Tanzania inahitaji elimu kwa kweli, yaani mhubiri ambaye humshauri hata Rais, anasema Corona inaletwa na 5G

Tanzania inahitaji elimu kwa kweli, yaani mhubiri ambaye humshauri hata Rais, anasema Corona inaletwa na 5G

Hizi insha sijui unaandika za nini, nimesema wengi wanaongea kuhusu 5G ni korona kwenye vijiweni, ila sio kwa mtu anayetegemewa kwenda kushauri ikulu, ndio maana mnaita Corona kaugonjwa.
Halafu nimeona kumbe ni kitu kimewahi kufunguliwa uzi
Upotoshaji uliopo kati ya uhusiano wa teknolojia ya 5G na corona - JamiiForums
Kweli corona ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine tu tena Malaria ni hatari zaidi kuliko corona kwa watz sasa kwanini tuanze kutandikana viboko eti kwa sababu ya corona? Wakenya hapo mmefeli mnapigana kama wanyama simply corona virus??

Halafu eti useme wakenya wameelimika kuliko Watz? No no no!! Nimefanyakazi nao pia nimesoma nao huko majuu nawajua sana tu. Wanaweza kuwa wanavyeti vingi kweli lakini kuelimika wengi hawajaelimika ila ni wajuzi wa kukariri.

Wengi wao wakiona ngozi nyeupe uwezo wao wakufikiri unapungua kwa kasi ya ajabu.

Wakenya wanapenda sana kuiga mambo yao kwa wazungu waliposikia USA wameweka lockdown nao waka copy & paste ilipowashinda wakakimbilia kwenye curfew!! Curfew na corona virus wapi na wapi!!?

Curfew inaendana na vurugu za mapigano hasa ya wenyewe kwa wenyewe nia ikiwa kupambana na wahalifu sasa corona virus unapambana naye kwa curfew?? Halafu MK254 anakuja hapa anawadharau watz!!
 
Mkuu, kwahiyo maelezo/mtazamo wa mtu wewe umechukulia ndio Alpha na Omega ?? kwamba yeye alilosema ndio hilo Hilo? kwa mantiki hiyo tunachoona kwenye Noti ya Euro 20 tukitupilie mbali tubaki na mtazamo wa huyu jamaa?? this is too low from you , ulipoamkia leo sio kabisa

Zana ya 5G Inawezekana ikawa na ukweli au sii kweli, ila series ya Matukio ndio inaleta shida

Mwaka 2015 Bilgate akiwa anahutubia watu (sijui ni wapi) video niliona akasema janga linalokuja kuangamiza dunia sio Atomic bombs kama tunavyodhani , ni pendemic itakayo sababisha na kirusi, kwenye slides zake akaweka mwonekano wa kirusi huyo , huyo kirusi ni huyo huyo baadae akaja wekwa kwenye noti hiyo ya euro 20 , ni huyo huyo tunae mjua kama Covid-19 , noti hiyo ya Euro ni hapo hapo kuna hayo maminara ya 5G .. Dunia tuliyopo saiv ni dunia ya taarifa , huwezi ficha siri zote , lakn pia uelewa wa watu unapanuka kutokanA na upatikanaji wa elimu kua mwepesi

Upatikanaji huo wa elimu ndio umeamsha hili vuguvugu, upatikanaji huo wa elimu ndio unatufanya tujadili haya, na ndio maana leo tumeweza kataa kua specimen wa mzungu kwenye majaribio yake ya chanjo ,

lazima tujiulize , ni kwanini series ya matukio kutoka kwa watu hao hao imetuleta hapa ? kwann tusiamn n wao wanahusika hapa ? kwann 5G na Covid-19 wakaweka kwenye noti moja ??

Sent using Jamii Forums mobile app

Haya umeweka hapa ni vitu tunavyoita hearsay, naomba kama wewe mtaalam tujadili kitaalam, neno kwa neno, andaa hoja zako tupelekane humu maana kuna watu wengi wanasoma japo kimya kimya, natangulia kwa kujitambulisha kuwa mimi ni mtaalam kwenye masuala ya ICT, basi nipo radhi na tayari kupambana kwenye hizi hoja ili kuwaelimisha wadau wengi wanaosoma.
 
Kweli corona ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine tu tena Malaria ni hatari zaidi kuliko corona kwa watz sasa kwanini tuanze kutandikana viboko eti kwa sababu ya corona? Wakenya hapo mmefeli mnapigana kama wanyama simply corona virus??

Halafu eti useme wakenya wameelimika kuliko Watz? No no no!! Nimefanyakazi nao pia nimesoma nao huko majuu nawajua sana tu. Wanaweza kuwa wanavyeti vingi kweli lakini kuelimika wengi hawajaelimika ila ni wajuzi wa kukariri.

Wengi wao wakiona ngozi nyeupe uwezo wao wakufikiri unapungua kwa kasi ya ajabu.

Wakenya wanapenda sana kuiga mambo yao kwa wazungu waliposikia USA wameweka lockdown nao waka copy & paste ilipowashinda wakakimbilia kwenye curfew!! Curfew na corona virus wapi na wapi!!?

Curfew inaendana na vurugu za mapigano hasa ya wenyewe kwa wenyewe nia ikiwa kupambana na wahalifu sasa corona virus unapambana naye kwa curfew?? Halafu MK254 anakuja hapa anawadharau watz!!

Chukua muda wako utumie akili kabla kuandika hizi insha, ni kweli Corona sio hatari kama Malaria, ila
- Maambukizi yake yanasambaa kwa kasi kuliko Malaria
- Mbinu za kuambukizana zipo aina nyingi kuliko Malaria, kugusana tu au kumkaribia muathirika wakati anaongea imetosha
- Malaria ina dawa, Corona haina dawa, ndio imeingia duniani
- Malaria hayajaua watu kwa mkupuo kama tunavyoona Marekani na Italy na kwingine mpaka miji inapigwa lockdown

Naweza nikaandika sababu nyingi sana za kwanini unapaswa kuchukwa tahadhari, lakini wengi wenu mumeaminishwa na kukaririshwa pumba wala hutakaa unielewe kitu. Dunia yote kila sehemu watu wanahubiriwa wachukue tahadhari, Tanzania tu ndio mpo tofauti na mabilioni ya watu wa dunia yote.
 
Chukua muda wako utumie akili kabla kuandika hizi insha, ni kweli Corona sio hatari kama Malaria, ila
- Maambukizi yake yanasambaa kwa kasi kuliko Malaria
- Mbinu za kuambukizana zipo aina nyingi kuliko Malaria, kugusana tu au kumkaribia muathirika wakati anaongea imetosha
- Malaria ina dawa, Corona haina dawa, ndio imeingia duniani
- Malaria hayajaua watu kwa mkupuo kama tunavyoona Marekani na Italy na kwingine mpaka miji inapigwa lockdown

Naweza nikaandika sababu nyingi sana za kwanini unapaswa kuchukwa tahadhari, lakini wengi wenu mumeaminishwa na kukaririshwa pumba wala hutakaa unielewe kitu. Dunia yote kila sehemu watu wanahubiriwa wachukue tahadhari, Tanzania tu ndio mpo tofauti na mabilioni ya watu wa dunia yote.
The main issue here ni kuwafanya watz wote ni wajinga kwa sababu ya Askofu Gwajima while it is not true ndiyo maana nikadadavua mambo mengi nikaweka na reference! By the way let me know ugonjwa unakuwa hatari kwa kuua watu wengi kwa mkupuo au kuambikiza?
 
Haya umeweka hapa ni vitu tunavyoita hearsay, naomba kama wewe mtaalam tujadili kitaalam, neno kwa neno, andaa hoja zako tupelekane humu maana kuna watu wengi wanasoma japo kimya kimya, natangulia kwa kujitambulisha kuwa mimi ni mtaalam kwenye masuala ya ICT, basi nipo radhi na tayari kupambana kwenye hizi hoja ili kuwaelimisha wadau wengi wanaosoma.
Unajua maana ya hearsay au umeandika tu ?

here is Bilgate




na hii hapa ni noti Pounds, not Euro.. nimejaribu tafuta video inayochambua vizuri.. sio sana kivile ila anaeleweka vizuri mno

here is the video




IT yako wala haihusiki na chochote hapa , i mean haina msaada wowote. kwenye majadiliano haya , hoja inapingwa na hoja iliyo bora zaidi , na hoja hiyo ipendeze zaid kama itakua na viambatanishi sio mawazo ya mtu tu alichowaza basi nawe unaishia hapo hapo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
The main issue here ni kuwafanya watz wote ni wajinga kwa sababu ya Askofu Gwajima while it is not true ndiyo maana nikadadavua mambo mengi nikaweka na reference!
Kawasahau hawa ndugu zake, na tweet ziko nyingi,
Hizi ni baadhi tu.




 
Haya umeweka hapa ni vitu tunavyoita hearsay, naomba kama wewe mtaalam tujadili kitaalam, neno kwa neno, andaa hoja zako tupelekane humu maana kuna watu wengi wanasoma japo kimya kimya, natangulia kwa kujitambulisha kuwa mimi ni mtaalam kwenye masuala ya ICT, basi nipo radhi na tayari kupambana kwenye hizi hoja ili kuwaelimisha wadau wengi wanaosoma.
Kama unalo la kutaka watu walijadili, Tafadhali liweke mezani, usituletee habari za Gwajima kwasababu ninajua hata wewe unafahamu kwamba huyu jamaa ni chizi na hapaswi hata kusikilizwa na jamii.

Jambo la kushangaza na kusikitisha ni pale wewe unapoonyesha kumuunga mkono abaposhambuliwa na vyombo vya dola pamoja na viongozi wa serikali.

Ni hivi majuzi tu, alijitokeza na kuanza upuuzi wake wa kutaka kuunganisha wasukuma kwa misingi ya ukabila, jeshi la POLISI lilipojitokeza na kumdhibiti, baadhi yenu mlionyesha ishara ya kumtetea.

Gwajima ni tapeli, ni mtu mwenye kujifaja anajua kila kitu, hana maadili, alishawahi kumtukana hata kadinali Pengo na Papa huko Italy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He might be right,sema labda namna ya kuwasilisha kwa njia rahisi imekua ngumu, tafuta noti ya Euro 20 , uione ikoje, ina nini na nini

Hii symbol ya corona ipo
chini yake ni minara ya 5G

je ni coincidence au kuna ujumbe nyuma ya pazia? una google...uliza huko

Sent using Jamii Forums mobile app

Unadhibitisha masomo dhaifu ya Tanzania.

Corona is the Spanish name for 'Crown'.
Virusi viliitwa Corona kwa sababu vinakaa ile crown huvaliwa na Malkia.
Familia ya virusi vya Corona imejulikana tangu miaka ya 1960s.

SARS (2003) na MERS (2012), pia ni virusi vya corona.
 
Huyu Tapeli pia atakuwa mshauri wa serikali ya "Handshake"
download-4.jpg
 
Unadhibitisha masomo dhaifu ya Tanzania.

Corona is the Spanish name for 'Crown'.
Virusi viliitwa Corona kwa sababu vinakaa ile crown huvaliwa na Malkia.
Familia ya virusi vya Corona imejulikana tangu miaka ya 1960s.

SARS (2003) na MERS (2012), pia ni virusi vya corona.
nilishakuambia wewe ni mjinga kama herufi zilizoko kwenye jina lako

Pound ni pesa mwingereza inahusiana nini na Spain?? Nembo ya Kirusi cha corona kina uhusiano gani na crow5 au ufalme wa Spain? uwe unakaa pembeni wanaume wakijadili mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The main issue here ni kuwafanya watz wote ni wajinga kwa sababu ya Askofu Gwajima while it is not true ndiyo maana nikadadavua mambo mengi nikaweka na reference! By the way let me know ugonjwa unakuwa hatari kwa kuua watu wengi kwa mkupuo au kuambikiza?
Haya mambo machache mkiyaelewa, wala hamtabweteka tena
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi mashirika yote ya ndege kuacha safari
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi mataifa mengi ya duniani kufunga mipaka
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi miji ndani ya mataifa kuwekwa kwenye lockdown
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi kuwalaza viongozi mashuhuri kama waziri mkuu UK na malkia na wengineo
- Ugonjwa kuua watu wengi kwa mkupuo, namba zinapandisha Marekani, Italy n.k.

Yaani sijui niandike mpaka wapi ndio muanze kufahamu haka sio kaugonjwa, ile tu Afrika tumekoswa koswa kwenye idadi ya vifo sio sababu za kulala na kubweteka.
Hapo Bongo kawaulize wadau wa idara ya utalii, watakuambia haka sio kaugonjwa, ni jitu linazingua.
Watu wajichimbie, wachukue tahadhari mpaka mzungu agundue tiba na kinga.
 
Unajua maana ya hearsay au umeandika tu ?

here is Bilgate




na hii hapa ni noti Pounds, not Euro.. nimejaribu tafuta video inayochambua vizuri.. sio sana kivile ila anaeleweka vizuri mno

here is the video




IT yako wala haihusiki na chochote hapa , i mean haina msaada wowote. kwenye majadiliano haya , hoja inapingwa na hoja iliyo bora zaidi , na hoja hiyo ipendeze zaid kama itakua na viambatanishi sio mawazo ya mtu tu alichowaza basi nawe unaishia hapo hapo



Sent using Jamii Forums mobile app


Bado haunielewi, Bill Gates hapo hajasema chochote ambacho hakijasemwa hata kabla yake, ni wazi dunia mpaka leo huwa haijajiandaa dhidi ya virusi, maana hata UKIMWI mpaka leo hamna dawa ya kuuponya.
Lakini mimi nimekuomba ulete ushahidi wa kitaalam unaothibitisha Corona inaletwa na teknolojia ya 5G
 
Rais ni taasisi, hukutani naye kishkaji, labda umfuate wakati amekwenda Chato kwake, lakini appointment za ikulu full ofisi, bendera na misuti uende kupiga soga za vijiweni naye? Kawaida lazima upitie hatua nyingi sana kabla ukalie kwenye hiki kiti naye, ajenda yako ifahamike kwa undani, upana na urefu, tija yake itathminiwe, usalama wa taifa wakukague mpaka historia yako na uwezo wako.

michuzijr_60972817_148512542951570_1144757953477379838_n.jpg
Wachaga ujinga wewe, watu aina nyingi wanapokelewa namna hiyo hapo, doesnt mean ndio wanamshauri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom