Tanzania ikitaka kuwa salama ijiepushe kushirikiana na nchi za Mashariki ya Kati

Tatizo la ISIS na Al Shabaab wanaua waislaam wenzao, hawana habari na wenye itikadi tofauti!
Ndio maana nimekuambia hao sio waislamu , kwani umewasikia lin wakipigana na Israel ?

Hayo ni makundi pandikizi hayana uhusiano na uislamu , wanatumia ili kuleta vurugu ...
 
Ndio maana nimekuambia hao sio waislamu , kwani umewasikia lin wakipigana na Israel ?

Hayo ni makundi pandikizi hayana uhusiano na uislamu , wanatumia ili kuleta vurugu ...
Hayo makundi pandikizi yanatumia uislam katika harakati zao na wafadhili wao ni nchi za kiislam. Sasa kama serikali za nchi za kiislam zinafadhili haya makundi tafsiri yake ni nini?
 
Tutakosa Msaada wa tende
 
Hayo makundi pandikizi yanatumia uislam katika harakati zao na wafadhili wao ni nchi za kiislam. Sasa kama serikali za nchi za kiislam zinafadhili haya makundi tafsiri yake ni nini?
Hayana uhusiano , yanafadhiliwa na USA ...trumpth alishawah kusema kwamba Obama ndio alikuwa akiunga mkono hayo makundi .
 
Itikali kali ya kidini kwa wasiokuwa waislam ni kule kupigania haki yao. Ukiwa zezeta , kunywa pombe, kufanya kazi baa huyo ndio muislam wanaemtaka.
Mkuu TBL ndio anaongoza kua mlipa Kodi namba moja Tz.

Pombe inaingiaje hapo.
 
Hayana uhusiano , yanafadhiliwa na USA ...trumpth alishawah kusema kwamba Obama ndio alikuwa akiunga mkono hayo makundi .
Obama ni muislamu mwenzao hivyo huenda alilegeza nguvu za kuwakabili. Wafadhili wa makundi haya ni Iran, Qatar, Kuwait, Iraq, Saudi Arabia, Egypt nk.
 

Kuna mawili either wewe ni:-
1. MKRISTO MPUMBAVU,kama wale viongozi wao wa dini wanaowaambia watawapa utajiri kwa nguvu mungu wa Israel huku Israel wakipewa msaada wa Trillioni 30 kila mwaka na U.SπŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚ au
2.WEWE NI HANITHI,NA LIPUMBAVU,ona hapa ni mataifa mangapi yanaongoza kulidao lin nchi lako la kijinga?
 
Nimeona leo Al Jazeera watu wameandamana South Africa kuipinga Israel
 
Tulikopa nini Iraq na Iran, Mafuta?
 
 
Kule ni vita mura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…