Tanzania inahitaji elimu kwa kweli, yaani mhubiri ambaye humshauri hata Rais, anasema Corona inaletwa na 5G

Tanzania inahitaji elimu kwa kweli, yaani mhubiri ambaye humshauri hata Rais, anasema Corona inaletwa na 5G

Stupid people are everywhere jamani . We happen to have Gwajima in Tanzania. Hii story ya 5G ni kweli dunia nzima. Ila ukweli nikwamba mtu yoyote ambae anaamini hii kwamba inaleta korona namuona hamnazo.

Kama angerelate 5G and Internet of thing halafu akatoa implications zake hapo tumgeelewana. Ila huu ujinga wa corona. Hapana kwa kweli.

All in all, Gwajima hamna kitu. When you listen to him, you realise he is so uneducated. It's embarrassing!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea umeamkaje na umeibuka kutoka wapi kabla sjakujibu hili swali lako.
Nimeamka salama tu nimekunywa chai ya maziwa sambusa na kababu, nimeshiba. Nimeibukia JF nakutana na upuuzi wako kama kawaida yako, ndio nauliza hivi,
Ni nani huyo alietabiri ulosema yalitabiriwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeamka salama tu nimekunywa chai ya maziwa sambusa na kababu, nimeshiba. Nimeibukia JF nakutana na upuuzi wako kama kawaida yako, ndio nauliza hivi,
Ni nani huyo alietabiri ulosema yalitabiriwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naanza kwa utabiri wa hivi majuzi kabla sijakuletea wa enzi zile kabla hata Tanzania haijafahamika

Huu utabiri umeletwa humu na Mtanzania mwenzio

 
Aliyekuambia gwajima ndio muwakilishi wa tanzania nani?
 
Bado haunielewi, Bill Gates hapo hajasema chochote ambacho hakijasemwa hata kabla yake, ni wazi dunia mpaka leo huwa haijajiandaa dhidi ya virusi, maana hata UKIMWI mpaka leo hamna dawa ya kuuponya.
Lakini mimi nimekuomba ulete ushahidi wa kitaalam unaothibitisha Corona inaletwa na teknolojia ya 5G
ungekua na msimamo huu tokea awali hakuna mtu angehangaika kuja kujibu kitu hapa, yani wewe akili yako hairuhusu mtu kua "concerned" au ku express his worries kuhusu jambo lolote , yani asubiri tu mpaka liwe scientifically proven , hiyo ni dunia ya mambubu na viziwi unayotaka

kwa mtazamo huo hata corona ingekua hatuchukui njia yeyote kujikinga sababu hakuna chochote ambacho ni scientifically proven kwamba kinafanya kazi dhidi ya huu ugonjwa

Again tunarudi kule kule, nilisha kuambia , swala la elimu kupatikana kirahisi linafanya kila jambo kuwa jepesi ,hapo kenya penyewe mna cases za cancer zinazo hisiwa chanzo kua ni 5G. wewe subiri mpaka siku wakitoka maabara wakuambie , kina sisi fast follower acha tuendelee na tuliyo nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo machache mkiyaelewa, wala hamtabweteka tena
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi mashirika yote ya ndege kuacha safari
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi mataifa mengi ya duniani kufunga mipaka
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi miji ndani ya mataifa kuwekwa kwenye lockdown
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi kuwalaza viongozi mashuhuri kama waziri mkuu UK na malkia na wengineo
- Ugonjwa kuua watu wengi kwa mkupuo, namba zinapandisha Marekani, Italy n.k.

Yaani sijui niandike mpaka wapi ndio muanze kufahamu haka sio kaugonjwa, ile tu Afrika tumekoswa koswa kwenye idadi ya vifo sio sababu za kulala na kubweteka.
Hapo Bongo kawaulize wadau wa idara ya utalii, watakuambia haka sio kaugonjwa, ni jitu linazingua.
Watu wajichimbie, wachukue tahadhari mpaka mzungu agundue tiba na kinga.

non sense unaandika ushubwada tuu,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilishakuambia wewe ni mjinga kama herufi zilizoko kwenye jina lako

Pound ni pesa mwingereza inahusiana nini na Spain?? Nembo ya Kirusi cha corona kina uhusiano gani na crow5 au ufalme wa Spain? uwe unakaa pembeni wanaume wakijadili mambo

Sent using Jamii Forums mobile app

Stupid boy. Ujinga wako ukianikwa, saa zingine ni bora kunyamazia hapo.
I thought nikikufunza historia ya coronavirus utatumia akili yako kidogo.

Bank notes are designed with the country's culture in mind. Hio tower ambayo unasema ni 5G tower, ni Margate lighthouse huko UK..

tower1.JPG


tower.JPG


Wacha kujaza akili uji.

Soma hapa utoe ubongolala kwa kichwa - £20 notes don’t have a secret message about 5G and coronavirus

The purple patch, ambayo kichwa chako kichaa kinadhani ni alama ya corona, pia kina maana yake. Soma hapa uwache ujinga - Coronavirus 5G: Why the new £20 note has the coronavirus symbol and 5G beacon

Your dumb brain continuously exposes the fraud that is Tanzania's education system. Unafaa uende shule ya Kenya uelimishwe vipi virusi husambaa.
Pia watakufunza kuhusu radio waves ili utoe uji kichwa.
 
Stupid boy. Ujinga wako ukianikwa, saa zingine ni bora kunyamazia hapo.
I thought nikikufunza historia ya coronavirus utatumia akili yako kidogo.

Bank notes are designed with the country's culture in mind. Hio tower ambayo unasema ni 5G tower, ni Margate lighthouse huko UK..

View attachment 1413670

View attachment 1413669

Wacha kujaza akili uji.

Soma hapa utoe ubongolala kwa kichwa - £20 notes don’t have a secret message about 5G and coronavirus

The purple patch, ambayo kichwa chako kichaa kinadhani ni alama ya corona, pia kina maana yake. Soma hapa uwache ujinga - Coronavirus 5G: Why the new £20 note has the coronavirus symbol and 5G beacon

Your dumb brain continuously exposes the fraud that is Tanzania's education system. Unafaa uende shule ya Kenya uelimishwe vipi virusi husambaa.
Pia watakufunza kuhusu radio waves ili utoe uji kichwa.
Ona kinacho fanyika kwa mabwana zenu kule,
Si huwa hadi kitu kifanyike kwa mabwana zenu ndio mzinduke,
Utanikwepa ila nitakufata nikudunge huko huko.



Pitia hapo digidigi ww,.. na hiyo virus ni magnet tower hapo Nairobi,

Kwahiyo hiyo tower hapo london hua inatoa mionzi??


so kwa akili yako ya kuvuka barabara hizo zote zinazo unguzwa hapo ni hiyo lighthouse,...again..wewe n mjinga kama sifuri zilizoko kwenye jina lako
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ungekua na msimamo huu tokea awali hakuna mtu angehangaika kuja kujibu kitu hapa, yani wewe akili yako hairuhusu mtu kua "concerned" au ku express his worries kuhusu jambo lolote , yani asubiri tu mpaka liwe scientifically proven , hiyo ni dunia ya mambubu na viziwi unayotaka

kwa mtazamo huo hata corona ingekua hatuchukui njia yeyote kujikinga sababu hakuna chochote ambacho ni scientifically proven kwamba kinafanya kazi dhidi ya huu ugonjwa

Again tunarudi kule kule, nilisha kuambia , swala la elimu kupatikana kirahisi linafanya kila jambo kuwa jepesi ,hapo kenya penyewe mna cases za cancer zinazo hisiwa chanzo kua ni 5G. wewe subiri mpaka siku wakitoka maabara wakuambie , kina sisi fast follower acha tuendelee na tuliyo nayo

Sent using Jamii Forums mobile app

Msimamo wangu ni ule ule tangu mwanzo, kwamba ili tukuamini au tuamini huyo Gwajima kwamba Corona imeletwa na 5G, weka humu ushahidi tuudadavue kitaalam, mengine yote ya ku-express hisia zako unaruhusiwa ila hatuwezi kwenda kwa hisia kwenye masuala ya kitaalam, tunachambua na kudadavua ipasavyo.
Wapo wengi wana express hisia zao, wengine wanasema Marekani alibuni hicho kirusi, mwingine anasema kilibuniwa na Mchina, wote hao wana huo uhuru wa kubwatuka chochote, ila mpaka tupokezane nondo za kueleweka kitaalam tutaendelea kupuuza.
 
Ukiona kauli ambazo Watanzania huwa nazo humu JF utajua kweli hawa ndugu zetu elimu yao ina mapungufu makubwa sana, hebu waza huyu mchungaji maarufu sana Tanzania yote, anategemewa na maelfu ya Wabongo, na mara moja moja hutinga ikulu kwenda kushauri (kama kwenye hii picha), ndiye anadiriki tena kwa akili zake mwenyewe kusema Corona inaletwa na teknolojia ya 5G.

Huwa sishangai nikiwaona Watz humu na kauli zao, maana hapa ndio elimu yao ilikofikia, hata wataalam wote kimya wanapoambiwa Corona ni 'kaugonjwa'.

michuzijr_60972817_148512542951570_1144757953477379838_n.jpg



"Unamsifia" bure, hayo maneno ameya-copy kwa yule jamaa wa Nigeria.
 
Corona kuletwa na 5G ni agenda ambayo inajulikana worldwide, tatizo lipo kwako mkuu. Your not updated with the facts!!.
 
Nimeamka salama tu nimekunywa chai ya maziwa sambusa na kababu, nimeshiba. Nimeibukia JF nakutana na upuuzi wako kama kawaida yako, ndio nauliza hivi,
Ni nani huyo alietabiri ulosema yalitabiriwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waone wenzako Capital City ya Dodoma😁😁 wako na low IQ Kama joto la jiwe na ichoboy01
 
Kiukweli kwangu mimi wewe MK254 na Gwajima nyote sawa tu. Gwajima akiwa kama mchungaji hapaswi kuingilia mambo ya teknolojia Ila pia wewe kama mkenya hupaswi kuingilia mambo ya Tanzania
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Hakuna uhusiano wa corona virus na 5G. Watu wameanza kutafiti 6G wew bado unakaa kujadili 5G kuleta corona. Ila mfumo wa elimu kipindi flani ulitoa wahitimu wa hovyo. Hapa kwetu Tanzania kuna watu ni wajinga sana.Usipojenga tabia ya kusoma basi kila mtu atachagua la kukwambia na bila shaka utaamini kwa sababu huna taarifa.
 
Back
Top Bottom