Tanzania hatuna team ya kuingia semi final ya caf champions league, acheni hype

Tanzania hatuna team ya kuingia semi final ya caf champions league, acheni hype

it's impossible we all know Loftus stadium records
Kwenye mpira hakuna kitu kinachoitwa impossible. Anayesema impossible kwenye maswala ya mpira wa miguu huyo hajui mpira. Atakayeingia na mbinu na ufundi sahihi kuliko mwenzie anauwezo wa kushinda mechi. Mechi ya awali sio kwamba Mamelod walipenda watoe sare bali walitamani waimalize mechi hapa hapa Tanzania ila wameshindwa. Kule Loftus mechi inaenda kuanza na upya hiyo mpaka sasa kwenye kufuzu ni 50-50
 
Nilipokuwa simba Enzi za Senzo nilipush sana Agenda 3.

1. Uwekezaji seriously.

2. Uongozi mzuri.

3. Wachezaji Bora.

Inshort sidhani kama simba ina mchezaji hata mmoja wa kucheza Fainalai CAFCL.
ww nae hueleweki hapo juu umesema kuchambua Simba na Yanga kwa vijana ni kupoteza muda na wewe uko hapa unachambua
 
Binafsi natamani sana Yanga atolewe, tena atolewe kwa goli si chini ya 3.

Tatizo ni kwamba Yanga wamekuwa na kikosi chenye motisha ya hali ya juu na wameshafanya maajabu yasiyotegemewa si mara moja.

Kufika fainali shirikisho, kumpiga CRB 4, Kutoa droo na Sundown si mambo tuliyoyategemea.

Tuwaombee mabaya hawa vyura wapigwe baraaa baraaa hiyo ijumaa ila tujiandae na kelele iwapo maombi hayatatimia na wakapita.

Ukijiaminisha hawapiti halafu wakapita unaweza taniwa kawaida tu na mzee mwenzako mwanayanga ukajikuta umetoa lugha chafu mbele ya vijana wadogo wanaokuheshimu.
 
Kwenye mpira hakuna kitu kinachoitwa impossible. Anayesema impossible kwenye maswala ya mpira wa miguu huyo hajui mpira. Atakayeingia na mbinu na ufundi sahihi kuliko mwenzie anauwezo wa kushinda mechi. Mechi ya awali sio kwamba Mamelod walipenda watoe sare bali walitamani waimalize mechi hapa hapa Tanzania ila wameshindwa. Kule Loftus mechi inaenda kuanza na upya hiyo mpaka sasa kwenye kufuzu ni 50-50
Kwamba 70% possession won't win a match. tuwe serious??
 
Binafsi natamani sana Yanga atolewe, tena atolewe kwa goli si chini ya 3.

Tatizo ni kwamba Yanga wamekuwa na kikosi chenye motisha ya hali ya juu na wameshafanya maajabu yasiyotegemewa si mara moja.

Kufika fainali shirikisho, kumpiga CRB 4, Kutoa droo na Sundown si mambo tuliyoyategemea.

Tuwaombee mabaya hawa vyura wapigwe baraaa baraaa hiyo ijumaa ila tujiandae na kelele iwapo maombi hayatatimia na wakapita.

Ukijiaminisha hawapiti halafu wakapita unaweza taniwa kawaida tu na mzee mwenzako mwanayanga ukajikuta umetoa lugha chafu mbele ya vijana wadogo wanaokuheshimu.
wananchi uwezo awana. no need to run around the bush.
 
wananchi uwezo awana. no need to run around the bush.
Maisha yanaongozwa na kuendeshwa kwa Imani, si vibaya ukashikilia unachoamini na wananchi nao tunashikilia kile tunachokiamini...
 
Ni experience kwa sasa.
Yanga na Simba zote zilikuwa na uwezo wa kushinda game zao. Ila wameaminishwa na media za Tanzania kuwa wao ni timu ndogo.
Media zetu zinatuangusha sana watanzania, tena sana maana ni uoga tu ndio uliofanya wasifunge angalau bao moja kila timu. Hakuna maajabu mengine.
 
Watukuja Wana CCM Kukuporomoshea Matusi Ila Ukweli Watauona
 
Kila jambo Lina mwanzo,msimu uliopita yanga kacheza final cafcc
Msimu huu kaingia robo mbele ya team kutoka Algeria tena bingwa wa ligi pale kwao
Ka draw na Mamelody tena akiwa na kikosi ambacho kina upungufu wa wachezaji tegemezi
Huenda huu ndio mwanzo wa kufikia hiyo hatua na pengine kuchukua kombe
1.luck yanga wanayo kwa Sasa
2.uongozi unajitahidi sana (kumbuka Andre Mtine si mtu mdogo kwenye soccer la vilabu afrika)
3.Fedha IPO si kama zamani
4.Quality player wapo kwa level za afrika
Final tunaweza kucheza na kuleta ushindani changamoto ni pale tutakapokutana na Madrid kule duniani itatusumbua sana
Una ubongo kama wa panzi ubongo ambao unakesha vijiweni simba yanga ndo wew sasa ukisikia akili fupi kama mavi ndo zako et madrid ya nyoko
 
Binafsi natamani sana Yanga atolewe, tena atolewe kwa goli si chini ya 3.

Tatizo ni kwamba Yanga wamekuwa na kikosi chenye motisha ya hali ya juu na wameshafanya maajabu yasiyotegemewa si mara moja.

Kufika fainali shirikisho, kumpiga CRB 4, Kutoa droo na Sundown si mambo tuliyoyategemea.

Tuwaombee mabaya hawa vyura wapigwe baraaa baraaa hiyo ijumaa ila tujiandae na kelele iwapo maombi hayatatimia na wakapita.

Ukijiaminisha hawapiti halafu wakapita unaweza taniwa kawaida tu na mzee mwenzako mwanayanga ukajikuta umetoa lugha chafu mbele ya vijana wadogo wanaokuheshimu.
Umesahau na kumpiga simba goli 5
 
Kwamba 70% possession won't win a match. tuwe serious??
Hahahaha ndio madhara ya kufuata mkumbo kwenye kushabikia mpira yaaani ulipoona boyfriend wako anashabikia simba na wewe ukashabikia tu hebu nikuulize swali mchuchu nipe hiyo ball possession kati ya mechi ya simba na al ahly ile ya juzi
 
direct to the point, simba na yanga are very small teams in Africa to qualify for the semi - finals. you need
1: experience
2. quality players
3. luck
4. money
5. leadership
6. fans
7.great manager
8. good facilities

tunahitaji atleast 10 years ya kucheza quarter finals to reach the finals. 5 years to reach the semi finals.


acheni hype. tulieni mtapata aibu. mkiweza fanyeni kaZi acheni mpira wa siasa. maneno mingi amna timu ya defenders na mzinze mawenge

yanga yanga kelele nyingi team ya guede na gamondi. acheni siasa tulieni
Hapa
Tujikumbushe kidogo kisa Cha DAUDI KUMUUA GOLIATH

Mkuu,

Kila kitu kinawezekana turudi hapa tarehe 6
 
Back
Top Bottom