Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

Kalamu1 jaribu kusoma upya ukichoandika hapa naona kuna contradictions. Unasema husomi na still unafanya argument na mada uliyoidharau.

Walioiponda mada wala hawa comment, kwa ku comment inadhihirisha umeisoma, umeelewa na umekuwa provoked.
Mkuu, mara kadhaa mimi hukomenti kuhusu kichwa cha habari kilichotumika bila kusoma yaliyoandikwa huko chini yake. Kichwa cha mada kinatoa mwelekeo au maudhui ya yaliyomo kwenye mada yenyewe. Kama si hivyo, basi mwandishi hajui kutumia vyema mpangilio wa mada yake.
 
Sukuma gang punguza makasiliko
 
Mimi niko mkoa mmoja wapo hapo bado unaongopa,
Sina haja ya kuongopa hebu nieleze huko Kigamboni kuna zahanati au Madarasa mangapi umeona hii ni Dar es salaam Tu alafu kama mkoa wa Kilimanjaro ambao 70% wamissionary walishatengeneza hivyo vitu,hivyo vipya viko wapi?!!..Leo nipo Mwanza na kuna maeneo nimepita sivyo ilivyo wewe ndio Una ongopa kwasababu hujui lakini unafwata propoganda!!!..Kwa Taarifa Tu bado nipo natembelea mikoa mingine!!
 
Rubbish
 
Kwani harembui? We huoni mijicho yake ile ilivyolegezwa?

Amiri jeshi gani anarembua? Anaaibisha nchi.

Amiri jeshi gani hawezi hata kufoka japo kidogo atie mikwara ya kutisha wazembe?

Au ndo mambo ya kizenji? Ulegevu na kurendemka?
Unateseka sana aisee......kunywa maji ya kutosha ushushe huo msongo usije kukuua.
 
Wewe ni mgonjwa wa akili
 
Full idiot at his peak level...

Wapuuzi Kama nyie laana haiwezi kuwaacha salama kwa ujinga ujinga wenu huu..

Heti kakusanya 17T/month, hivi unaijua vizuri trillion 17.
Upuuzi na ujinga wako huu peleka huko Facebook kwa vilaza wenzio siyo hapa jf.

Hili bwege hata ukiliuliza bajeti ya Tanzania kwa mwaka wa fedha 21/22 lisijue lolote!
 
Full idiot at his peak level...

Wapuuzi Kama nyie laana haiwezi kuwaacha salama kwa ujinga ujinga wenu huu..

Heti kakusanya 17T/month, hivi unaijua vizuri trillion 17.
Upuuzi na ujinga wako huu peleka huko Facebook kwa vilaza wenzio siyo hapa jf.
Ni 1.72Trilioni kwa mwezi, Weka rekodi sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…