Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #61
Yaani shule haina umeme, maabara, wala maktaba katika zama hizi za sayansi ya teknolojia.Wewe umeamua kuwa mbishi tuu,pesa chafu za uchaguzi wa kanda yenu zimepofusha akili yako.
Hapo Iringa Manispaa shule gani haina umeme? Acha kuwa mpinzani uchwara.Yaani shule haina umeme, maabara, wala maktaba katika zama hizi za sayansi ya teknolojia.
Hivi nyie huwa mnawaza watanzania ni Mazombie!!??
Wewe uhusiki. Timbwili likitokea utakimbizwa tu kama wengine...Wala hujulikani.Nyie mmesema mnataka nchi ivurugike ili muingie mamlakani,jaribuni tuone.
Kwa ivo Tanzania inaishia Iringa Manispaa!??Hapo Iringa Manispaa shule gani haina umeme? Acha kuwa mpinzani uchwara.
Hahaha,kujulikana au kutojulikana niachie mimi,wewe anza tu mipango ya kuipindua serikali ya jamhuri alafu utaniona nakuja kukisalimia kijiji chako.Wewe uhusiki. Timbwili likitokea utakimbizwa tu kama wengine...Wala hujulikani.
Mwenzako Lucas Mwashambwa kaona aache umatipo ili apate teuzi Lakini haijamsaidia.
Siulikuwa diwani nikuulize wewe labda?Kwa ivo Tanzania inaishia Iringa Manispaa!??
Hapa shule kadhaa hazina maabara wala maktaba. Jee za huku igangidungu itakuwaje!?
Mi huwa nakuangalia tu unavoongea hapo Iringa nakuacha,naona unapiga stori kusukuma saa tuuKwa ivo Tanzania inaishia Iringa Manispaa!??
Hapa shule kadhaa hazina maabara wala maktaba. Jee za huku igangidungu itakuwaje!?
Huna uwezo huo...Hahaha,kujulikana au kutojulikana niachie mimi,wewe anza tu mipango ya kuipindua serikali ya jamhuri alafu utaniona nakuja kukisalimia kijiji chako.
πNdio ya huko kwenu Nanguruwe?,hapana nazungumzia ya Arusha town.
Unanifurahisha sana,unakaribia kuwa na mbinu za kumjua mtu ila si kwa mbobezi kama mimi.Huna uwezo huo...
Wewe siyo miongoni mwa wenye CCM.
Wenye CCM yao ndiyo wanajua zile shilingi trilioni 1.5 nani alizikwiba...ππ π€£
Wenye CCM yao ndiyo wanajua Kagoda, Tangold na Meremeta zilianzishwa ili kitokee nini...π€£π π
Wenye CCM yao ndiyo wanaojua zile hela zilizobebwa kwenye mifuko ya sandarusi toka benki ya Stanbic, walichukua kina nani!?
Wenye CCM yao ndiyo waligawana nyumba za serikali na ndiyo Sasa wananunua zile walizowagawia wengine...ππ π€£
Acha kujipendekeza kujifanya na wewe ni miongoni mwa wenye CCM wakati ni mlalahoi mwenzetu tu.
Robo kubwa bwana mdog
Ni kweli kabisa, tena nyie wanaume mlioozoea maisha ya bwerere ndio tutaanza na nyie.Mnawaza kuoa tu,nilidhani utasema mkiingia mtaboresha teknolojia,wewe ukionja madaraka utaoa zaidi ya dini ya Allah itakavyo
We unaonaje?Kweli? Kitu kimoja ukikigawa mara tatu na kingine ukagawa mara nne. Kipi kikubwa?
Kwa akili hii hautokuja kupata hata uongozi wa familia.Ni kweli kabisa, tena nyie wanaume mlioozoea maisha ya bwerere ndio tutaanza na nyie.
uko shallow sanaSiizungumzii Tanzania kwenye kila jambo bali kwenye siasa.
Uko very shallow aisee!!
Uko sahihi watu wenye akili wapo chadema kwa sasaKama unataka kuwa mwanasiasa maarufu Tanzania basi wewe onesha unapambana na CHADEMA.
Kuna wakati Mzee Wasira aliomba kura ndani ya CCM kwa hoja kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na CHADEMA, akachaguliwa.
Leo baadhi ya Wana CCM wanamuona Samia Suluhu kama ni Mwenyekiti legelege kwa kuwa tu haoneshi kupambana na CHADEMA.
Tanzania kuna vyama vingi vya Siasa zaidi ya 18 lakini ni CHADEMA pekee ndiyo kila siku inazungumzia.
Hata chawa kikongwe johnthebaptist na mtafuta teuzi Lucas Mwashambwa na kaka yake Pascal Mayalla wanajua.
Kwa mtazamo wa kina CHADEMA ndiyo ramani ya siasa za Tanzania.
Kwa huyo ndo anawatafutia akinawigulu na majaliwa pisiMkuu yule Mengere hapa jijini ni maarufu sana na anasukuma ndinga za bei kali kwa sababu ya kazi yake ya kuwatafutia Mapedeshee pisi za maana na jamaa kazi anaifanya kwa weledi wa juu sana πππ
Tuhuma zote hizi hao watu hawajashitakiwa, basi nchi hii Haina vyombo vya uchunguzi makiniUnanifurahisha sana,unakaribia kuwa na mbinu za kumjua mtu ila si kwa mbobezi kama mimi.
Wenye chadema yao ndio wanajua kwanini walimuua Wangwe.
Wenye chadema yao ndio wanaojua kwanini Dr.Slaa alitoswa 2015.
Wenye chadema yao ndio wanaojua kwanini walimuua kamanda A.Mawazo na kumkosakosa Lissu.
Wenye chadema yao wanajua kwanini pesa za join the chain hazijatolewa ufafanuzi.
Wewe huna unalojua bwana mdogo Allen,karibu CCM uyajue mambo ya nchi.
Ndio kula yake ya kila siku. Yupo kazini na yeye ameamua kuchagua upandeNa Steve Mengere mbona anapambana na Luhaga Mpina anataka nini naye?
Jaribu kuwa ccm alafu umuue baba yako ili urithi mali uone kama kweli ccm inatetea wauaji.Tuhuma zote hizi hao watu hawajashitakiwa, basi nchi hii Haina vyombo vya uchunguzi makini
Ccm wameshindwa kuchungiza na kushitaki watuhumiwa
Ndo maana mpina analia ubuchunguzi wa kifo Cha magufuli
Nchi hiii unaweza ua mtu bila kushtakiwa ukiwaccm au ccm
Kwa haya mambo Ccm ni takataka labisa