Tanzania inahitaji elimu kwa kweli, yaani mhubiri ambaye humshauri hata Rais, anasema Corona inaletwa na 5G

Tanzania inahitaji elimu kwa kweli, yaani mhubiri ambaye humshauri hata Rais, anasema Corona inaletwa na 5G

Corona kuletwa na 5G ni agenda ambayo inajulikana worldwide, tatizo lipo kwako mkuu. Your not updated with the facts!!.

Hizo facts ndo nataka mzianike humu tuzijadili kitaalam, acheni soga za vijiweni, weka neno kwa neno uhusiano wa 5G na Corona tubishane kwa hoja.
Mambo kama hayo yakisemwa mtaani itaeleweka kama gumzo la vjana kupotezea muda, lakini wakati linatangazwa mbele ya umati kanisani, tena na mtu mwenye access ya ikulu, hapo lazima ichukuliwe serious.
 
Kiukweli kwangu mimi wewe MK254 na Gwajima nyote sawa tu. Gwajima akiwa kama mchungaji hapaswi kuingilia mambo ya teknolojia Ila pia wewe kama mkenya hupaswi kuingilia mambo ya Tanzania

Hatungefuatilia mambo yenu kama mngechukulia hili suara la Corona seriously na kuacha kuita kaugonjwa, sasa tumeanza kuibukiwa na watu wanatokea Tanzania na kirusi, mna uzembe sana huko.
 
Hizi insha sijui unaandika za nini, nimesema wengi wanaongea kuhusu 5G ni korona kwenye vijiweni, ila sio kwa mtu anayetegemewa kwenda kushauri ikulu, ndio maana mnaita Corona kaugonjwa.
Halafu nimeona kumbe ni kitu kimewahi kufunguliwa uzi
Upotoshaji uliopo kati ya uhusiano wa teknolojia ya 5G na corona - JamiiForums

Kwa hiyo kufunguliwa uzi kwako imekupa ujumbe gani? Kafungua uzi Mtanzania...Vipi UK ambapo "Department of Digital, Culture, Media and Sport" ilitoa kabisa tamko baada ya 5G towers kupigwa moto??
 
Na hao mabwana zetu wanaosema hivyo? Nenda YouTube utawasikia na kuwaona.

Tatizo la ndugu zetu Wakenya ni kujifanya mnaelimu wakati hakuna kitu mnawasujudia sana wazungu kiasi mnajitoa hata ubinadamu wenu.

Miaka ya nyuma nilifanyakazi hapo Nairobi na nilikuwa naishi Westland karibu na Saliti Centre nilikuwa naona jinsi gani wakenya weusi wanavyonyanyaswa na weupe wakishirikiana na wakenya wachache ilikuwa inaniumiza sana.

Kuna uwezekano wewe ni kati ya wakenya wachache unaokula matunda ya Kenya ila waliowengi wanapata shida sana huko mitaani.

Kwahiyo mkuu Watz wengi tunajitambua sana pamoja na kuwa bado tuko nyuma kimaendeleo lakini sisi tunajali UTU kwanza!! Ndiyo maana hata sasa hivi tunapambana na corona kiutu zaidi siyo nyinyi hapo kutandikana kama wanyama na wanaopigwa ni wakenya weusi sioni weupe wakipigwa na nina uhakika ukienda Westland utakuta weupe wanaendelea kula nchi tu ya wakenya.


Umemdhania vibaya, kwamba huyu ni "kati ya wakenya wachache wanaokula matunda ya Kenya"!!!! Kama unawafahamu wakenya kweli huhitaji degree kujua huyu ni mtu wa kundi lipi. Wakenya wanaokula matunda ya Kenya ni wachache sana, si mapepe na wako "open minded" sana. Ukikutana nao hao utaijua Kenya vilivyo. Kiufupi hakuna kitu Kenya Mtanzania atakwenda na kukiona cha ajabu, vilevile hakuna kitu Tanzania Mkenya atakuja na kukiona cha ajabu. Kwa kweli sijawahi kujua ni nini Wakenya "hawa" wanaona wanacho cha ziada, ilihali wenzao wanaokula matunda wako wawazi sana. Kenya ni nchi nyingine ya Sub-Saharan Africa. Kama ulifika mitaa ya mabanda pale Nairobi (nasema Nairobi, sio Turkana, Mandera, Samburu, Busia wala West Pokot) utaelewa. It's another SSA!
 
Chukua muda wako utumie akili kabla kuandika hizi insha, ni kweli Corona sio hatari kama Malaria, ila
- Maambukizi yake yanasambaa kwa kasi kuliko Malaria
- Mbinu za kuambukizana zipo aina nyingi kuliko Malaria, kugusana tu au kumkaribia muathirika wakati anaongea imetosha
- Malaria ina dawa, Corona haina dawa, ndio imeingia duniani
- Malaria hayajaua watu kwa mkupuo kama tunavyoona Marekani na Italy na kwingine mpaka miji inapigwa lockdown

Naweza nikaandika sababu nyingi sana za kwanini unapaswa kuchukwa tahadhari, lakini wengi wenu mumeaminishwa na kukaririshwa pumba wala hutakaa unielewe kitu. Dunia yote kila sehemu watu wanahubiriwa wachukue tahadhari, Tanzania tu ndio mpo tofauti na mabilioni ya watu wa dunia yote.


Nyie mliochukua tahadhari na TZ ambako hawajuchukua tahadhari wapi kuna vifo vingi vya corona?

Tatizo lenu mizungu ikisema tu mnafanya bila kufikiria mazingira na system yenu into account. Haya lockdown yenu imewasaidia nini?
 
Hatungefuatilia mambo yenu kama mngechukulia hili suara la Corona seriously na kuacha kuita kaugonjwa, sasa tumeanza kuibukiwa na watu wanatokea Tanzania na kirusi, mna uzembe sana huko.
Wagonjwa 175 mlionao wote wametokea Tanzania? Hamuoni nyie pia ni wazembe na hamkutimiza wajibu wenu mahala fulani?
 
Anayosema gwajima ni kweli,bill gate ndio yupo nyuma ya mpango huu
 
@ danpol uaijifanye unajua jamaa anakuelimisha elimika tatizonunakaza shingo hafu kichwani hamna kitu
nilishakuambia wewe ni mjinga kama herufi zilizoko kwenye jina lako

Pound ni pesa mwingereza inahusiana nini na Spain?? Nembo ya Kirusi cha corona kina uhusiano gani na crow5 au ufalme wa Spain? uwe unakaa pembeni wanaume wakijadili mambo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pitia hapo digidigi ww,.. na hiyo virus ni magnet tower hapo Nairobi,

Kwahiyo hiyo tower hapo london hua inatoa mionzi??


so kwa akili yako ya kuvuka barabara hizo zote zinazo unguzwa hapo ni hiyo lighthouse,...again..wewe n mjinga kama sifuri zilizoko kwenye jina lako
Sent using Jamii Forums mobile app
@ danpol acha kutudhalilisha bana nyie mnafanya watanzania tunaomekana wote wajinga.Naamini umeaoma ila reasoning yako aisee inamashaka sana.


Unapoleta allegations nzito kama corona kusababishwa na 5G ,I expected uje na biological mechanism. Utuambie how radiations create a living virus like corona in a very short period of time.


Sio unakuja na video za wapumbavu wanaoharibu miundombinu kwa ukilaza wao hafu ndo unatumia kama basis ya argument yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona kuletwa na 5G ni agenda ambayo inajulikana worldwide, tatizo lipo kwako mkuu. Your not updated with the facts!!.
Legend research zenu tusome tujue how you the so called " updated people" came to that finding.

Zaidi ya kuleta hisia in scientific matters

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama alivyokuwa anawalaza vilaza wa saccos ya Chadema siku za karibuni hasa baada ya uchaguzi wa 2015
Kunywa uji alafu kafagie hapo uani, pia usisahau kuchambua matembere ya mchana yapo hapo kwenye ungo juu ya kabati.
 
@ danpol acha kutudhalilisha bana nyie mnafanya watanzania tunaomekana wote wajinga.Naamini umeaoma ila reasoning yako aisee inamashaka sana.


Unapoleta allegations nzito kama corona kusababishwa na 5G ,I expected uje na biological mechanism. Utuambie how radiations create a living virus like corona in a very short period of time.


Sio unakuja na video za wapumbavu wanaoharibu miundombinu kwa ukilaza wao hafu ndo unatumia kama basis ya argument yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
@ danpol uaijifanye unajua jamaa anakuelimisha elimika tatizonunakaza shingo hafu kichwani hamna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kimekushinda nini kuja na hiyo mechanism wewe ?? simu yako haiwez ku Google?? elimu gani anayotoa hapo kama sii utopolo tupu? ungana nae, sihitaji mawazo yake hayo , yachukue wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimamo wangu ni ule ule tangu mwanzo, kwamba ili tukuamini au tuamini huyo Gwajima kwamba Corona imeletwa na 5G, weka humu ushahidi tuudadavue kitaalam, mengine yote ya ku-express hisia zako unaruhusiwa ila hatuwezi kwenda kwa hisia kwenye masuala ya kitaalam, tunachambua na kudadavua ipasavyo.
Wapo wengi wana express hisia zao, wengine wanasema Marekani alibuni hicho kirusi, mwingine anasema kilibuniwa na Mchina, wote hao wana huo uhuru wa kubwatuka chochote, ila mpaka tupokezane nondo za kueleweka kitaalam tutaendelea kupuuza.
Hebu weka kanusho kwamba 5G haihusiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona kauli ambazo Watanzania huwa nazo humu JF utajua kweli hawa ndugu zetu elimu yao ina mapungufu makubwa sana, hebu waza huyu mchungaji maarufu sana Tanzania yote, anategemewa na maelfu ya Wabongo, na mara moja moja hutinga ikulu kwenda kushauri (kama kwenye hii picha), ndiye anadiriki tena kwa akili zake mwenyewe kusema Corona inaletwa na teknolojia ya 5G.

Huwa sishangai nikiwaona Watz humu na kauli zao, maana hapa ndio elimu yao ilikofikia, hata wataalam wote kimya wanapoambiwa Corona ni 'kaugonjwa'.

michuzijr_60972817_148512542951570_1144757953477379838_n.jpg


Yet people still attend these churches and listen to this nonsense.
 
Ukiona kauli ambazo Watanzania huwa nazo humu JF utajua kweli hawa ndugu zetu elimu yao ina mapungufu makubwa sana, hebu waza huyu mchungaji maarufu sana Tanzania yote, anategemewa na maelfu ya Wabongo, na mara moja moja hutinga ikulu kwenda kushauri (kama kwenye hii picha), ndiye anadiriki tena kwa akili zake mwenyewe kusema Corona inaletwa na teknolojia ya 5G.

Huwa sishangai nikiwaona Watz humu na kauli zao, maana hapa ndio elimu yao ilikofikia, hata wataalam wote kimya wanapoambiwa Corona ni 'kaugonjwa'.

michuzijr_60972817_148512542951570_1144757953477379838_n.jpg


Mkuu tuachie nchi yetu! Mbona uko bize sana nasi?
Zile ventilators zinaendeleaje huko?
 
Back
Top Bottom