Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #61
Yaani shule haina umeme, maabara, wala maktaba katika zama hizi za sayansi ya teknolojia.Wewe umeamua kuwa mbishi tuu,pesa chafu za uchaguzi wa kanda yenu zimepofusha akili yako.
Hivi nyie huwa mnawaza watanzania ni Mazombie!!??