Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Kwenye maandiko hayo waliyotuletea hao jamaa wao hawayatumii kabisa.Kuna wakati Imani na matokeo vinaendana na Kuna wakati haviendani as Imani huwa ni kwenye kesho na si Leo
Ila kama yasemavyo maandiko "Imani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo ,ni bayana ya mambo yasiyoonekana"Waebrania
Wao wanawekeza na kuzingatitia miiko ya wakifanyacho.