Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeamka salama tu nimekunywa chai ya maziwa sambusa na kababu, nimeshiba. Nimeibukia JF nakutana na upuuzi wako kama kawaida yako, ndio nauliza hivi,Inategemea umeamkaje na umeibuka kutoka wapi kabla sjakujibu hili swali lako.
Nimeamka salama tu nimekunywa chai ya maziwa sambusa na kababu, nimeshiba. Nimeibukia JF nakutana na upuuzi wako kama kawaida yako, ndio nauliza hivi,
Ni nani huyo alietabiri ulosema yalitabiriwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ungekua na msimamo huu tokea awali hakuna mtu angehangaika kuja kujibu kitu hapa, yani wewe akili yako hairuhusu mtu kua "concerned" au ku express his worries kuhusu jambo lolote , yani asubiri tu mpaka liwe scientifically proven , hiyo ni dunia ya mambubu na viziwi unayotakaBado haunielewi, Bill Gates hapo hajasema chochote ambacho hakijasemwa hata kabla yake, ni wazi dunia mpaka leo huwa haijajiandaa dhidi ya virusi, maana hata UKIMWI mpaka leo hamna dawa ya kuuponya.
Lakini mimi nimekuomba ulete ushahidi wa kitaalam unaothibitisha Corona inaletwa na teknolojia ya 5G
Haya mambo machache mkiyaelewa, wala hamtabweteka tena
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi mashirika yote ya ndege kuacha safari
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi mataifa mengi ya duniani kufunga mipaka
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi miji ndani ya mataifa kuwekwa kwenye lockdown
- Ugonjwa kusambaa kwa kasi hadi kuwalaza viongozi mashuhuri kama waziri mkuu UK na malkia na wengineo
- Ugonjwa kuua watu wengi kwa mkupuo, namba zinapandisha Marekani, Italy n.k.
Yaani sijui niandike mpaka wapi ndio muanze kufahamu haka sio kaugonjwa, ile tu Afrika tumekoswa koswa kwenye idadi ya vifo sio sababu za kulala na kubweteka.
Hapo Bongo kawaulize wadau wa idara ya utalii, watakuambia haka sio kaugonjwa, ni jitu linazingua.
Watu wajichimbie, wachukue tahadhari mpaka mzungu agundue tiba na kinga.
nilishakuambia wewe ni mjinga kama herufi zilizoko kwenye jina lako
Pound ni pesa mwingereza inahusiana nini na Spain?? Nembo ya Kirusi cha corona kina uhusiano gani na crow5 au ufalme wa Spain? uwe unakaa pembeni wanaume wakijadili mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Stupid boy. Ujinga wako ukianikwa, saa zingine ni bora kunyamazia hapo.
I thought nikikufunza historia ya coronavirus utatumia akili yako kidogo.
Bank notes are designed with the country's culture in mind. Hio tower ambayo unasema ni 5G tower, ni Margate lighthouse huko UK..
View attachment 1413670
View attachment 1413669
Wacha kujaza akili uji.
Soma hapa utoe ubongolala kwa kichwa - £20 notes don’t have a secret message about 5G and coronavirus
The purple patch, ambayo kichwa chako kichaa kinadhani ni alama ya corona, pia kina maana yake. Soma hapa uwache ujinga - Coronavirus 5G: Why the new £20 note has the coronavirus symbol and 5G beacon
Your dumb brain continuously exposes the fraud that is Tanzania's education system. Unafaa uende shule ya Kenya uelimishwe vipi virusi husambaa.
Pia watakufunza kuhusu radio waves ili utoe uji kichwa.
Pitia hapo digidigi ww,.. na hiyo virus ni magnet tower hapo Nairobi,Ona kinacho fanyika kwa mabwana zenu kule,
Si huwa hadi kitu kifanyike kwa mabwana zenu ndio mzinduke,
Utanikwepa ila nitakufata nikudunge huko huko.
ungekua na msimamo huu tokea awali hakuna mtu angehangaika kuja kujibu kitu hapa, yani wewe akili yako hairuhusu mtu kua "concerned" au ku express his worries kuhusu jambo lolote , yani asubiri tu mpaka liwe scientifically proven , hiyo ni dunia ya mambubu na viziwi unayotaka
kwa mtazamo huo hata corona ingekua hatuchukui njia yeyote kujikinga sababu hakuna chochote ambacho ni scientifically proven kwamba kinafanya kazi dhidi ya huu ugonjwa
Again tunarudi kule kule, nilisha kuambia , swala la elimu kupatikana kirahisi linafanya kila jambo kuwa jepesi ,hapo kenya penyewe mna cases za cancer zinazo hisiwa chanzo kua ni 5G. wewe subiri mpaka siku wakitoka maabara wakuambie , kina sisi fast follower acha tuendelee na tuliyo nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona kauli ambazo Watanzania huwa nazo humu JF utajua kweli hawa ndugu zetu elimu yao ina mapungufu makubwa sana, hebu waza huyu mchungaji maarufu sana Tanzania yote, anategemewa na maelfu ya Wabongo, na mara moja moja hutinga ikulu kwenda kushauri (kama kwenye hii picha), ndiye anadiriki tena kwa akili zake mwenyewe kusema Corona inaletwa na teknolojia ya 5G.
Huwa sishangai nikiwaona Watz humu na kauli zao, maana hapa ndio elimu yao ilikofikia, hata wataalam wote kimya wanapoambiwa Corona ni 'kaugonjwa'.
![]()
Waone wenzako Capital City ya Dodoma😁😁 wako na low IQ Kama joto la jiwe na ichoboy01Nimeamka salama tu nimekunywa chai ya maziwa sambusa na kababu, nimeshiba. Nimeibukia JF nakutana na upuuzi wako kama kawaida yako, ndio nauliza hivi,
Ni nani huyo alietabiri ulosema yalitabiriwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walisema Kijiji Cha Dodoma waletewe covid mirrioni mbiri Kila moja apate yake 😁😁yaani gwaji anasema huyu mzee wa mbegu hana korona eti ni mitandao ya 5g?! asisee dahh...[emoji23]View attachment 1414041
Sent using Jamii Forums mobile app
Score boardWalisema Kijiji Cha Dodoma waletewe covid mirrioni mbiri Kila moja apate yake [emoji16][emoji16]
Kesho usisahau kufungua Uzi mwingine wa Corona Kenya.