Tanzania hii yote hakuna fundi simu wala compyuta!

Tanzania hii yote hakuna fundi simu wala compyuta!

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Wadau mimi ni fundi wa simu lakini kunawakati kabisa najiona mimi sio fundi.

Hivi umewahi kupeleka simu au computer ikiwa na tatizo la kutokuwaka kwa fundi, halafu akakwambia imekufa kabisa haiwezi faa labda ununulie mashine nyingine?

Yaani iko hivi, simu au computer haiwezi unguza components zote na ikitokea hivo basi hata mother body yenyewe haita faa. Hapo ndio itakuwa ni sawa fundi kukupa majibu kwamba haiwezi kupona, maana inakuwa imeua mpaka ramani, na njia zake.

Lakini kama kwa macho yako ukitazama unaona kilakitu kipo sawa jua hicho kifaa chako kina uwezo wa kupona, sema tu changamoto iwe kwa fundi au spare.

Mfano kwenye simu kuna kitu kinaitwa emmc, hiyo ikifa simu haiwezi waka au ikiwaka haimalizi. Kwa bongo ni ngumu sana kurekebisha matatizo kama hayo.
 
wadau mimi ni fundi wa simu lakini kunawakati kabisa najiona Mimi sio fundi,

hivi umewahi kupeleka simu au computer ikiwa na tatizo la kutokuwaka kwa fundi? halafu akakwambia imekufa kabisa haiwezi faa labda ununulie mashine nyingine?

yaani iko hivi simu au computer haiwezi unguza components zote na ikitokea hivo basi hata mother body yenyewe haita faa hapo ndo itakuwa ni sawa fundi kukupa majibu kwamba haiwezi kupona, maana inakuwa imeua mpaka ramani, na njia zake

lakini kama kwa macho yako ukitazama unaona kilakitu kipo sawa jua hicho kifaa chako kina uwezo wa kupona, sema tu changa moto iwe kwa fundi au spare,

mfano kwenye simu kuna kitu kinaitwa emmc hiyo ikifa simu haiwezi waka au ikiwaka haimalizi, kwa bongo ni ngumu sana kurekebisha matatizo kama hayo,
Hayo ni mawazo yako mr. mimi kwa upande wangu nipo kinyume na wewe. mafundi wapo tena ni nguli hadi kwenye kufanya swap hadi izo mother body micro chip (CPU,ROM)kwanzia ios mpaka android
 
Wadau mimi ni fundi wa simu lakini kunawakati kabisa najiona mimi sio fundi.

Hivi umewahi kupeleka simu au computer ikiwa na tatizo la kutokuwaka kwa fundi, halafu akakwambia imekufa kabisa haiwezi faa labda ununulie mashine nyingine?

Yaani iko hivi, simu au computer haiwezi unguza components zote na ikitokea hivo basi hata mother body yenyewe haita faa. Hapo ndio itakuwa ni sawa fundi kukupa majibu kwamba haiwezi kupona, maana inakuwa imeua mpaka ramani, na njia zake.

Lakini kama kwa macho yako ukitazama unaona kilakitu kipo sawa jua hicho kifaa chako kina uwezo wa kupona, sema tu changamoto iwe kwa fundi au spare.

Mfano kwenye simu kuna kitu kinaitwa emmc, hiyo ikifa simu haiwezi waka au ikiwaka haimalizi. Kwa bongo ni ngumu sana kurekebisha matatizo kama hayo.
Sasa mkuu unakutana na Pc 10 Generations, Processor imezingua au Nvidia card imekufa, kwanza machine za kungoa hizo chip ya Processor bongo hamna mwenye nayo na ukisema uagize na uwe hizo processor utalazimikankumchaji mtu laki 5 Mpaka laki 7? Sasa mbongo gan atatoa hiyo hela kurekebisha machine yake? Wateja wenyewe fundi akitaja hii nipe elfu 60 mteja analia ana 20,000/=
 
Mafundi wengi hamna kitu wanaunga unga sana... Tena anaweza haribu zaid ni risk sana kupeleka kwa hawa fundi maiko
 
Tanzania kuna mafundi bwana asikwambie mtu.... Ishu ya kubwa ya fundi ni kutafuta tatizo ila kitu kupona ni kazi ya mteja kama ana mudu gharama za replacement parts au aachane nayo. Sema wengi mmekariri Kariakoo kwa wabadirisha Vioo, mic, speaker na Charging port... Sema uelekezwe kama unahitaji fundi, Simu yako isipopona nipo hapa.
 
Tanzania kuna mafundi bwana asikwambie mtu.... Ishu ya kubwa ya fundi ni kutafuta tatizo ila kitu kupona ni kazi ya mteja kama ana mudu gharama za replacement parts au aachane nayo. Sema wengi mmekariri Kariakoo kwa wabadirisha Vioo, mic, speaker na Charging port... Sema uelekezwe kama unahitaji fundi, Simu yako isipopona nipo hapa.
nielekeze mzee nina samsung J7 pro yangu kioo inaonyesha robo huko kwengine kote giza japo inatachi
 
Ukiona fundi anakwambia simu imekufa hawezi kupona tena,tafsiri yake ni kwamba,fundi amepiga hesabu speak zinazotakiwa hapo ukijumlisha na gharama ya ufundi jumla yake inakaribia kuwa sawa na kununua nyingine dukani.
 
Usishangae simu tu Mkuu, kuna utafiti uliwahi kuonesha kuwa watu wengi Duniani huzikwa wakiwa hai..yaani hawajamalizua hatua za kifo sembuse simu.
 
Back
Top Bottom