani na England.
Makubaliana na wewe sio kiongozi anadai eti kodi zilipwe ilihali hajawwhi Kufanya Biashara yoyote na kufaham ugumu wa kodi ni ipi na inalipwaje
 
Ndo maana wengi ni watumiaji tu wa kodi za watanganyika kama huyu aliyepo. Ndege ya matanuzi ya nini kwenye uchumi huu. Wakati Dunia nzima inajaribu kubana matumizi. Wakitoka hapo TRA wanawasha moto watu walipe kodi kwa nguvu.
ukiwa hujui namna pesa inatafutwa ndio kama hivi, unatumia kodi za watu kwa starehe badala ya maendeleo yao ya msingi
 
Ni kweli.wengine kabla.ya.kupata uraisi ukiwauliza their.plans.when they get.tobe.elected utashangaa anakujibu mambo yatajiseti hukohuko juu.
 
Makubaliana na wewe sio kiongozi anadai eti kodi zilipwe ilihali hajawwhi Kufanya Biashara yoyote na kufaham ugumu wa kodi ni ipi na inalipwaje
ndio maana tunahitaji watu waliofanikiwa tayari ili watusaidie na hili.
 
Huu ni mtazamo potofu sana, kuongoza nchi ni tofauti sana na kuendesha kampuni.
Bill Clinton ambaye ni career politician, mojawapo wa marais bora kabisa wa Marekani aliicha US na ziada ya bajeti(surplus), Bush Mfanyabiashara aliyerithi uchumi imara kutoka kwa Clinton aliiacha Marekani na deni kubwa, vita visivyoisha(endless wars) pamoja na matatizo makubwa ya uchumi.
Sijamaanisha career politicians wote hawajui, wala sijamaanisha waliopita sekta nyinginezo wote walifanya vizuri.

Nimemaanisha mara nyingi watu waliofanikiwa kwanza sekta nyinginezo (sio biashara tu) wanafanya vizuri kwenye siasa kuliko watu waliokulia kwenye siasa pekee. Ndio maana mtu kama Harry S. Truman ana rank nzuri kama Rais wakati siasa kaingia akiwa mzee, na bado ana rank nzuri kama Military General.

Bill Clinton huwa Wamarekani hawamuweki top 15 ya highest rated Presidents, alikuwa average.
George W. Bush kakuzwa kisiasa, baba yake alikuwa Rais, mdogo wake Governor, babu yake mwanasiasa vilevile. Bush family ni ya wanasiasa pure kwahiyo hafai kuwa mfano wa outsider.
 
Siyo lazima kuanzisha. Urais unahitaji mtendaji mzuri mwenye maono. Tusidanganyane.
Urais ni experience na uwezo wa mtu binafsi. Uwezo wa kuona, kushaurika, kutafuta vipaji vya wataalam wa mambo, kujua kuchambua pumba na mchele na mambo mengine.

Kuwa mtendaji tu wa kupangiwa wilaya sijui ubalozi hakutoshelezi kumfanya mtu awe na vitu adimu vya kumfanya awe Rais mzuri.

Mtu aliyekuwa CEO wa Vodacom au NMB aliyepata mafanikio kwa miaka mitano ya nafasi yake anaweza akawa mzuri akiwa mbunge kwa miaka mitano akazoea siasa kisha akawa Rais kuliko mtu kama Anna Makinda ambaye tangu kumaliza chuo ukute hajawahi simamia hata kufuga kuku banda moja, yeye ni kuteuliwa tu na kustaafu na kuteuliwa tena kuongoza sensa alafu akasema vijana wajiajiri ilhali yeye hajawahi kukataa kuajiriwa tena baada ya kustaafu.
 
Lengo la kampuni ni kupata faida tu hata kwa njia zisizofaa ikiwemo ukwepaji kodi, uchafuzi wa mazingira, unyonyaji wafanyakazi n.k Lengo kuu la kwanza la uongozi wa nchi ni raia wapate furaha na maendeleo kwa kujali haki za wote, sheria, usawa, national pride, mazingira na vizazi vijavyo.
Twende na mifano.
Wakati Dr. Kimei akiwa CEO wa CRDB na kufanikiwa sana alikwepa kodi, au kuchafua mazingira, au kunyonya wafanyakazi?

Upande mwingine, career politician Paul Makonda yeye aliwahi piga mzee Warioba ngumi ukumbini, aliwahi vamia studio za Clouds TV akiwa na AK-47 na maafisa usalama, ana tuhuma nyingine za mali za wafanyabiashara na kesi zilikuwepo hata humu zipo. Mzee Kimei ana kesi kama hizo, je unadhani angekuwa na kesi hata moja hapo angeshikilia nafasi ya juu CRDB?

Mkuu wa mkoa Ukiwaona Ditopile Mzuzuri alimpiga risasi mchana kweupe dereva daladala kisa mambo ya "unanijua mimi nani".
Unadhani mtu mwenye level ya kuwa Managing Director, Procurement Officer, Marketing Officer, au CEO wa taasisi kama Vodacom, Hyatt Kilimanjaro, Airtel, Tigo, TBL, TCC anaweza kuwa na ukichaa kama huo?

Wapi uliwahi sikia sijui gari la Mkurugenzi wa kampuni ya bia limesafirisha wahamiaji haramu kama ambavyo unasikia juu ya magari ya wanasiasa ambao hawajawahi fanya kitu nchini.

Wanasiasa pure huwa hawajui lolote linaloendelea mtaani, hawajui kutambua vipaji wala kuviongoza, hawana malengo zaidi ya kusalimika kisiasa na kula tu. Hawawezi fanya nchi iendelee. Mtu alisoma uchumi alafu akateuliwa Waziri wa Sheria kisa UVCCM alafu utegemee afanye la maana kwenye wizara kuliko mtu aliyeiishi sheria na ana achievements kadhaa.
 
ndio maana tunahitaji watu waliofanikiwa tayari ili watusaidie na hili.
Wewe unajaribu kupingana na kanuni za maisha. Haya mambo mbona hayahitaji ubishi kwani nchi research nyingi zimeshafanyika na kuna uzoefu kutoka nchi zilizoendelea? Nenda Finland na nchi za Scandinavia uone ''utajiri'' wa viongozi wao. Unakuta mtu anakuwa rais au waziri mkuu wakati anamiliki nyumba moja ya kulala na kama sh milioni 20 kwenye account yake. Na wanafanikiwa kishenzi. Wewe unakuja na kanuni pori zako hapa kwa kitu ambacho tayari kimefanyiwa majaribio?
 
Lengo la kampuni ni kupata faida tu hata kwa njia zisizofaa ikiwemo ukwepaji kodi, uchafuzi wa mazingira, unyonyaji wafanyakazi n.k Lengo kuu la kwanza la uongozi wa nchi ni raia wapate furaha na maendeleo kwa kujali haki za wote, sheria, usawa, national pride, mazingira na vizazi vijavyo.
Naomba nitumie mfano wa Nchi na Kampuni ili kuonyesha hicho ulichosema kinaweza kuwa na faida kimaendeleo:
1.Kampuni = Nchi
2.Wananchi = Shareholders
3.Katiba ya nchi = MEMART
4.Serikali na vyombo vyake vyote = Directors of the company.
Kama nchi itafanyakazi kwa hiyo mentality mafanikio kwa wananchi yatakua nje nje.
Unaposema kampuni kunyonya watu.It means serikali kwa niaba ya wananchi ambao ndo shareholders wahakikishe wanawivu wa kuhakikisha mapato yanapatikana by all means - kwa jasho na damu na yanarudi kwa watu - kupitia miundombinu , huduma za afya, uwekezaji, huduma za shule n.k.
Nchi za magharibi zilikuja na ukoloni - wakaenda nchi nyingine wakachukua mali kwa nguvu - wakapeleka kwao, France, Spain, USA, UK, Belgium - walinyonya wengine for the sake ya watu wao ndo maana unaona miundo mbinu imenyooka n.k.
Sasa kuna ukoloni mamboleo - makampuni makubwa ya kimagharibi yako ulimwengu mzima kuchuma faida hata kwa dhuluma na kupeleka kwao. N.k
CIA wako everywhere ulimwenguni kuangalia opportunity kwa ajili ya manufaa yao bila kujali host nations interest zenu.
Nchi ni kama kampuni tu - Hao wenzetu hizi mentality ndo zimefanya waendelee - kama vile mwenye kampuni anavyotamani afanikiwe by all means ndivyo na nchi inapaswa kuwa hivyo.
 
Back
Top Bottom