Meolewa wapi maana kuoa hujakutaja ndg? Samahani lakini, nataka tu kujua. Wachaga wanaijua elimu. Nani mwandikishe mtoto wake shule ya kayumba? Mtoa mada hajasema utafiti kaufanya she za serikali au za binafsi hasa seminary?Kaangalie miji mikubwa utakuta kati ya watoto 10 wanaozaliwa utakuta kuna Wachaga watatu hadi 5.
Kitu ambacho hamuelewi ni kwamba, vijana wa kichaga wamehamia mijini na kuanzisha familia humohumo.
Wanafunzi niliosoma nao 95% wapo mijini, wameolewa/kuolewa na wana watoto miongoni mwao nikiwemo mimi
Wagumu kutoa ardhli hata kwa wai kwa waoHuko Kilimanjaro watu hawaendi kutafuta maisha
Hichi kitu unachosema ni kweli mkuu. Mi kwetu imebid watoto wahamishiwe shule nyingineUkienda mkoa wa Kilimanjaro utashangaa mambo yafuatayo haya matatizo hayako tu uchagani bali hata upareni yapo
Idadi ndogo ya wanafunzi wanaoandikishwa darasa la kwanza, huku mikoa mingine wanafunzi wakiwa wengi na wengine wanakaa chini Hali ni tofauti mkoa wa Kilimanjaro idadi ya wanafunzi inazidi kushuka kila miaka inavyozidi kwenda Kuna shule inaandikisha darasa la kwanza wanafunzi 10, Kuna nyingine iliandikisha wa-nne
Nyumba nyingi kuwa empty hili ni tatizo lingine kubwa Kuna idadi kubwa sana ya nyumba hazina watu na ukienda vijijini Hali ndo mbaya Zaid nyumba nzuri nyingine gorofa Ila hazina watu sanasana utamkuta kijana mmoja tu ambaye Yuko kwa ajili ya kuziangalia
Vijiji mkoa wa Kilimanjaro havina watu kama umepanga kwenda kukaa week kwa Ile Hali ya vile vijiji vyao utajikuta umehairisha hakuna watu kabisa yaani in-short mkoa wa Kilimanjaro una ukiwa sio sawa na kipindi tunakua
Changamoto nyingine hakuna vijana Kuna kijiji nilienda kijiji kizima kijana ni mmoja ambaye ni bodaboda wengine waliobaki ni watu wa miaka 40 na kuendelea ni nadra sana kumuona kijana wa miaka 20's
Mkuu hebu jibu kwa hoja concrete, Mbona Mwanza imepiga maendeleo makubwa na bado Wasukuma hawajakimbia kwao kwa rate ya Mkoa wa Kilimanjaro, vivyo hivyo jiji la Mbeya limepiga hatua kubwa kimaendeleo na bado wenyeji wapo wa kutosha tu.Hayo maswali yako ni rahisi sana kuyajibu, Jamii ya wachagga ni jamii inayo jishughulisha sana kwenye masuala ya maendeleo hususani biashara n.k
Cha msingi kuwa na maisha bora kuweza kumudu kusaidia familia kuwa katika hali nzuri n.k sasa basi kutokana na hali hiyo mchagga lazima atoke kwao ili atoboe ni lazima akajichanganye popote panapo wezekana ili apate chochote kitu.
Hili ni jambo la kawaida sana kwa jamii hii tofauti sana na jamii zingine hapa nchini ambazo huwa hawa sanuki mapema kuanza harakati za kimaendeleo ikiwemo ku make mkwanja ndio maana kwa asilimia kubwa sana nchi hii wachaga wana miliki pesa ndefu sana ukilinganisha na jamii zingine.
Lakini pamoja na hayo yote jamii zingine hapa nchini kwa sasa zimeamka sii haba wana jichanganya na kufanya harakati zao za kusaka noti sehemu mbali mbali nchini na kwingineko duniani.
Maisha hayapatikani mkoa wa Kilimanjaro?Watu wapo mikoani wanatafuta maisha
Kutokana na utaratibu wa wachagga kutokuuza viwanja kama makabila mengine, maendeleo yamezorota maeneo mengi.Maisha hayapatikani mkoa wa Kilimanjaro?
Hii ni cjangamoto kubwa sana. Wengi tunatembelea kwa siku chache na kurejea mjini. Vijana wa makabila menhine ndio wanalinda majengo mengi uchagani. Kuna haja ya kutafakari. Mimi nakusudia kubadilisha matumizi ya mji wetu uwe sehemu ya mapumziko kwa wanaohitaji kubadilisha mazingira kwa vipindi.Ni kweli kabisa hili jambo.sijui hata ufumbuzi wake ni upi
Hujauelewa uziNjoo December ukute wazawa tupo
Ni hatari na hata ubatizo ukitokea ni watu wanaoishi mjini wameamua kwenda kufanyia ubatizo kijijiniMtoa mada ana hoja,mwaka huu mwanzoni NILIKUWA huko,nilikutaba na mzee ana lalamika x mass mbili zimepita bila ya ubatizo hata mmoja.
Sikupingi... upo sahihi... Kilimanjaro kiutafutaji hakujakaa vizuri na inawezekana sababu kubwa ni kwamba wachaga na wapare wote ni watu wabahili... ni ngumu sana kutengeneza faida kibiashara....Sababu kubwa ni kwamba Kilimanjaro maisha ni magumu sana na hakuna fursa. Mimi mwenyewe naishi huku na ninapambana sana kuhama.
Huwezi kufanya biaahara sehemu yenye watu wachache sana, Tena sehemu ambayo mostly kila mmoja anapambana kibiashara ku-survive maana Hakuna ardhi ya kilimo Wala ufugaji.Sikupingi... upo sahihi... Kilimanjaro kiutafutaji hakujakaa vizuri na inawezekana sababu kubwa ni kwamba wachaga na wapare wote ni watu wabahili... ni ngumu sana kutengeneza faida kibiashara....
Ila ukitumia akili ya ziada pesa utaiona... ila ukia conventional businessman.. nishida sana pesa kukupitia ukiwa huu mkoa
Kwaiyo mkuu kule Kilimanjaro hakuna fursa za ujasiriamali zaidi ya kupika pombe za kienyeji , kuwa boda boda ni ngumu kwasababu wateja wanaonde kazin asubuhi hawapo na watu ni wachache na hawa tembeiHuwezi kufanya biaahara sehemu yenye watu wachache sana, Tena sehemu ambayo mostly kila mmoja anapambana kibiashara ku-survive maana Hakuna ardhi ya kilimo Wala ufugaji.
Mostly, biashara kubwa Kilimanjaro ni pombe na kila mtu anaifanya. Unless Kama una mtaji mkubwa na hivyo huepukiki. Kingine ni biashara za magendo na mirungi ambazo kiuhalisia mgeni ukijihusisha nazo, unadakwa ndani ya saa 1.
Hio ndo point yangu na wanapenda December ni wale waliozliwa kule lakin mtu amezaliwa na kukulia dar hauon umuhimu sana wa kwenda kule December wengi wanaenda kwa mkumbo hasa ambao hawajazaliwa kuleKujitetea kwiingi, hilo jambo si jema kwa mustakabali wa tamaduni zao.
Japo huwa wana desturi ya kurudi kwao december lakini kadri siku zinvyoenda watu wanaoenda itazidi kupungua coz watu wanahamishia vizazi vyao mikoa mingine.
Washukuru tu kua ni kabila linalofahamika la sivyo utamaduni wao ungepotea kwa haraka kuliko unavyopotea taratibu kwa sasa.
Watoto wanaozaliwa miaka hii, wengi wataitwa wachaga/wapare/wameru/waarusha kwa majina tu lakini kiuhalisia wanakua hawaijui asili yao.
Pamoja na kutafuta, tukumbuke home mazee. Mji bila watu haufai kitu, itafika hatua mtu hataenda kwao kwasababu haoni akienda atafanya jini wakati familia na ndgu wapo miji mingine!!