NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Mkuu nakuhakikishia ya nkurunzinza yatamkuta hata kabla hajamaliza muhula wa pili!!!!!Mungu hatakagi ujinga!!!Mateso na vilio vya watz vimemfikia muumba wao lazima atatenda!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embedded brain at work.Mtake msitake
Kufa ukiwa uhamishoni ni kifo cha aibu hasa ukiwa kiongozi mkubwa kama alivyo kuwa idi aminIdi Amin hakufa kifo cha aibu! Hapo sahihisha kafanye utafiti wa hilo kwanza.
Maigizo bungeni yanapatikana Nchi masikini haswa Afrika.Hapa ndipo ninajifunza, mwenye maamuzi ya mwisho kwenye ustawi wa hili taifa ni mwananchi mwenyewe, tuamke usingizi sasa.
Tukiendelea kuwatazama wakituchezea michezo yao, basi watatuchezea kila aina ya mchezo, na hatutakiwi kukasirika, tuendelee kuwatazama kila aina ya igizo lao watakaloamua kutuletea.
Mfano: Maigizo ya bungeni kuongeza muda wa Rais kubaki madarakani, naamini na mengine yatafuata.
Mafisadi yalikuwa yanasubiri ikifika 2025 yaanze wizi upya,hakunaga hiyo.bunge lijalo ni la ccm tu ,hivyo kuondoka hako kakipengele ka ukomo wa urais ni dakika sifuri.kiondolewe kabisaa,sisi tunstaka maendeleo.na mtetezi wa maendeleo ya wananchi ni JPM habari ya katiba hawajui.nape,makamba,riziwani, huu ndio ulikuwa ukoo wa wanaojiita Wana ccm.watulie maendeleo kwanza.1: Tundu Lissu kuwekewa pingamizi ya kugombea Urais
2: Zanzibar kuwekwa mgombea ambaye ataunga mkono kubadilishwa kwa katiba na kuongezwa muda kwa Rais wa JMT.
3: Kuchezea uchaguzi na kushinda kwa 90+% kote Zanzibar na Bara kwenye Udiwani, Ubunge na Urais.
4: Makonda kuwa Spika 2020-2025 ili kusaidia kupush agenda ya kuongezewa muda.
5: Kuwakamata na kuwaweka kizuizini wote uwe CCM au wapinzani watakao pinga kubalishwa kwa katiba.
Kama Mambo haya yatakamilika na kufanikiwa basi Tanzania inaenda kuwa tofauti sana.
Poleni sana Watanzania
1: Tundu Lissu kuwekewa pingamizi ya kugombea Urais
2: Zanzibar kuwekwa mgombea ambaye ataunga mkono kubadilishwa kwa katiba na kuongezwa muda kwa Rais wa JMT.
3: Kuchezea uchaguzi na kushinda kwa 90+% kote Zanzibar na Bara kwenye Udiwani, Ubunge na Urais.
4: Makonda kuwa Spika 2020-2025 ili kusaidia kupush agenda ya kuongezewa muda.
5: Kuwakamata na kuwaweka kizuizini wote uwe CCM au wapinzani watakao pinga kubalishwa kwa katiba.
Kama Mambo haya yatakamilika na kufanikiwa basi Tanzania inaenda kuwa tofauti sana.
Poleni sana Watanzania
Ndugai analipa fadhila kwa kupewa jina la soko, halijui maamuzi yake itaafect kizazi chake siku moja??? 😡 😡
Upo sawa kabisa, yeye anapenda na ameridhia haya yanayoendelelea.Una akili FUPI sana.na pole sana.lini MAGUFULI kawakemea na kusema sitaki kumsikia mtu azungumzie hizo habari za kuongeza mda?.Kama hausiki akemee .SIKIA JARIBU KUBWA LA MAGUFULI NI TAMAA YA MOYO WAKE. ili swala ni lake
Watu wa aina yako ni creatures wanaoenda kupotea duniani kutokana na mabadiliko ya tabia nchiToa ujinga wako
Mkuu usichokijua ni kwamba kuwa mwanachama wa Chadema ni hiari ya mtu,ukiona Mambo yao hayakupendezi unaachana nao ndo maana Kila siku unaona watu wanaondoka Chadema na kwenda ccm,nccr na kwingineko.Nani umemsikia akiondoka Tanzania na kufanikiwa kuuvua huu utanzania? Wenzetu ujasiri wa kuufananisha nchi yetu na chama cha siasa sijui mnaupataga wapitechnically,
Kwani kama watakubali kwa hiari yao wewe shida ni nini?
Mbona mbowe alibadili katiba ya chadema na maswahiba wake na kufuta ukomo ila mkatuia tu?
Kama wengi wataridhia hakuna shida, ila ukisikia maumivu sana unaweza hama kwa muda ukaishi ubelgiji mpaka huo muda uishe.
Hii ni fact au theory au speculation au conjecture?1: Tundu Lissu kuwekewa pingamizi ya kugombea Urais
2: Zanzibar kuwekwa mgombea ambaye ataunga mkono kubadilishwa kwa katiba na kuongezwa muda kwa Rais wa JMT.
3: Kuchezea uchaguzi na kushinda kwa 90+% kote Zanzibar na Bara kwenye Udiwani, Ubunge na Urais.
4: Makonda kuwa Spika 2020-2025 ili kusaidia kupush agenda ya kuongezewa muda.
5: Kuwakamata na kuwaweka kizuizini wote uwe CCM au wapinzani watakao pinga kubalishwa kwa katiba.
Kama Mambo haya yatakamilika na kufanikiwa basi Tanzania inaenda kuwa tofauti sana.
Poleni sana Watanzania
Kuna mtu kazuiliwa kukanyaga nchi fulani sababu moja wapo ikiwa ni matendo yake ya kuua watu.anayeomba mtu afe na anayetumia nafasi yake kuua wengine ni Nani Bora kwako?Kumuombea mtu kifo Ni ushenzi wa Hali ya juu, unajiweka Kama vile wewe una hatimiliki ya uhai? Badili mtazamo,!
Hata ukimtukana haisaidii kitu tunatakiwa tuwaze mbali zaidi ya hapoMbwa kabisa wewe Bwege ,na huyo Mbwa wenu atakufa kwa Corona Kama Nkurunzinza
Don’t say that dude, everybody living right now is a notorious coffin dodger since nobody knows when his/her casket will be dropped, this means that you too are also included in the dodging game.The dude is a notorious coffin dodger. Ila Israeli anamlia timing tu
Nakubaliana nawe, kwanini watu wanaweza kubadili katiba ya chama ikaonekana ni sawa ila WANANCHI WAKITAKA KUBADILI YA NCHI WANALALAMIKA?technically,
Kwani kama watakubali kwa hiari yao wewe shida ni nini?
Mbona mbowe alibadili katiba ya chadema na maswahiba wake na kufuta ukomo ila mkatuia tu?
Kama wengi wataridhia hakuna shida, ila ukisikia maumivu sana unaweza hama kwa muda ukaishi ubelgiji mpaka huo muda uishe.