Tanzania inahitaji elimu kwa kweli, yaani mhubiri ambaye humshauri hata Rais, anasema Corona inaletwa na 5G

Corona kuletwa na 5G ni agenda ambayo inajulikana worldwide, tatizo lipo kwako mkuu. Your not updated with the facts!!.

Hizo facts ndo nataka mzianike humu tuzijadili kitaalam, acheni soga za vijiweni, weka neno kwa neno uhusiano wa 5G na Corona tubishane kwa hoja.
Mambo kama hayo yakisemwa mtaani itaeleweka kama gumzo la vjana kupotezea muda, lakini wakati linatangazwa mbele ya umati kanisani, tena na mtu mwenye access ya ikulu, hapo lazima ichukuliwe serious.
 
Kiukweli kwangu mimi wewe MK254 na Gwajima nyote sawa tu. Gwajima akiwa kama mchungaji hapaswi kuingilia mambo ya teknolojia Ila pia wewe kama mkenya hupaswi kuingilia mambo ya Tanzania

Hatungefuatilia mambo yenu kama mngechukulia hili suara la Corona seriously na kuacha kuita kaugonjwa, sasa tumeanza kuibukiwa na watu wanatokea Tanzania na kirusi, mna uzembe sana huko.
 

Kwa hiyo kufunguliwa uzi kwako imekupa ujumbe gani? Kafungua uzi Mtanzania...Vipi UK ambapo "Department of Digital, Culture, Media and Sport" ilitoa kabisa tamko baada ya 5G towers kupigwa moto??
 


Umemdhania vibaya, kwamba huyu ni "kati ya wakenya wachache wanaokula matunda ya Kenya"!!!! Kama unawafahamu wakenya kweli huhitaji degree kujua huyu ni mtu wa kundi lipi. Wakenya wanaokula matunda ya Kenya ni wachache sana, si mapepe na wako "open minded" sana. Ukikutana nao hao utaijua Kenya vilivyo. Kiufupi hakuna kitu Kenya Mtanzania atakwenda na kukiona cha ajabu, vilevile hakuna kitu Tanzania Mkenya atakuja na kukiona cha ajabu. Kwa kweli sijawahi kujua ni nini Wakenya "hawa" wanaona wanacho cha ziada, ilihali wenzao wanaokula matunda wako wawazi sana. Kenya ni nchi nyingine ya Sub-Saharan Africa. Kama ulifika mitaa ya mabanda pale Nairobi (nasema Nairobi, sio Turkana, Mandera, Samburu, Busia wala West Pokot) utaelewa. It's another SSA!
 


Nyie mliochukua tahadhari na TZ ambako hawajuchukua tahadhari wapi kuna vifo vingi vya corona?

Tatizo lenu mizungu ikisema tu mnafanya bila kufikiria mazingira na system yenu into account. Haya lockdown yenu imewasaidia nini?
 
Hatungefuatilia mambo yenu kama mngechukulia hili suara la Corona seriously na kuacha kuita kaugonjwa, sasa tumeanza kuibukiwa na watu wanatokea Tanzania na kirusi, mna uzembe sana huko.
Wagonjwa 175 mlionao wote wametokea Tanzania? Hamuoni nyie pia ni wazembe na hamkutimiza wajibu wenu mahala fulani?
 
Anayosema gwajima ni kweli,bill gate ndio yupo nyuma ya mpango huu
 
@ danpol uaijifanye unajua jamaa anakuelimisha elimika tatizonunakaza shingo hafu kichwani hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
@ danpol acha kutudhalilisha bana nyie mnafanya watanzania tunaomekana wote wajinga.Naamini umeaoma ila reasoning yako aisee inamashaka sana.


Unapoleta allegations nzito kama corona kusababishwa na 5G ,I expected uje na biological mechanism. Utuambie how radiations create a living virus like corona in a very short period of time.


Sio unakuja na video za wapumbavu wanaoharibu miundombinu kwa ukilaza wao hafu ndo unatumia kama basis ya argument yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona kuletwa na 5G ni agenda ambayo inajulikana worldwide, tatizo lipo kwako mkuu. Your not updated with the facts!!.
Legend research zenu tusome tujue how you the so called " updated people" came to that finding.

Zaidi ya kuleta hisia in scientific matters

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama alivyokuwa anawalaza vilaza wa saccos ya Chadema siku za karibuni hasa baada ya uchaguzi wa 2015
Kunywa uji alafu kafagie hapo uani, pia usisahau kuchambua matembere ya mchana yapo hapo kwenye ungo juu ya kabati.
 
@ danpol uaijifanye unajua jamaa anakuelimisha elimika tatizonunakaza shingo hafu kichwani hamna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kimekushinda nini kuja na hiyo mechanism wewe ?? simu yako haiwez ku Google?? elimu gani anayotoa hapo kama sii utopolo tupu? ungana nae, sihitaji mawazo yake hayo , yachukue wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu weka kanusho kwamba 5G haihusiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yet people still attend these churches and listen to this nonsense.
 
Mkuu tuachie nchi yetu! Mbona uko bize sana nasi?
Zile ventilators zinaendeleaje huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…