Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Acha kuandika ukiwa umekunywa taputapu! "Kikaza" ndio nin! au kamkaza nani?Alisikika kikaza mmoja tokea Ufipani akiongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuandika ukiwa umekunywa taputapu! "Kikaza" ndio nin! au kamkaza nani?Alisikika kikaza mmoja tokea Ufipani akiongea
CHADEMA Mnawaombea watu kifo halafu mnasema Tanzania? Acheni roho mbaya.Kiukweli haitakiwi kumuombea mtu kifo, lkn ule ukweli mi namuombe kifo kwa spika ndugai na jiwe..cku hawa watu wakifa nchi itapumua kwa furaha, yaani sio siri aisee.. watanzania wanawaombea kifo bc tu m/mungu naona anawalia timing..hadi October Kuna cku utapigwa wimbo wa Taifa tena saa 4 asbh tu na bendera nusu mlingoti...
Usiogope sana Kuna friend of Nkuruzinza1: Tundu Lissu kuwekewa pingamizi ya kugombea Urais
2: Zanzibar kuwekwa mgombea ambaye ataunga mkono kubadilishwa kwa katiba na kuongezwa muda kwa Rais wa JMT.
3: Kuchezea uchaguzi na kushinda kwa 90+% kote Zanzibar na Bara kwenye Udiwani, Ubunge na Urais.
4: Makonda kuwa Spika 2020-2025 ili kusaidia kupush agenda ya kuongezewa muda.
5: Kuwakamata na kuwaweka kizuizini wote uwe CCM au wapinzani watakao pinga kubalishwa kwa katiba.
Kama Mambo haya yatakamilika na kufanikiwa basi Tanzania inaenda kuwa tofauti sana.
Poleni sana Watanzania
Wakati huo uko Kanye ukibwekaMbwa kabisa wewe Bwege ,na huyo Mbwa wenu atakufa kwa Corona Kama Nkurunzinza
Jibu murua kabisa hilo,kuna watu wanafiki sana.Hawaoni ya kwao,kweli ukiona vp hama tuu nchitechnically,
Kwani kama watakubali kwa hiari yao wewe shida ni nini?
Mbona mbowe alibadili katiba ya chadema na maswahiba wake na kufuta ukomo ila mkatulia tu?
Kama wengi wataridhia hakuna shida, ila ukisikia maumivu sana unaweza hama kwa muda ukaishi ubelgiji mpaka huo muda uishe.