Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ndio kabisaaa, naonaga clip zake kwa instagram, hakuna cha maana anachokifanyaTafuta muda uangalie komedi za Mc Pilipili utajuta kuharibu muda wako bora ujikite kwenye punyeto.
Wanajua kuongea kwa sauti kubwa ndiyo uchekeshaji, wasanii wengi hakuna kitu wachukue clip za Champlin waone utofauti.Kweli kabisa Kiongozi Jamaa wale ni talented sana halafu ni wabunifu sana..wametuletea ladha mpya ya komedi tofauti na ile tuliyozoea (mf. Bambo, Kingwendu, kiwewe n.k).Comedians wengi bongo ni wapiga zumari tu hamna kitu.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Hadi umemfollow?Yule ndio kabisaaa, naonaga clip zake kwa instagram, hakuna cha maana anachokifanya
Tunatofautiana aisee.
Hapana sijamfollow si wanapostianaga na wenzake, unaweza kukuta mgogo mwenzake Lemutuz kampost au kuna kamc fulani hivi kadogo kadogo nmesoma nako huwa kanampost sana ndio nnakomuonaga[emoji15] [emoji15] [emoji15] Hadi umemfollow?
Chaplin ni habari nyingine mkuu...yule jamaa bila shaka ni the world best comedian of all time. Wakati nipo mdogo nlikuwa najua jamaa ni chizi au ndivyo alivyo, kumbe ni sehemu tu ya kazi..he was a real comedian.Wanajua kuongea kwa sauti kubwa ndiyo uchekeshaji, wasanii wengi hakuna kitu wachukue clip za Champlin waone utofauti.
Jamaa haongei ila unacheka.
Jamaa ni mjinga sana yule, yaani hatakuja kutokea kama yeye.Chaplin ni habari nyingine mkuu...yule jamaa bila shaka ni the world best comedian of all time. Wakati nipo mdogo nlikuwa najua jamaa ni chizi au ndivyo alivyo, kumbe ni sehemu tu ya kazi..he was a real comedian.
Kenya wamepiga sana hatua.Wabongo stand up comedy bado sana, bora hata Cheka tu kidogo wanajitahidi ambako Deogratious na Nalimi nawaelewa sana, ila pilipili yule jamaa chenga sana kuchekesha ni ziro kabisa, ndo maana wajanja tunaangalia Churchill ya kenya kule Kuna jamaa anaitwa YY ni shidaa
Ile tembea yake tu😂😂😂😂😂😂😂Jamaa ni mjinga sana yule, yaani hatakuja kutokea kama yeye.
Alipenda sana kazi yake.
Km ana mawazo yake hapo ndo wachekeshaji wanaingia mkuu, inabidi wajtahidi mpaka ayo mawazo yatoke kwa kucheka,hUWEZI KUCHEKA KAMA UNA MAWAZOYAKO YANAKUSUMBUA..WACHEKESHAJI BONGO WAPO
Mc Pilipili kwanza yeye mwenyewe ni kichekesho tu yaani ukifikiria nachofanya unacheka. HAKUNA KITU.
MPOKI: Hakuna kitu huyu ni kuongea tu kama mvuvi haramu.
JOTI: Huyu kabaki kujigeuza tu jinsia.
MAJUTO: Ulale salama ila yeye alikuwa ni kucheka badala ya kuchekesha.
MR BEAN: Huyu kazi kukodoa tu.
Chalie Champlin: Pumzika kwa amani mfalme wa VICHEKESHO.
Chaplin angekuwa hai basi angekuwa na ukwasi wa hatari.Love filling umeiona ?
Kacheza Chaplin. Mjamaa maskini anampenda mtoto wa mfalme.
Jamaa anaweza
Tafuta muda uangalie komedi za Mc Pilipili utajuta kuharibu muda wako bora ujikite kwenye punyeto.
Viatu je [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ile tembea yake tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chaplin ni habari nyingine mkuu...yule jamaa bila shaka ni the world best comedian of all time. Wakati nipo mdogo nlikuwa najua jamaa ni chizi au ndivyo alivyo, kumbe ni sehemu tu ya kazi..he was a real comedian.