Uchaguzi 2020 Tanzania inaenda kuwa nchi tofauti sana kama hii mipango itafanikiwa

CHADEMA Mnawaombea watu kifo halafu mnasema Tanzania? Acheni roho mbaya.
 
Usiogope sana Kuna friend of Nkuruzinza
 
Hawa watu ni waroho na wabinafsi sana,na hizo hila zinafanywa na wanaofaidika na hii awamu
 
Jibu murua kabisa hilo,kuna watu wanafiki sana.Hawaoni ya kwao,kweli ukiona vp hama tuu nchi
 
Hongera kwa ubashiri mzuri
Daima ubashiri huwa tofauti na maudhui
Huko unakowaza hatuendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…