Elly official
JF-Expert Member
- Sep 16, 2018
- 730
- 989
Nyie nawashangaa sana, hivi mnafikiri hizi hela tunapewa au tunakopeshwa, huwa siwaelewi hata kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mkopo ni bure hiziNyie nawashangaa sana, hivi mnafikiri hizi hela tunapewa au tunakopeshwa, huwa siwaelewi hata kidogo
Hizo $9BL ilikuwaje?Mwamba alisema hatutaki mkopo mtusamehe madeni wazungu wakamwona mwanga
hii equation kama haina balance nchi ambazo ni maskini zinataka uchumi ukue kwa kujenga viwanda ambavyo navyo inatoa hewa chafu kwa namna moja ama nyingine na vifaaa ambavyo vinahitajika ili hizi nchi maskini ziendelee wanategemea kununua kutoka huko huko kwenye viwanda hivyo hivyo vinavochafua mazingira lakini sasa hivi nchi masikini hizo zinaona kama nchi zinachafua mazingira na huku zinazalisha bidhaa za nchio zao ziendelee..mfano kama hapa tanzania mabehewa, ma vifaa ya umeme karibia , vifaa vya kujemgea meli , ndege zinatoka kwenye viwanda hivyo hivyo ambavyo vinachangia uchafuzi wa mazingira.Agenda ya US$100B kwa nchi masikini baada ya Rais Samia kurejea nchini tutarajie chochote kutoka COP26?
"Hakuna kama Samia "
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwawajumbe 197 wa baraza la 26 la Uhifadhi wa Mazingira duniani yaani COP26 lililoketi kwa kipindi cha Siku 12 Glasgow nchini Scotland chini ya Rais wake Alok Sharma kwa uenyeji wa UK,
Lengo kuu la mkutano huu wa 26 nililelile tangu mwaka 1994 ambalo ni kujadili kwa pamoja mpango wa EIA na namna ya kuendelea kuipunguza hewa ya ukaa ( Greenhouse gases) kwa 45% ifikapo 2030 ili kulileta Joto katika nyuzi joto 1.5'C za awali kabla ya ujio wa Viwanda kwa kuanzisha " zero carbon solution " ambayo hadi sasa imefikiwa kwa 25% tu duniani kote,
Greenhouse gases au hewa ya ukaa inatokana kwa kiasi kikubwa na kuungua kwa POPs kama Carbon na Sulphur ambazo mara nyingi hutolewa kutoka kwenye moshi wa Viwandani, kwenye magari moshi, magari ya kawaida,mashine mbalimbali za makaa ya mawe et el,
Gesi hii ikifika juu ya anga inaharibu lile blanketi la dunia|ozone layer ( O3 ) kwa kulitoboa matundu ambayo yanaifanya miali ya Jua ipenye kirahisi na kuifikia dunia na hivyo kupandisha Joto la dunia ambalo nalo hubadili karibu kila kitu chini ya uso wa dunia ndio tunasema "mabadiliko ya tabia ya nchi " au Global warming effects
Hoja ya dunia kwa sasa ni kuondoa au kupunguza matumizi ya nishati zote zinazotoa Carbon na Sulphur yakiwemo mafuta aina zote ili kuiepusha dunia na kiama, zaidi ya 50% ya hewa yote ya ukaa inatolewa na China na Marekani,
COP21 iliyofanyika Paris Ufaransa mwaka 2015 wajumbe wote walikubaliana nchi zilizoendelea au zenye kipato cha juu ambazo according to World Bank ziko 81 zitoe pesa kiasi cha $100B karibu TZS 230 trilioni kama LDCF kwa kila mwaka kwa nchi masikini kama Tanzania ili nazo ziweze kukabiliana na mabadiliko ya " Tabia nchi "
Tanzania tunamradi wa kujenga SGR au reli ya Umeme ( Zero carbon project) wa zaidi ya km 1,800 kama tutacheza vizuri na hizi $100BL kama tulivyocheza na zile TZS 1.3trilioni za COVID-19 tunaweza kupata sapoti hii kwani kwa hesabu ya hara karibu kila nchi masikini italamba $1BL au TZS 2.3trilioni za bure kwa kila mwaka kwaajili ya kupambana na mabadiliko ya tambia nchi ambayo SGR ni mradi kipenzi cha "Zero Carbon Solution " hakika Rais Samia ni akili kubwa,
Taarifa hii iwasaidie wasiojua kwanini Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan alikwenda mwenyewe Scotland,
View attachment 1994663
View attachment 1997302
View attachment 1997303
View attachment 1997304
View attachment 1997305
View attachment 1997306
View attachment 1997307
View attachment 1997308
View attachment 1997309
Kwani huoni anavyosifiwa eti anaupiga mwingi hadi team pinzani zinakula kadi tu possession ni 90% kwa 10% huku CCM wakipitisha maazimio ya kumpongeza.Mapambio gani?
Rais Samia anafanya vizuri otherwise unachuki zako binafsiKwani huoni anavyosifiwa eti anaupiga mwingi hadi team pinzani zinakula kadi tu possession ni 90% kwa 10% huku CCM wakipitisha maazimio ya kumpongeza.
Sawa sawaRais Samia anafanya vizuri otherwise unachuki zako binafsi
Ngoja tuone kama ni kweli au uongo,Jipe moyo
Hii nzuri sanaAgenda ya US$100B kwa nchi masikini baada ya Rais Samia kurejea nchini tutarajie chochote kutoka COP26?
"Hakuna kama Samia "
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwawajumbe 197 wa baraza la 26 la Uhifadhi wa Mazingira duniani yaani COP26 lililoketi kwa kipindi cha Siku 12 Glasgow nchini Scotland chini ya Rais wake Alok Sharma kwa uenyeji wa UK,
Lengo kuu la mkutano huu wa 26 nililelile tangu mwaka 1994 ambalo ni kujadili kwa pamoja mpango wa EIA na namna ya kuendelea kuipunguza hewa ya ukaa ( Greenhouse gases) kwa 45% ifikapo 2030 ili kulileta Joto katika nyuzi joto 1.5'C za awali kabla ya ujio wa Viwanda kwa kuanzisha " zero carbon solution " ambayo hadi sasa imefikiwa kwa 25% tu duniani kote,
Greenhouse gases au hewa ya ukaa inatokana kwa kiasi kikubwa na kuungua kwa POPs kama Carbon na Sulphur ambazo mara nyingi hutolewa kutoka kwenye moshi wa Viwandani, kwenye magari moshi, magari ya kawaida,mashine mbalimbali za makaa ya mawe et el,
Gesi hii ikifika juu ya anga inaharibu lile blanketi la dunia|ozone layer ( O3 ) kwa kulitoboa matundu ambayo yanaifanya miali ya Jua ipenye kirahisi na kuifikia dunia na hivyo kupandisha Joto la dunia ambalo nalo hubadili karibu kila kitu chini ya uso wa dunia ndio tunasema "mabadiliko ya tabia ya nchi " au Global warming effects
Hoja ya dunia kwa sasa ni kuondoa au kupunguza matumizi ya nishati zote zinazotoa Carbon na Sulphur yakiwemo mafuta aina zote ili kuiepusha dunia na kiama, zaidi ya 50% ya hewa yote ya ukaa inatolewa na China na Marekani,
COP21 iliyofanyika Paris Ufaransa mwaka 2015 wajumbe wote walikubaliana nchi zilizoendelea au zenye kipato cha juu ambazo according to World Bank ziko 81 zitoe pesa kiasi cha $100B karibu TZS 230 trilioni kama LDCF kwa kila mwaka kwa nchi masikini kama Tanzania ili nazo ziweze kukabiliana na mabadiliko ya " Tabia nchi "
Tanzania tunamradi wa kujenga SGR au reli ya Umeme ( Zero carbon project) wa zaidi ya km 1,800 kama tutacheza vizuri na hizi $100BL kama tulivyocheza na zile TZS 1.3trilioni za COVID-19 tunaweza kupata sapoti hii kwani kwa hesabu ya hara karibu kila nchi masikini italamba $1BL au TZS 2.3trilioni za bure kwa kila mwaka kwaajili ya kupambana na mabadiliko ya tambia nchi ambayo SGR ni mradi kipenzi cha "Zero Carbon Solution " hakika Rais Samia ni akili kubwa,
Taarifa hii iwasaidie wasiojua kwanini Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan alikwenda mwenyewe Scotland,
View attachment 1994663
View attachment 1997302
View attachment 1997303
View attachment 1997304
View attachment 1997305
View attachment 1997306
View attachment 1997307
View attachment 1997308
View attachment 1997309
Wamemwelewa sanaKidogo kidogo watamuelewa Mama ....acha tuoneshane makali 🤣 🤣 🤣
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.
Jipe mwenyewe, Ila tutafika tuJipe moyo
Jipe mwenyewe, Ila tutafika tuJipe moyo
Uko sahihi,Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
Hakika na kweliNi wivu tuu 🤣
Alipotoka UNGA mzigo wa 1.3T ukatua,
Safari hii najua itakuwa zaidi,
Hii ndio kazi rasmi ya Rais wa nchi ,
Hongera sana Rais wa Kimataifa,