Kuhusu ushawishi wa kisiasa cdm wameshawashinda ccm muda mrefu, wanachokosa cdm ni silaha za kupambana na ccm, maana ccm inategemea silaha kupitia vyombo vya Dola.Adui aliye karibu ndie tunapambana nae,chadema imejitahidi kufikia theluthi ya nguvu ya ccm ndio maana tunapambana nae asipate robo ya nguvu tuliyonayo.
Naona unamnyoosha kada.Chungwa unaligawa mara 3
Chungwa unaligawa mara 4
Basi Sawa πΌ
Kabisa CDM ndio mhimili wa siasa za nchi hii.Kama unataka kuwa mwanasiasa maarufu Tanzania basi wewe onesha unapambana na CHADEMA.
Kuna wakati Mzee Wasira aliomba kura ndani ya CCM kwa hoja kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na CHADEMA, akachaguliwa.
Leo baadhi ya Wana CCM wanamuona Samia Suluhu kama ni Mwenyekiti legelege kwa kuwa tu haoneshi kupambana na CHADEMA.
Tanzania kuna vyama vingi vya Siasa zaidi ya 18 lakini ni CHADEMA pekee ndiyo kila siku inazungumzia.
Hata chawa kikongwe johnthebaptist na mtafuta teuzi Lucas Mwashambwa na kaka yake Pascal Mayalla wanajua.
Kwa mtazamo wa kina CHADEMA ndiyo ramani ya siasa za Tanzania.
Yani hata nusu ya wabunge hamjawahi kushinda ,hivi mnajua hesabu kweli huko chadema?Kuhusu ushawishi wa kisiasa cdm wameshawashinda ccm muda mrefu, wanachokosa cdm ni silaha za kupambana na ccm, maana ccm inategemea silaha kupitia vyombo vya Dola.
Tulia dogoNaona unamnyoosha kada.
Hesabu ama mazingaombwe!?Yani hata nusu ya wabunge hamjawahi kushinda ,hivi mnajua hesabu kweli huko chadema?
ππ sogea star parkTulia dogo
Wewe utakuwa ni PhD holder ya zamani.Kama unataka kuwa mwanasiasa maarufu Tanzania basi wewe onesha unapambana na CHADEMA.
Kuna wakati Mzee Wasira aliomba kura ndani ya CCM kwa hoja kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na CHADEMA, akachaguliwa.
Leo baadhi ya Wana CCM wanamuona Samia Suluhu kama ni Mwenyekiti legelege kwa kuwa tu haoneshi kupambana na CHADEMA.
Tanzania kuna vyama vingi vya Siasa zaidi ya 18 lakini ni CHADEMA pekee ndiyo kila siku inazungumzia.
Hata chawa kikongwe johnthebaptist na mtafuta teuzi Lucas Mwashambwa na kaka yake Pascal Mayalla wanajua.
Kwa mtazamo wa kina CHADEMA ndiyo ramani ya siasa za Tanzania.
Karibu new Africa hotelππ sogea star park
Ya midulu?Karibu new Africa hotel
Ndio ya huko kwenu Nanguruwe?,hapana nazungumzia ya Arusha town.Ya midulu?
Kwa muundo huu wa tume ya uchaguzi,na ule uhayawani unaofanyika kwenye chaguzi kwa ccm kushirikiana na vyombo vya Dola, unategemea upinzani upate hata robo ya viti hivyo? Ukiona ccm haiko tayari kuwe na tume huru ya uchaguzi, basi ujue hawana uwezo wowote wa kushinda kihalali.Yani hata nusu ya wabunge hamjawahi kushinda ,hivi mnajua hesabu kweli huko chadema?
Endeleeni kulalamika,eti mnasema Arusha ni ngome yenu?Kwa muundo huu wa tume ya uchaguzi,na ule uhayawani unaofanyika kwenye chaguzi kwa ccm kushirikiana na vyombo vya Dola, unategemea upinzani upate hata robo ya viti hivyo? Ukiona ccm haiko tayari kuwe na tume huru ya uchaguzi, basi ujue hawana uwezo wowote wa kushinda kihalali.
Wapi nalalamika, usichanganye kulalamika na kupuuza, tume ya uchaguzi iwe huru kisha uje utoe mrejesho. Hii kulazimisha nyie kuwa na maamuzi kwenye tume ya uchaguzi, kisha unakuja kuniletea story za ngome ni kama unachekesha walionuna. Ccm sio chama Cha kizazi hiki, wizi tu ww kura ndio silaha yenu. Nyie bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, mtaendelea kutamba huku hamkubaliki.Endeleeni kulalamika,eti mnasema Arusha ni ngome yenu?
Hivi mnazijua siasa za ngome nyie?
Arusha kwenyewe mkipata saana labda majimbo mawili au matatu alafu eti ngome yetu,chadema mnavichekesho sana aisee.
Kuhadi Mkuuπ€£Mkuu yule Mengere hapa jijini ni maarufu sana na anasukuma ndinga za bei kali kwa sababu ya kazi yake ya kuwatafutia Mapedeshee pisi za maana na jamaa kazi anaifanya kwa weledi wa juu sana πππ
Mimi ni LY tu.Wewe utakuwa ni PhD holder ya zamani.
Hapo umesema,pangeni sasa njama za mapinduzi tuwashughulikie kiukweliukweli,mkifanikiwa mtutoe,anzeni tuone.Wapi nalalamika, usichanganye kulalamika na kupuuza, tume ya uchaguzi iwe huru kisha uje utoe mrejesho. Hii kulazimisha nyie kuwa na maamuzi kwenye tume ya uchaguzi, kisha unakuja kuniletea story za ngome ni kama unachekesha walionuna. Ccm sio chama Cha kizazi hiki, wizi tu ww kura ndio silaha yenu. Nyie bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, mtaendelea kutamba huku hamkubaliki.
Unavyojitutumua sasa, utadhani CCM wenyewe wanakujua...ππ π€£Hapo umesema,pangeni sasa njama za mapinduzi tuwashughulikie kiukweliukweli,mkifanikiwa mtutoe,anzeni tuone.