Hahahaha aisee jamaa ni kituko mwanzo mwisho๐๐๐Sitaki kuamini kuwa hiyo suruali yake haijakushughulisha. This guy is so funny๐๐๐๐๐๐๐๐Viatu je [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 1049065
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyo kiumbe ukimwona tu bila kufanya mambo yake utaanza tu kucheka.Hahahaha aisee jamaa ni kituko mwanzo mwisho[emoji23][emoji23][emoji23]Sitaki kuamini kuwa hiyo suruali yake haijakushughulisha. This guy is so funny[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee ila nahisi Mr. Bean kakopi "Silence Film style" ya jamaa coz Bean naye ni boya kinoma๐[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyo kiumbe ukimwona tu bila kufanya mambo yake utaanza tu kucheka.
Nakubali... Tiny white, kipupwe, Ringo, Joti,maufundi..nmemalizaList yangu ni hii
Joti
mpoki
Maufundi
ringo
kipupwe
tiny white
Na braza k
Bean sijawahi kumkubali hata kidogo.Aisee ila nahisi Mr. Bean kakopi "Silence Film style" ya jamaa coz Bean naye ni boya kinoma[emoji23]
Tatizo la Bean mbwembwe nyingi..halafu anajidai chizi fresh.Bean sijawahi kumkubali hata kidogo.
Hajui lolote.Tatizo la Bean mbwembwe nyingi..halafu anajidai chizi fresh.
Jamani keleleni nina mgonjwa ndaniDemu wako anaolewaaaaa,,
'''Unasemaa''''
Yule demu wako mwenye ma TT makubwaaa anaolewaaaa,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwa Uganda ongezea Anne KansiimePilipili ninachoona kazi yake ni kutusi watu na kujisifia kuwa ana PRADO basi. Deogratius namkubali sana. Wenzetu wa Kenya wapo mbali sana. Uganda yupo mmoja anaitwa Salvador huyo ni mkali sana.
Mizengwe kuna wachekeshaji