Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Wewe ni mtu mzima hopeless kama ni mtu mzima kweli lakini.
 
Unfortunately even the “fresh faces we need” are also partially compromised!

Wengi wamejazwa upepo! Full of a bright future on the outside but lack of the real future in the inside!

Madebe Matupu!!!
its better for new faces kuliko hao walio experienced. new faces ni easy to teach.. to control.
so i say bora hao.. but wawahi.before it is too late
 
Uongo mtupu
Mkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush Jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.
 
Rais hajafa kwa covid-19..
Wanajaribu kutuaminisha kitu ambacho hakipo, waambieni watuonyeshe CCTV footage zikionyesha Magufuli alilazwa na kutibiwa mzena kwa covid 19, waonyeshe magufuli akiwa anapata misaada ya upumuaji kwa kutumia machine za upumuaji, tulichokiona ni kuambia kafia mzena mwili unachukuliwa unapelekwa hospital jeshi, huku jana yake makamu wa rais alitangaza kifo cha Rais akiwa Tanga, immagine sio ikulu ni Tanga hehe, yaani makamu wa Rais na waziri mkuu wake hawana taarifa yeyote ya kuzidiwa kwa Rais wao na hata kukatisha ziara zao kurudi ikulu/makao makuu ya nchi, inavyooneka ni mtu kampigia simu samia huko aliko na akatangaza kifo baada ya hapo wakawa na jibu ni corona.
 
Kwa nini hizo gari hazikupitishwa usiku?
Huwezi kuzuia kuvuja kwa taarifa, kwa sababu ya kujua kuwa teknolojia. Mfano gari la kubeba maiti za rais zilionekana mchana kweupe ikitoka maeneo ya Lugalo kuelekea maeneo ya Makumbusho, watu wakapiga picha na kusambaza kwa kasi ya mwanga, wakaunganisha dots na kuanza kujua what goes on. Ingekuwa zamani na Simu zetu za phillips taarifa zaisingesambaa hivyo.. Halafu taarifa nyingi zilizovuja zilikuwa na maslahi kwa taifa. Sio kila mtu anapenda wachache wake nchi, Ndio maana wanaanika uozo
 
ExJA53PXMAAl7d-.jpeg
 
Ndani ya mwezi mmoja,ikulu yetu tumepoteza viongozi muhimu sana. Sio kitu cha kawaida. TISS msikae kimya.kuna jambo
Mkuu mimi lililo nisikitisha sana ni TISS kutokwenda kisayansi bali kwenda na emotions za viongozi.
Usalama wa nchi si hisia za kiongozi bali hard facts na evaluations za hizo facts.
Tulijua kuwa covid ipo, na kisayansi ina mutate, thats a fact.

TISS inayoaminika na Taifa, iliamua kwenda na emotions za imani, Kusali na kuomba.
Hapo ndo nikajua something is very wrong.

Ndani ya Ikulu tumepoteza watu kwa kujidai covid haipo.
Ni mpaka pale tumeona viongozi wakubwa wanaanza kudondoka kama nzi ndiyo tumesituka.

Lazima tukubali kuwa katika hili, TISS wameonyesha udhaifu mkubwa kiutendaji.

On the other hand nilifiwa na Afisa wa JWTZ, na tuliaga pale Lugalo.
Standing order pale Lugalo ni KILA MTU KUVAA BARAKOA, no matter whom!
Nikajiuliza kama kuna orders tofauti katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama?
Kwa vyovyote msimamo wa JWTZ ulikuwa sahihi.

Tunawasihi TISS kurudi kwenye misingi ya kuanzishwa kwake.
 
TISS imeingiliwa na wana siasa. haswa chama tawala. ukishakuwa kada wanakusukumizia huko.. hawajali kuhusu qualifications.

zamani TISS walikuwa wana recruit smart peoples tu. na kazi za weledi zilionekana.
lakin sasa hivi makada ndio usalama..nmatokeo yake tunapata watumishi wasio na weledi.

na huu ni mwanzo.tu.
Noma Sana.
 
Unakuwa na mawazo km yangu akili yangu pia imegoma kuamini sababu iliyotolewa.
Kwa mwendo huu wa usalama. nashindwa kuamini km Mwamba kafariki kifo chakawaida.
Ubongo wangu unagoma kabisa, maadui inaonekana wameingia hadi chumbani.
Mungu mpumzishe kwa amani mzalendo no 1. Hakika tutakukumbuka daima JPM.
 
Wewe mjomba wako akikutafutia kazi utashindwa kumweleza hbr za kazini kwako
Wengi vijana pale ikulu baba zao wapo serikalini na katika chama hayo mengine mtajaza wenyewe
 
Naomba kukazia

Hakuna kitu kinaitwa demokrasia kwenye Utawala unaojitambua


Mkuu una kaujinga unakokalea kichwani mwako.

Unaiponda demokrasia eh?
Nikuulize tu, Magufuli alifikaje pale alipofika?
Au unalivunja daraja la demokrasia alimradi wewe umefika uliko fika.

Ni dhahiri Prez Magufuli alifanya mengi mazuri na ya kuigwa, lakini mengine at the expense of democratic principles.
Kama wewe hutaki democracy si basi Jeshi lipate madaraka liendeshe nchi toka zamani, kwa mawazo hayo Magufuli angeupata wapi urais?

Narudia tena , ni ujinga kudhihaki muundo wa demokrasia uliokufikisha ulipofika, halafu ukafikiria ni business as usual.
 
Naomba kukazia

Hakuna kitu kinaitwa demokrasia kwenye Utawala unaojitambua
Tuliweke hilo kuwa mada ya siku nyingine.
Kura yako moja hailingani na kura moja ya Rostam Aziz, ndio demokrasia hiyo.
 
man unaweza ku hide your location without tor network.
Vpn ikiwa moja wapo. and siongoelei normal vpn.. vpn with extra tunneling.
could one or more. making hard to find the target.
Kwani Tor network ina utofauti gani na VPN kimatumizi ya ulinzi wa kimtandao?
 
Kwenye wasifu wa marehemu JPM, TL ameandika chanzo cha habari za raisi kuwa mgonjwa alizipata kutoka Marekani na Afrika Kusini. Na alizipata habari hizo siku 3 kabla hajaaandika Twitter. Mbona hamjiulizi Wamarekani wanapata wapi COVID data za kuwaonya raia watu wachukue tahadhari na safari za kuja Tanzania? Serikali hazitoi hizi takwimu sasa Wamarekani hata Waingereza wanazipataje?
 
Mtanza
Mtanzania wa kweli na mwenye uchungu na Tz hawezi kumkumbuka huyu mtu;
Mauaji,
Utekaji,
Ajira za upendeleo wa kichama,kiukanda,n.k,
Kuhamishia mali za nchi Chato,
Kuminya Uhuru wa vyombo vya habari,
Udikteta kwa vyama vya upinzani,




Acheni unafiki.
Mnajua maana ya "mtanzania wa kweli na mwenye uchungu na Tz"?
"Mtanzania wa kweli na mwenye uchungu na Tz" anamaanisha uwe m-ccm. Usipokuwa CCM wewe si mzalendo. Ndo tulipofikia
 
Tundu Lissu anadai na kutamba taarifa zote za kuugua na umauti wa JPM alikuwa anapatiwa na vyanzo vya uhakika vilivyomo ndani ya Serikali. NI HATARI Nchi hususani za kiafrika zikifikia hali hii. Ni hatari.
 
Back
Top Bottom