Pre GE2025 Tanzania huwezi kuwa maarufu kisiasa kama hupambani na CHADEMA

Pre GE2025 Tanzania huwezi kuwa maarufu kisiasa kama hupambani na CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM imepotea HAIPO ....Chimba hapa:

NO REFORM NO ELECTION

Ukibebwa na mbeleko hata baa na kwenye Mapuya WATAKUPELEKA

Sasa uko mgongoni mbele Unapaona?

Mdundo wa ngoma upigwee zaidi mtoto mgongoni ANASEREBUKA NA KUSINDIMBA akichana kanga.

SKOPU
 
CCM imepotea HAIPO ....Chimba hapa:

NO REFORM NO ELECTION

Ukibebwa na mbeleko hata baa na kwenye Mapuya WATAKUPELEKA

Sasa uko mgongoni mbele Unapaona?

Mdundo wa ngoma upigwee zaidi mtoto mgongoni ANASEREBUKA NA KUSINDIMBA akichana kanga.
Ukibebwa na mbeleko hata baa na kwenye Mapuya WATAKUPELEKA

Sasa uko mgongoni mbele Unapaona?
SKOPU
 
Kama unataka kuwa mwanasiasa maarufu Tanzania basi wewe onesha unapambana na CHADEMA.

Kuna wakati Mzee Wasira aliomba kura ndani ya CCM kwa hoja kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na CHADEMA, akachaguliwa.

Leo baadhi ya Wana CCM wanamuona Samia Suluhu kama ni Mwenyekiti legelege kwa kuwa tu haoneshi kupambana na CHADEMA.

Tanzania kuna vyama vingi vya Siasa zaidi ya 18 lakini ni CHADEMA pekee ndiyo kila siku inazungumzia.

Hata chawa kikongwe johnthebaptist na mtafuta teuzi Lucas Mwashambwa na kaka yake Pascal Mayalla wanajua.

Kwa mtazamo wa kina CHADEMA ndiyo ramani ya siasa za Tanzania.
Iliianzia kwa Mwigulu ikafuatia msururu wa watu mpaka Godwin Mollel kuishi na kupumulia kutukana Chadema.
 
Walioba amewashauri ccm wasiombe msaada wa polisi kupambana na wananchi chadema
Game iwe kati ya Interahamwe (ccm) vs Chadema?!
 
Kama unataka kuwa mwanasiasa maarufu Tanzania basi wewe onesha unapambana na CHADEMA.

Kuna wakati Mzee Wasira aliomba kura ndani ya CCM kwa hoja kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na CHADEMA, akachaguliwa.

Leo baadhi ya Wana CCM wanamuona Samia Suluhu kama ni Mwenyekiti legelege kwa kuwa tu haoneshi kupambana na CHADEMA.

Tanzania kuna vyama vingi vya Siasa zaidi ya 18 lakini ni CHADEMA pekee ndiyo kila siku inazungumzia.

Hata chawa kikongwe johnthebaptist na mtafuta teuzi Lucas Mwashambwa na kaka yake Pascal Mayalla wanajua.

Kwa mtazamo wa kina CHADEMA ndiyo ramani ya siasa za Tanzania.
Upeo mfupi at its best
 
Kama unataka kuwa mwanasiasa maarufu Tanzania basi wewe onesha unapambana na CHADEMA.

Kuna wakati Mzee Wasira aliomba kura ndani ya CCM kwa hoja kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na CHADEMA, akachaguliwa.

Leo baadhi ya Wana CCM wanamuona Samia Suluhu kama ni Mwenyekiti legelege kwa kuwa tu haoneshi kupambana na CHADEMA.

Tanzania kuna vyama vingi vya Siasa zaidi ya 18 lakini ni CHADEMA pekee ndiyo kila siku inazungumzia.

Hata chawa kikongwe johnthebaptist na mtafuta teuzi Lucas Mwashambwa na kaka yake Pascal Mayalla wanajua.

Kwa mtazamo wa kina CHADEMA ndiyo ramani ya siasa za Tanzania.
Hata kule kwenye vyombo cheo hupati kama hujaonesha ukatili dhidi ya chadema
 
Kumbe. Kwa kweli nchi hii upinzani ni chadema tu. Nami nawapongeza sana Chadema kwani wameandaa watu ambao sasa ndio lulu kwa CCM. Hata CCM inajua hilo kuwa vijana makini ni wale waliotengenezwa na Mbowe
Magu aliteuwa wote Bavicha na Bawacha akaacha mavuvuzela ya kule kwake.
 
Jaribu kuwa ccm alafu umuue baba yako ili urithi mali uone kama kweli ccm inatetea wauaji.
Sasa Hilo jambo la kumuua baba yako ili upate urithi linawasaidia nini CCM kisiasa.

Wewe ua ili wao wabaki madarakani, ndiyo watakutetea.
 
Back
Top Bottom