Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumchekesha Mtz aliyezimwa pesa za korosho sio ishu ndogo.
Hii ndio ilinifanya nionekane chizi 😆😆😆😆😆😆Baba ya wachekeshaji uchwara. View attachment 1049062
[emoji23] [emoji23]Hii ndio ilinifanya nionekane chizi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Pilipili alikuwa na swaga zake za uchekeshaji sasa zimekwisha amekosa ubunifu na mbinu za kuonyesha kwamba kipaji chake hakiishi.Kamtafute mtu anaitwa Deogratius wa cheka tu ndo utajua wapo au hawapo jamaa talented sana.
Huyo pipipili hamna kitu.
Mr Romantic
Kamtafute mtu anaitwa Deogratius wa cheka tu ndo utajua wapo au hawapo jamaa talented sana.
Huyo pipipili hamna kitu.
Mr Romantic
Huyo pilipili sijawahi hata kuangalia hizo comedy zake
Kuna Pastor kuria "Man Kushi", Mammito, profesa Hammo, Tricky Sana.... nawakubali sana jamaa wa churchil showWabongo stand up comedy bado sana, bora hata Cheka tu kidogo wanajitahidi ambako Deogratious na Nalimi nawaelewa sana, ila pilipili yule jamaa chenga sana kuchekesha ni ziro kabisa, ndo maana wajanja tunaangalia Churchill ya kenya kule Kuna jamaa anaitwa YY ni shidaa
Hao jamaa wa Jambo na Vijambo wapo Chennel gani asee? Muda gani? Zamani nilikuwa nawaangalia EATV, Sasa siku hizi siwaoni.Kweli kabisa Kiongozi Jamaa wale ni talented sana halafu ni wabunifu sana..wametuletea ladha mpya ya komedi tofauti na ile tuliyozoea (mf. Bambo, Kingwendu, kiwewe n.k).Comedians wengi bongo ni wapiga zumari tu hamna kitu.
Unafiki pembeni, wale jamaa wa "JAMBO NA VIJAMBO" Wanajua sana. Kibongobongo nawakubali sana wale raia.....Kwa malegendari, Joti yupo juu.