Tanzania huenda tukapata Least Deleveloped Countries Fund ( LDCF ) kwenye US$100B za COP

Tanzania huenda tukapata Least Deleveloped Countries Fund ( LDCF ) kwenye US$100B za COP

Nyie nawashangaa sana, hivi mnafikiri hizi hela tunapewa au tunakopeshwa, huwa siwaelewi hata kidogo
 

Agenda ya US$100B kwa nchi masikini baada ya Rais Samia kurejea nchini tutarajie chochote kutoka COP26?

"Hakuna kama Samia "


Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwawajumbe 197 wa baraza la 26 la Uhifadhi wa Mazingira duniani yaani COP26 lililoketi kwa kipindi cha Siku 12 Glasgow nchini Scotland chini ya Rais wake Alok Sharma kwa uenyeji wa UK,

Lengo kuu la mkutano huu wa 26 nililelile tangu mwaka 1994 ambalo ni kujadili kwa pamoja mpango wa EIA na namna ya kuendelea kuipunguza hewa ya ukaa ( Greenhouse gases) kwa 45% ifikapo 2030 ili kulileta Joto katika nyuzi joto 1.5'C za awali kabla ya ujio wa Viwanda kwa kuanzisha " zero carbon solution " ambayo hadi sasa imefikiwa kwa 25% tu duniani kote,

Greenhouse gases au hewa ya ukaa inatokana kwa kiasi kikubwa na kuungua kwa POPs kama Carbon na Sulphur ambazo mara nyingi hutolewa kutoka kwenye moshi wa Viwandani, kwenye magari moshi, magari ya kawaida,mashine mbalimbali za makaa ya mawe et el,

Gesi hii ikifika juu ya anga inaharibu lile blanketi la dunia|ozone layer ( O3 ) kwa kulitoboa matundu ambayo yanaifanya miali ya Jua ipenye kirahisi na kuifikia dunia na hivyo kupandisha Joto la dunia ambalo nalo hubadili karibu kila kitu chini ya uso wa dunia ndio tunasema "mabadiliko ya tabia ya nchi " au Global warming effects

Hoja ya dunia kwa sasa ni kuondoa au kupunguza matumizi ya nishati zote zinazotoa Carbon na Sulphur yakiwemo mafuta aina zote ili kuiepusha dunia na kiama, zaidi ya 50% ya hewa yote ya ukaa inatolewa na China na Marekani,

COP21 iliyofanyika Paris Ufaransa mwaka 2015 wajumbe wote walikubaliana nchi zilizoendelea au zenye kipato cha juu ambazo according to World Bank ziko 81 zitoe pesa kiasi cha $100B karibu TZS 230 trilioni kama LDCF kwa kila mwaka kwa nchi masikini kama Tanzania ili nazo ziweze kukabiliana na mabadiliko ya " Tabia nchi "

Tanzania tunamradi wa kujenga SGR au reli ya Umeme ( Zero carbon project) wa zaidi ya km 1,800 kama tutacheza vizuri na hizi $100BL kama tulivyocheza na zile TZS 1.3trilioni za COVID-19 tunaweza kupata sapoti hii kwani kwa hesabu ya hara karibu kila nchi masikini italamba $1BL au TZS 2.3trilioni za bure kwa kila mwaka kwaajili ya kupambana na mabadiliko ya tambia nchi ambayo SGR ni mradi kipenzi cha "Zero Carbon Solution " hakika Rais Samia ni akili kubwa,

Taarifa hii iwasaidie wasiojua kwanini Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan alikwenda mwenyewe Scotland,




View attachment 1994663

View attachment 1997302

View attachment 1997303

View attachment 1997304

View attachment 1997305

View attachment 1997306

View attachment 1997307

View attachment 1997308

View attachment 1997309
hii equation kama haina balance nchi ambazo ni maskini zinataka uchumi ukue kwa kujenga viwanda ambavyo navyo inatoa hewa chafu kwa namna moja ama nyingine na vifaaa ambavyo vinahitajika ili hizi nchi maskini ziendelee wanategemea kununua kutoka huko huko kwenye viwanda hivyo hivyo vinavochafua mazingira lakini sasa hivi nchi masikini hizo zinaona kama nchi zinachafua mazingira na huku zinazalisha bidhaa za nchio zao ziendelee..mfano kama hapa tanzania mabehewa, ma vifaa ya umeme karibia , vifaa vya kujemgea meli , ndege zinatoka kwenye viwanda hivyo hivyo ambavyo vinachangia uchafuzi wa mazingira.
Mimi naona hizo pesa ni mara mia wapande miti amazonile iliyo unngua au wa design mitambo ya kuchuja hewa kuliko kutupa hela wakati mwingine zisifanye hiyo kazi kikamilifu
 

Agenda ya US$100B kwa nchi masikini baada ya Rais Samia kurejea nchini tutarajie chochote kutoka COP26?

"Hakuna kama Samia "


Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwawajumbe 197 wa baraza la 26 la Uhifadhi wa Mazingira duniani yaani COP26 lililoketi kwa kipindi cha Siku 12 Glasgow nchini Scotland chini ya Rais wake Alok Sharma kwa uenyeji wa UK,

Lengo kuu la mkutano huu wa 26 nililelile tangu mwaka 1994 ambalo ni kujadili kwa pamoja mpango wa EIA na namna ya kuendelea kuipunguza hewa ya ukaa ( Greenhouse gases) kwa 45% ifikapo 2030 ili kulileta Joto katika nyuzi joto 1.5'C za awali kabla ya ujio wa Viwanda kwa kuanzisha " zero carbon solution " ambayo hadi sasa imefikiwa kwa 25% tu duniani kote,

Greenhouse gases au hewa ya ukaa inatokana kwa kiasi kikubwa na kuungua kwa POPs kama Carbon na Sulphur ambazo mara nyingi hutolewa kutoka kwenye moshi wa Viwandani, kwenye magari moshi, magari ya kawaida,mashine mbalimbali za makaa ya mawe et el,

Gesi hii ikifika juu ya anga inaharibu lile blanketi la dunia|ozone layer ( O3 ) kwa kulitoboa matundu ambayo yanaifanya miali ya Jua ipenye kirahisi na kuifikia dunia na hivyo kupandisha Joto la dunia ambalo nalo hubadili karibu kila kitu chini ya uso wa dunia ndio tunasema "mabadiliko ya tabia ya nchi " au Global warming effects

Hoja ya dunia kwa sasa ni kuondoa au kupunguza matumizi ya nishati zote zinazotoa Carbon na Sulphur yakiwemo mafuta aina zote ili kuiepusha dunia na kiama, zaidi ya 50% ya hewa yote ya ukaa inatolewa na China na Marekani,

COP21 iliyofanyika Paris Ufaransa mwaka 2015 wajumbe wote walikubaliana nchi zilizoendelea au zenye kipato cha juu ambazo according to World Bank ziko 81 zitoe pesa kiasi cha $100B karibu TZS 230 trilioni kama LDCF kwa kila mwaka kwa nchi masikini kama Tanzania ili nazo ziweze kukabiliana na mabadiliko ya " Tabia nchi "

Tanzania tunamradi wa kujenga SGR au reli ya Umeme ( Zero carbon project) wa zaidi ya km 1,800 kama tutacheza vizuri na hizi $100BL kama tulivyocheza na zile TZS 1.3trilioni za COVID-19 tunaweza kupata sapoti hii kwani kwa hesabu ya hara karibu kila nchi masikini italamba $1BL au TZS 2.3trilioni za bure kwa kila mwaka kwaajili ya kupambana na mabadiliko ya tambia nchi ambayo SGR ni mradi kipenzi cha "Zero Carbon Solution " hakika Rais Samia ni akili kubwa,

Taarifa hii iwasaidie wasiojua kwanini Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan alikwenda mwenyewe Scotland,




View attachment 1994663

View attachment 1997302

View attachment 1997303

View attachment 1997304

View attachment 1997305

View attachment 1997306

View attachment 1997307

View attachment 1997308

View attachment 1997309
Hii nzuri sana
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
Back
Top Bottom