#COVID19 Tanzania imewasilisha ombi la kujiunga na mpango wa kugawana chanjo dhidi ya Covid-19

#COVID19 Tanzania imewasilisha ombi la kujiunga na mpango wa kugawana chanjo dhidi ya Covid-19

Ombi langu tusije tukafika mahali pa kumtenda Mungu dhambi kwa ajili ya kutaka misaada tukasema uongo kwa kusingizia vifo vya corona ambavyo havipo kama hawa jirani zetu wanavyotia aibu. Wanazika majeneza tupu huku wamevaa manguo yakujikinga na corona. Mmojawao akawatonya watu na watu wakavamia mazishi hayo mazishi hewa na wakalazimisha kufungua hayo majeneza na kukuta hakuna maiti ndani ila kuna matakataka tu.Fungua link hii ujionee mwenyewe. Anayeweza kusikiliza kiganda atujuze zaidi!

Kwa staili hii ndo naamini mwamba kauwawa,na taratiiibu wanaanza kujidhihirisha
 
Haitaji akili nyingi kujua kutakuwa na mwitikio mdogo sana. Ukitoa Tanzania ya mtandaoni huku uswahilini raia wanakubaliana na mwendazake kwenye hili suala chanjo acha hilo watendaji wengi kwenye Wizara ya Afya wenye jukumu la kuhamasisha wao wenyewe hawaamini hizo chanjo. Mbaya zaidi sioni Mama Samia akiwakabili wananchi na kuwaambia mwendazake alikosea kwenye suala la chanjo na hamna mwanasiasa mwenye ushawishi wa kufanya hivyo kwenye hii nchi.
Huku mtaani wanaokubali ni CHADEMA(tena baadhi)
 
Mi nakuambia hata ushoga/ndoa za jinsia moja utapokelewa kwa vifijo hivihivi hutaamini mkuu
Naanza kukubali kweli,kama michuano ya Ulaya sasa inajaza mashabiki na wanapayuko bila barakoa,leo sisi ambako hata haipo tunalazimishwa tuvae na kuanza kutangaza visa,ambavyo nchi nyingi zimeachana na upuuzi huu.
Eti kwa vile hela hiyo ukiichukua lazima ufanye hivyo?
 
Chanjo yaja -- neema hatimaye imefunuliwa... wazee wa nyungu mpo? meli hiyooo!!
 
Hapo kwenye maombi ya mkopo wa US$ 571 million ndio penye tatizo. Hii hela akina Mwigulu et al wanakwenda kuipiga tu
 
Madalali wa chanjo wanakenua maana wanajua watapiga cha juu.

Hachanjwi mtu hapa. Wananchi wameamka.
Utachanjwa tu muda sio mrefu, unless wewe ni mtu wa kupanda YUTONG na kupita ile milango ya Terminal #3 ni msamiati kwako
 
Unaelewa vizuri maana ya neno hiari? Tafakari kwa mapana Neno hiari kwa siku zijazo..

Ninaelewa vizuri sana maana ya neno hiari. Kwangu mimi hiari kwenye hili ni kupata chanjo tu. Nikishapata chanjo kisha mamburula fulani yakalazimishwa kupata chanjo ili yaishi hiyo inanihusu nini?

"Ila nisichoelewa kabisa ni kwanini hasa wasiotaka kuchanjwa, kutochanjwa wao peke yao tu hakuwatoshi. Eti bali hadi na sisi tunaotaka chanjo tusichanjwe! Si ndicho wanachotaka?"

Au wewe unayo majibu kuhusu hilo?
 
🐒🐒🐒
629981088060.jpeg
 
Ninaelewa vizuri sana maana ya neno hiari. Kwangu mimi hiari kwenye hili ni kupata chanjo tu. Nikishapata chanjo kisha mamburula fulani yakalazimishwa kupata chanjo ili yaishi hiyo inanihusu nini?

"Ila nisichoelewa kabisa ni kwanini hasa wasiotaka kuchanjwa, kutochanjwa wao peke yao tu hakuwatoshi. Eti bali hadi na sisi tunaotaka chanjo tusichanjwe! Si ndicho wanachotaka?"

Au wewe unayo majibu kuhusu hilo?
Nimekuelewa vizuri sana Mkuu.
 
... Mungu alishatuponya!! Corona haipo!! Asiyeamini uponyaji na ulinzi wa Mungu tuliomwomba acha achanjwe!! Msikilize huyu Mzanzibari yeye ameshachanjwa tayari.
Unanikumbisha hadithi ya mafuriko ya Msumbiji. Maji yanajaa, watu wanapanda juu ya dari za nyumba kujiokoa. Mwokole akiketi huko juu anasali "Ee Mungu nitumie malaika yako aniokoe". Anasikia sauti ndani yake: "Nitamtuma usiogope". - Inapita boti ya msalaba mwekundu, wanamwita "Njoo", anajibu "Hapana, Mungu ataniokoa" (anataka kumwona malaika). - Inapita boti ya jeshi wanamwita "Njoo", anajibu "Hapana, Mungu ataniokoa". -- Maji yanazidi kupanda, nyumba inaporomoka, anaanguka, anakufa. -- Roho yake anafika kwenye geti za mbinguni, malaika anampokea. "Mbona hamjaja?" anauliza, nilisika sauti ya Bwana mtakuja!" -- Anajibu malaika: "we ndugu, usiwe mjinga ! Tuliketi kwenye boti ya msalaba mwekundu, hujaingia , tulikuwa kwenye boti ya jeshi, ulikataa!"

Kumbe unaonaje: kama Mungu amemtuma malaika kuleta akili ya kuunda chanjo ? Ingekuwaje???
 
To hell with their evil plans

Have been forced to be vaccinated? Whose evil plans, anyway? Your president’s? WHO’s? It is a voluntary thing, if you do not want be vaccinated - let others who want, get vaccinated. Your anger is misplaced, the train has left the station!!

This will provide proof you are powerless, have no influence beyond your doorstep and life is not as you see it! You will not make or break anything!! You are super nobody!!
 
Kweli Magu alikuwa na misimamo yake peke yake
 
Have been forced to be vaccinated? Whose evil plans, anyway? Your president’s? WHO’s? It is a voluntary thing, if you do not want be vaccinated - let others who want, get vaccinated. Your anger is misplaced, the train has left the station!!

This will provide proof you are powerless, have no influence beyond your doorstep and life is not as you see it! You will not make or break anything!! You are super nobody!!
As far as covid 19 is concerned vaccination has never been voluntary anywhere in the world!! People are subjected to fear by introducing the so called corona vaccination passports! (they have different names for different countries but the essence is tha same), without which you are denied some services! For example right now you cannot watch Euro 2020 matches without one! To hell with their covid 19 vaccinations !
 
To hell with their evil plans
Aliyetangulia huko He'll ni Yule Mwendazake aliyetaka sisi tufe wakati yeye anakimbilia kujificha Chato
Sasa mna Nafasi ya kumfuata huko, wewe saga chupa kunywa Mara Moja atakulaki huko Jehanamu
 
Back
Top Bottom