Tanzania inahitaji elimu kwa kweli, yaani mhubiri ambaye humshauri hata Rais, anasema Corona inaletwa na 5G

Tanzania inahitaji elimu kwa kweli, yaani mhubiri ambaye humshauri hata Rais, anasema Corona inaletwa na 5G

Mkuu tuachie nchi yetu! Mbona uko bize sana nasi?
Zile ventilators zinaendeleaje huko?

Tatizo hili janga halijui mipaka aliyochora mzungu, hivyo mkizembea inatukuta na sisi huku. Hujiulizi kwanini watu wanatokea Tanzania na kupatikana na Corona huku, hao ni wachache ambao wanakubali kufuata taratibu, vipi wale wanaingia kinyemela....
 
Uliyeleta hizo kauli ndiye uambatanishe na ushahidi, ili na sisi tukanushe kwa ushahidi.
Unakanusha vipi jambo ambalo huna uhakika nalo ? unakataa kwa grounds zipi ??

Mwanzoni nilikwambia , mtu anapokua na wasiwasi au shaka juu ya jambo fulani ana haki ya kua na wasiwasi na shaka huo , sii mpaka asikie mamlaka au kina fulani wamesema basi nae ndio aanza kua na wasiwasi, hakuna jambo linalotokea tuu from nowhere, haya madogo madogo haya ndio yatafanya watu warudi wakae chini wachunguze waje na jibu

hatujasema popote kwamba hili jambo limethibitika , ila tunaviashiria na series za matukio kama ambavyo wadau wameonyesha hapo awali kwamba kwa sababu hizo kuna uhusiano

sasa wewe unapokataa , kataa kama hao wadau walivyofanya, wamekuja hadi na videos, matukio ya siku za nyuma , noti ya pound 20 etc.. sio vithibitisho ila viambatanishi vinavyo pave way to the next step ya hili jambo

Wewe unapokataa moja kwa moja basi tupe uthibitisho kwamba hili swala limethibitika sii kweli , uchunguzi wa kisayansi umekataa hili jambo , hvyo tu , tutaondoa mkanyiko wote unao endelea duniani kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakanusha vipi jambo ambalo huna uhakika nalo ? unakataa kwa grounds zipi ??

Mwanzoni nilikwambia , mtu anapokua na wasiwasi au shaka juu ya jambo fulani ana haki ya kua na wasiwasi na shaka huo , sii mpaka asikie mamlaka au kina fulani wamesema basi nae ndio aanza kua na wasiwasi, hakuna jambo linalotokea tuu from nowhere, haya madogo madogo haya ndio yatafanya watu warudi wakae chini wachunguze waje na jibu

hatujasema popote kwamba hili jambo limethibitika , ila tunaviashiria na series za matukio kama ambavyo wadau wameonyesha hapo awali kwamba kwa sababu hizo kuna uhusiano

sasa wewe unapokataa , kataa kama hao wadau walivyofanya, wamekuja hadi na videos, matukio ya siku za nyuma , noti ya pound 20 etc.. sio vithibitisho ila viambatanishi vinavyo pave way to the next step ya hili jambo

Wewe unapokataa moja kwa moja basi tupe uthibitisho kwamba hili swala limethibitika sii kweli , uchunguzi wa kisayansi umekataa hili jambo , hvyo tu , tutaondoa mkanyiko wote unao endelea duniani kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app

Badala ya kuhangaika kuandikiana insha na wewe humu wacha nikupe taarifa mpya, wanasayansi wamegundua aina zingine sita za kirusi cha Corona, sasa hizi nazo sijui mtasema zimeletwa na 6G,7G.8G,9G,10G,11G mtawalia
Soma zaidi 6 new coronaviruses discovered in bats
 
Badala ya kuhangaika kuandikiana insha na wewe humu wacha nikupe taarifa mpya, wanasayansi wamegundua aina zingine sita za kirusi cha Corona, sasa hizi nazo sijui mtasema zimeletwa na 6G,7G.8G,9G,10G,11G mtawalia
Soma zaidi 6 new coronaviruses discovered in bats
Sii kana kwamba labda hii tuliyo nayo ndio Corona pekee ... mpaka sasa , ziko zaid ya aina 60 achana na hizo 6 unazodhani ni nyinyi, ziko 60 kwa popo peke yake, ziko na wanyama wengine kama nilivyoweka hapa chini



betacoronavirus


Betacoronavirus

Gammacoronavirus

Coronavirus

Torovirinae

Coronaviridae

Deltacoronaviruses

Alphacoronavirus


Coronaviridae ni family anayotoka huyo kirusi, zipo subfamily pia , vipi vingi tu , vingi mno..miaka mingi tu

Umeshindwa kuleta uthibitisho wa kukanusha ulioko scientifically proven huna haki yeyote ya kukataza au ku demand anything kwa yeyote atakae amini chochote kwa upande wake, mada imeisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sii kana kwamba labda hii tuliyo nayo ndio Corona pekee ... mpaka sasa , ziko zaid ya aina 60 achana na hizo 6 unazodhani ni nyinyi, ziko 60 kwa popo peke yake, ziko na wanyama wengine kama nilivyoweka hapa chini



betacoronavirus


Betacoronavirus

Gammacoronavirus

Coronavirus

Torovirinae

Coronaviridae

Deltacoronaviruses

Alphacoronavirus


Coronaviridae ni family anayotoka huyo kirusi, zipo subfamily pia , vipi vingi tu , vingi mno..miaka mingi tu

Umeshindwa kuleta uthibitisho wa kukanusha ulioko scientifically proven huna haki yeyote ya kukataza au ku demand anything kwa yeyote atakae amini chochote kwa upande wake, mada imeisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona elimu imekuingia hadi hapo, sasa umeanza kupunguza kazi yangu ya kutafiti. Safi sana, sasa nenda kampe hii darasa huyo Gwajima.
 
Kenya wanaoana sofa, eti wanataka kushindana na USA kwa kuwa na waganjwa wengi wa COVID19. Ndugu zetu hizo sio sifa hata mdogo, hayo ni marathon ya kutisha.
Ukiona kauli ambazo Watanzania huwa nazo humu JF utajua kweli hawa ndugu zetu elimu yao ina mapungufu makubwa sana, hebu waza huyu mchungaji maarufu sana Tanzania yote, anategemewa na maelfu ya Wabongo, na mara moja moja hutinga ikulu kwenda kushauri (kama kwenye hii picha), ndiye anadiriki tena kwa akili zake mwenyewe kusema Corona inaletwa na teknolojia ya 5G.

Huwa sishangai nikiwaona Watz humu na kauli zao, maana hapa ndio elimu yao ilikofikia, hata wataalam wote kimya wanapoambiwa Corona ni 'kaugonjwa'.

michuzijr_60972817_148512542951570_1144757953477379838_n.jpg



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mshauri anazidi kuwapeleka pabaya, sasa naskia kasema chanjo ni Nano ambayo Watanzania wanachanjwa sijui ili iweje.....
Na sitashangaa huyu jamaa akija kupewa urais, Watz akili zao bana.
 
Back
Top Bottom