Tanzania: Hatukupiga kura sababu tulichotaka kati ya Urusi vs Ukraine hakikutokea!

Daah
Source ya hizi taarifa ni nini?

Hiyo submarine inaitwaje iliyolipuliwa??
 
Tunahalarisha maonezi na mauaji ya watu ili tu na sisi tunapowafanyia watu wetu kama urusi wanavyofanya tuungwe mkono na mashetani hayo. Tunashindwa kukemea mauaji tunahalarisha nini?. UNAFIKI TU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…