igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Yapi? Kumbuka hizi fedha zinatakiwa zitumike kwenye miradi ambayo itasaidia kupunguza uzalishaji wa hewa ukaa...Siyo Tz peke yake!
Kwa Tz yapo mengi ya kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapi? Kumbuka hizi fedha zinatakiwa zitumike kwenye miradi ambayo itasaidia kupunguza uzalishaji wa hewa ukaa...Siyo Tz peke yake!
Kwa Tz yapo mengi ya kufanya
[emoji12][emoji12][emoji12] kews ukaa mkuu??Kuwajengea nyumba marais wastaafu!!!
Shida iko pale pale kwenye pesa za uviko kujengea madarasa mkuu.Shida iko wapi?
Kazi iendelee,Hakika ni mwema sana Komredi🙏
Kazi inaendelea mkuu👍
Ulitaka zifanyaje?Shida iko pale pale kwenye pesa za uviko kujengea madarasa mkuu.
Umeeleza vizuri sanaBei ya Petrol ikishuka mazingira ndio yatazidi kuharibiwa, binadamu wanatakiwa watumie umeme wa jua, volcano na upepo zaidi kutunza mazingira.
,Yapi? Kumbuka hizi fedha zinatakiwa zitumike kwenye miradi ambayo itasaidia kupunguza uzalishaji wa hewa ukaa...
Mungu anaendelea kutusimamia Tanzania''Wajinga ndio waliwao.''
Good analysis mkuu,Afrika inazalisha hewa ya ukaa 4% ....tena ni nchi mbili(SA ,Nigeria) zinazozalisha 90% ya hiyo 4%.....
Kwa kweli ninategemea wadau wataongeza "fungu" kwa ajili ya USIMAMAJI WA PAMOJA KAMA MATAIFA HURU💪
SIEMPRE JMT
Wapi tumeomba hao matajiri watoe $100BL?Pale unapokua na jamii, kuanzia mwanainchi wa kawaida mpaka serikali wanaoamini wao hawawezi bila msaada na msaada ni haki yao, then una jamii iliyofail..no wonder watu wanajazana makanisani kuombewa utajiri..tumekua taifa la omba omba.
Km jambo la kidunia, ktk hio $100B nyie mmechangia ngapi?Wapi tumeomba hao matajiri watoe $100BL?
hili ni jambo la kidunia tuendelee kushikiana na Dunia
Tatizo huko mashuleni mnakaririshwa mambo ambayo Tanzania bado sana hatujayafikiaBei ya Petrol ikishuka mazingira ndio yatazidi kuharibiwa, binadamu wanatakiwa watumie umeme wa jua, volcano na upepo zaidi kutunza mazingira.
Tatizo huko mashuleni mnakaririshwa mambo ambayo Tanzania bado sana hatujayafikia
Swadakta Komredi 👍Good analysis mkuu,
Walete hizo pesa sisi tujenge SGR
Tanzania sio donorKwa hiyo Tanzania siyo Donner country kana Tulivyoaminishwa kwa miaka 5 iliyopita..... So sad!!
Ndio maana Tanzania tunataka treni ya umemeUjinga ni kufikiria bei ya petroli inaweza kushushwa na mkutano wa kutunza mazingira.
Acha ushamba, Wanatoa pesa ni wale walioharibu Ozone layer ambao ndio matajiri wa leoKm jambo la kidunia, ktk hio $100B nyie mmechangia ngapi?
Wanarudisha walichochuma kwa uharibifu,Acha ushamba, Wanatoa pesa ni wale walioharibu Ozone layer ambao ndio matajiri wa leo