Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

1. Kama hakutakuwa na kutenganishwa kwa muingiliano wa moja kwa moja baina ya serikali (viongozi wa kisiasa) na TISS... Basi tusitegemee mabadiliko katika hilo...
2. Kama kutaendelea kuajiri watu wa kitengo kwa kuangalia chama na undugu... Basi tusitegemee mabadiliko katika hilo
3. Kama hakutokuwa na uundwaji mpya wa kitengo kwa ujumla... Basi tusitegemee mabadiliko katika hilo...
UZALENDO UANZE HAPA KATIKA KUHAKIKISHA TUNAIRUDISHA TISS ILIYO BORA ZAIDI.
 
Kwani Magufuli alikuwa Mungu .Magufuli ana watoto na walikuwa .Magufuli mtu wa kinondoni Mtoto wake Donald drug addict Mlevi .picha kibao za baba ake kwenye simu .Magufuli ni baba ake sio rais kwa yeye
 

Kabisa zamani Tv na video decks ilikuwa ni Sheikh Yahaya tu na Nyerere pale ikulu basi. TISS wa JPM wameonesha kuwa walifanyakazi zao kuangalia maslahi mapana ya walio wengi katika nchi hii. Na kifo cha JPM kimedhihirisha hilo. Mafisadi wanaojitahidi kupitia vibaraka wao wanao walipa kùjaribu kufifisha kazi za TISS na kuchafua taswira ya idara hii kwa kutumia vimelea vyao ndani ya mfumo bado wameshindwa sana ndio "big time" kuinyongonyeza TISS na vyombo vingine vya Kiusalama.
 
naunga mkono hoja kwel kabisa tz haiko salama
 
Kuna vitu vingine hauwezi kufanya siri hata uweke sheria kali kwenye hii dunia digito! Kifo uwezi kufanya siri. Jeneza linapotoka kuna watu, wapakiaji, dereva, wanao lipokea ikulu/hospital linapoifadhiwa hapo ikulu/hospital kuna wafanyakazi watakuwa wanaliona. Unaweza kuficha kwa masaa machache lakini sio siku utakuwa unajidanganya!!
 
Hiyo kazi mbona ni rahisi sana! Kum bbq traitors in the midst! Wala hawahitaji kubadirisha wote, wanaweza kuwatambua na kuwa eliminate kisansi at low cost!
 
Tatizo TISS wa siku hizi ni UVCCM ndio maana, hakuna kitu kichwani, mliyataka wenyewe.
Nakuunga mkono kuwa Idara hizi nyeti si za kufanya kwa kujuana ingawa tatizo la siri kuvuja liko dunia nzima kila siri ina bei yake cha muhimu nikujua hulka ya muuzaji anapenda sifa pesa ama kisasi, pia kizazi hiki hasa cha ki Tanzania kina tatizo la maadili kuanzia ngazi ya familia hadi mashuleni hadi kazini .Angalia hulika zetu zikoje hata umtoe wapi lakini kuna ile hulka flani watu wa kizazi hiki wanayo kila wanacho kisikia na kuona wa kimbilia ku share hivyo uhifadhi wasiri lazima uwe mgumu
 
Mkuu kwa mfano kuna yale magari ya jeshi ambayo hutumika kwenye sherehe za uhuru au kuapishwa kwa marais au kubeba miili ya marais waliofariki... hayo magari yalionekana tangu jumanne wiki hii inayoisha yakitoka lugalo jeshini kuelekea mjini sasa wenye akili walipoyaona hayo magari wakaunga dots kwamba kuna jambo kwa sababu yale magari huwa hayaonekanagi hovyo tu mitaani.....
 
Nashauri serikali badala ya kutunga Sheria kali za mitandao ijikite kuzalisha manguli wa tecnolojia waweze kupambana na Changamoto za kitecnolojia.
 
Nashauri serikali badala ya kutunga Sheria kali za mitandao ijikite kuzalisha manguli wa tecnolojia waweze kupambana na Changamoto za kitecnolojia.

Kwani hawako? Mbona twahakiwa kila uchao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…