#COVID19 Tanzania imewasilisha ombi la kujiunga na mpango wa kugawana chanjo dhidi ya Covid-19

#COVID19 Tanzania imewasilisha ombi la kujiunga na mpango wa kugawana chanjo dhidi ya Covid-19

Mungu atawahukumu siku moja liteendeeni taifa hili kama muaonavyo ipo siku mtalipa gharama,mtajutia uamuzi huu.

Nchi iko salama mnataka kuleta taharuki na kuangamiza vizazi vijavyo,ole wenu.

Ni nchi gani iko salama kwa sababu wamechanjwa? Hakuna uchungu na maisha ya Watanzania mnaendekeza pesa za mkopo?
Sasa tuwe watumwa kwa kipande cha mkate.
lazima mjue kilio cha wana wa Tanzania kitakapofiki kwenye kiti cha enzi ndo mtajua yuko Mungu aliyeumba mbingu na nchi.
wasikilizeni tu hao wanao wapotosha.
Nchi iko Salama wakati the sitting Presdint , Namaana Mwendazake amekufa kwa Corona
 
Kunania ovu ya wazi Kabisa na taifa letu tz.. ama inafanywa bahati mbaya au kwa makusud ili kuua kiaza hiki...

Naimani Mungu atatuepusha na janga hli la mbinu chafu
Chanjo ni hiari jombi.
Wewe si ubaki na M*vi yako? Kwani umelazimishwa?
 
Mjulisheni Rais kuwa lockdown nyingine imeanza Uganda tangu jana,maana huenda hajaona taarifa ya BBC,na Uganda walichanjwa.
kazaneni kumpotosho.
 
As far as covid 19 is concerned vaccination has never been voluntary anywhere in the world!! People are subjected to fear by introducing the so called corona vaccination passports! (they have different names for different countries but the essence is tha same), without which you are denied some services! For example right now you cannot watch Euro 2020 matches without one! To hell with their covid 19 vaccinations !
Chanjo zinakinga umma. Unaweza kutembea na virusi ukiwa na kwa afya nzuri wewe mwenyewe lakini unasambaza virusi kwa sababu zinastawi ndani yako bili kukupa madhara.
Hivyo ni busara kutoruhusu watu bila kinga katika mikutano penye watu wengi.
Nani anakulazimisha kuingia katika uwanja kwa michezo hii? Kaa nyumbani uwashe runinga.
Sijui kwamba mtu analazimishwa kuhiji (hawezi kuingia bila chanjo) au kusafiri kwnda nchi wanapokataa watu wasio na chanjo.
Huwezi kufanya safari bila pasipoti pia. Najua watu wengi wasio na pasipoti. Hakuna aliyejaribu kuwalazimisha.
 
Mungu atawahukumu siku moja liteendeeni taifa hili kama muaonavyo ipo siku mtalipa gharama,mtajutia uamuzi huu.

Nchi iko salama mnataka kuleta taharuki na kuangamiza vizazi vijavyo,ole wenu.

Ni nchi gani iko salama kwa sababu wamechanjwa? Hakuna uchungu na maisha ya Watanzania mnaendekeza pesa za mkopo?
Sasa tuwe watumwa kwa kipande cha mkate.
lazima mjue kilio cha wana wa Tanzania kitakapofiki kwenye kiti cha enzi ndo mtajua yuko Mungu aliyeumba mbingu na nchi.
wasikilizeni tu hao wanao wapotosha.

Toa upumbavu wako
 
Back
Top Bottom