Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Kwamba hauamini kwamba mtu alikufa goli 5 mbona umsahaulifu sana?Hii bado ipo kwenye uchunguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba hauamini kwamba mtu alikufa goli 5 mbona umsahaulifu sana?Hii bado ipo kwenye uchunguzi.
Tanzania inauwezo sio tu wa kuingia semi final hata kuchukua hilo kombe lenyewe..direct to the point, simba na yanga are very small teams in Africa to qualify for the semi - finals. you need
1: experience
2. quality players
3. luck
4. money
5. leadership
6. fans
7.great manager
8. good facilities
tunahitaji atleast 10 years ya kucheza quarter finals to reach the finals. 5 years to reach the semi finals.
acheni hype. tulieni mtapata aibu. mkiweza fanyeni kaZi acheni mpira wa siasa. maneno mingi amna timu ya defenders na mzinze mawenge
yanga yanga kelele nyingi team ya guede na gamondi. acheni siasa tulieni
Hii janja janja za Yanga zilikuwa mingi.Kwamba hauamini kwamba mtu alikufa goli 5 mbona umsahaulifu sana?
Kama kafa cr belouzdad goli 4 bado tu imani haiji kwako?Hii janja janja za Yanga zilikuwa mingi.
Ndio maana nilikwambia mpira hujui. Kwenye mpira wa miguu sio kuwa na possession kubwa ndio kushinda mechi. Man City alikuwa na possession ya 70 na anafungwa mechi. Mpira ni mbinu na sio possession dogo. Yanga aliongoza possession kule Algeria dhidi ya Belouizdad ila akafungwa goli tatu. Sumba aliongoza possession dhidi ya Al Ahly ila kafungwa goli moja nyumbani. Mpira wewe unajilazimisha ila hujui kitu kwenye mchezo wa mpiraKwamba 70% possession won't win a match. tuwe serious??
Anatia aibu bora angekaa kimya tusingejua kama ana upeo mdogo kiasi hiko kwenye maswala ya mpira. Eti possession, ingekuwa possession ndio matokeo basi Simba isingefungwa na Al Ahly.Hahahaha ndio madhara ya kufuata mkumbo kwenye kushabikia mpira yaaani ulipoona boyfriend wako anashabikia simba na wewe ukashabikia tu hebu nikuulize swali mchuchu nipe hiyo ball possession kati ya mechi ya simba na al ahly ile ya juzi
Wewe nawe tumekuchoka huu upuuzi wako kila post unaweka hizi takataka zako🚮🚮🚮Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
gamondi ni kocha makini na akipata wachezaji,anaweza kuingia nusu fainali,lakini kwa sasa yanga ni timu nzuri lakini wachezaji wenye uwezo na ujuzi wa kutufikisha nusu fainali yanga wapo 5 tu,ili tungie nusu fainali ni lazima tuwe na wachezaji wenye huo ujuzi angalau 10direct to the point, simba na yanga are very small teams in Africa to qualify for the semi - finals. you need
1: experience
2. quality players
3. luck
4. money
5. leadership
6. fans
7.great manager
8. good facilities
tunahitaji atleast 10 years ya kucheza quarter finals to reach the finals. 5 years to reach the semi finals.
acheni hype. tulieni mtapata aibu. mkiweza fanyeni kaZi acheni mpira wa siasa. maneno mingi amna timu ya defenders na mzinze mawenge
yanga yanga kelele nyingi team ya guede na gamondi. acheni siasa tulieni
Jamaa anakupooza, ila mechi bado sio rahisi kihivyo kwa Mamelod, chochote kinaweza kutokea. Mpaka sasa ni 50 - 50 Mamelod kule wanakazi mbili ya kucheza apate goli na pia awazuie Yanga wasipate goli la ugenini.Kwa hiyo mkuu unatuhakikishia kuwa wataruka ruka tu warudi nyumbani?
Petro de Luanda waliwatoa hapo hapo Loftus versfeld.it's impossible we all know Loftus stadium records
Well said.Kila jambo Lina mwanzo,msimu uliopita yanga kacheza final cafcc
Msimu huu kaingia robo mbele ya team kutoka Algeria tena bingwa wa ligi pale kwao
Ka draw na Mamelody tena akiwa na kikosi ambacho kina upungufu wa wachezaji tegemezi
Huenda huu ndio mwanzo wa kufikia hiyo hatua na pengine kuchukua kombe
1.luck yanga wanayo kwa Sasa
2.uongozi unajitahidi sana (kumbuka Andre Mtine si mtu mdogo kwenye soccer la vilabu afrika)
3.Fedha IPO si kama zamani
4.Quality player wapo kwa level za afrika
Final tunaweza kucheza na kuleta ushindani changamoto ni pale tutakapokutana na Madrid kule duniani itatusumbua sana
Kwaio mkuu hata hapo timu zetu zimefikia Ni MUUJIZA AMA NGEKEWA KWA MITAZAMO WAKO??!!🤌 set that daudi and goliath in real life. una hisi jiwe could kill a giant
Dah katika watu huwa siwaelewi ni huyo Jamaa CAPO DELGADO.ww nae hueleweki hapo juu umesema kuchambua Simba na Yanga kwa vijana ni kupoteza muda na wewe uko hapa unachambua
Yes, Simba waliwatoa Zamaleck hapo hapo Misri. Hivyo, mpira unadunda usije shangaa Simba anamtoa Ahaly hapo hapo Misri.Petro de Luanda waliwatoa hapo hapo Loftus versfeld.
Wydad waliwatoa Mara mbili hapo hapo Loftus.
Yanga pia inaweza kuwatoa, hili ni soka lolote laweza kutokea sababu ya bahati na mipango au mikakati mizuri ndani na nje ya uwanja.
Aina hii ya mashabiki ndio inayochangia kuharibu mijadala ya michezo humu jf......mpira ni mchezo wa mbinu kwa dunia ya sasa ,,mfano tukija hata mchezo ambao simba alipigwa goli 3 na jwaneng galaxy kwa mkapa simba aliongoza hiyo ball possession ila mwisho wa mchezo wachezaji wa simba walianguka chini wakawa wanalia na kulaumianaAnatia aibu bora angekaa kimya tusingejua kama ana upeo mdogo kiasi hiko kwenye maswala ya mpira. Eti possession, ingekuwa possession ndio matokeo basi Simba isingefungwa na Al Ahly.
Endelea kupiga Ramlidirect to the point, simba na yanga are very small teams in Africa to qualify for the semi - finals. you need
1: experience
2. quality players
3. luck
4. money
5. leadership
6. fans
7.great manager
8. good facilities
tunahitaji atleast 10 years ya kucheza quarter finals to reach the finals. 5 years to reach the semi finals.
acheni hype. tulieni mtapata aibu. mkiweza fanyeni kaZi acheni mpira wa siasa. maneno mingi amna timu ya defenders na mzinze mawenge
yanga yanga kelele nyingi team ya guede na gamondi. acheni siasa tulieni
Andika kwa kiswahili au kiarabu kwasababu hizo ndizo lugha nazielewa kwa ufasaha sanayou don't understand the teams philosophy. sundowns posses to waste time that's why. they shouldnt go ahead
Ungemalizia Kwa kusema timu itakayovuka robo fainali utatowa tako ndio ningeona upo seriously.direct to the point, simba na yanga are very small teams in Africa to qualify for the semi - finals. you need
1: experience
2. quality players
3. luck
4. money
5. leadership
6. fans
7.great manager
8. good facilities
tunahitaji atleast 10 years ya kucheza quarter finals to reach the finals. 5 years to reach the semi finals.
acheni hype. tulieni mtapata aibu. mkiweza fanyeni kaZi acheni mpira wa siasa. maneno mingi amna timu ya defenders na mzinze mawenge
yanga yanga kelele nyingi team ya guede na gamondi. acheni siasa tulieni