Tanzania inahitaji Rais Dikteta mwenye Maono ili iendelee

Tanzania inahitaji Rais Dikteta mwenye Maono ili iendelee

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Demokrasi was not for African countries. Hasa hizi zetu zilizojaa Uswahili. Angalia nchi ambazo zilipata kukaliwa na waarabu. Zilizoendelea zimeendelea kwa mkono imara wa chuma not Demokrasia.

Angalia nchi za Kiarabu ambazo zimeendelea, zinatawaliwa kwa sheria kali sana. Nchi hii imeharibika kwa sababu tumeifanya siasa kuwa ni maneno maneno ya mipasho na utendaji zero.

Kuna watu unashangaa wanaogopwa. Wanaogopwa na serikali? Tumekuwa na maneno maneno kwa miaka mingi. Anatakiwa Rais shujaa mwenye maono ambaye ataipeleka nchi kwenye uelekeo sahihi.

Kuna watu unaambiwa wakiguswa nchi itayumba. Unawaza nchi itayumbaje? Mimi nawaambia nchi hii italiwa sana na wachache wengi wataendelea kuteseka. Mpaka apatikane Rais katili wa maendeleo ambaye hatoacha watu wajilie watakavyo.

Wavivu ni wengi asilimia 70 na hawa ndo ambao wanataka waishi kiujanja ujanja tu. Kiwizi wizi na kifisadi. Ukiwapa mazingira ya kuchapa kazi wanakuchukia. Imagine mtu hataki kusoma. Ila anataka aje apate kazi kwa cheti feki.

Ukimfukuza kazini anakuchukia anakuona wewe katili. Ila ukimwambia nenda shule anakuona wewe pia hufai unamletea Elimu za Kigeni zisizofaa kwake. Mtu huyo unamwachisha kazi. Humfungulii mashtaka bado anapata ujasili wa kudai alipwe mafao? Hii inatokea katika nchi ambazo ni shit holes tu. Hawa walipaswa wafunguliwe kesi.

Anyway, mtakuja wenyewe kujitetea mi nimesema yangu tayari. Nimepasua jipu.
 
... msianze kuleta mambo yenu halafu linakuja kuinuka jitu linadhani wanachohitaji wananchi ni udikteta! Please, stop that nonsense. Tanzania inahitaji mtu mwenye maono ya kuipeleka nchi mbele; mwanademokrasia; anaye-argue kwa hoja na sio kwa bunduki.
 
Tunahitaji Rais mzalendo mwenye uchungu na nchi yake, asiwe kaburu awe mnyenyekevu Kwa Katiba aliyoapa kuilinda. Akikemea rushwa na ufisadi ukimuangalia usoni unasema yes huyu ndiye. Asiwe dikteta bali awe Rais wa vyama vyote.
 
Acheni upumbavu! Ukisema dikteta unamaanisha jitu ambalo litauwa watu kwa kisingizio Cha kuleta maendeleo.

Tunahitaji mtu imara, mwenye kufata Sheria bila upendeleo, mwenye maono na ambaye atakuwa tayari kukomesha wizi na ufisadi. Hauhitaji kuua Ili kutekeleza haya, Bali unahitaji ujasiri wa kutekeleza sheria, kutunga Sheria mpya kwa maslahi mapana ya jamii, sio maslahi ya wachache

Kinachofanyika Sasa ni kikundi Cha wachache waitwao CCM, na maswahiba zao kujineemesha huku gharama ikilipwa na watanzania wote.

This has to end!
 
Magufuli alikuwa ututoe hapa shida yake exposure ilikuwa zero.Hii Nchi iliharibiwa toka kipindi cha Mwinyi ndipo rushwa ilianza,the only solutions nakubaliana na wewe anatakiwa apatikane Rais Dikiteta iliyo na exposure ya kutosha yani uelewa wake wa mambo mbalimbali uwe mkubwa.
 
Demokrasi was not for African countries. Hasa hizi zetu zilizojaa Uswahili. Angalia nchi ambazo zilipata kukaliwa na waarabu. Zilizoendelea zimeendelea kwa mkono imara wa chuma not Demokrasia...
Ni kwer kabisa, nashangaa watu ety ooh tunahtaji raisi mwenye utu mzalendo sjui anaejali watu wake ambae hajashiba madaraka😝😝hivi unazan kuwa na madarka kitu kirahisi mda huo kuna watu walkuwa viongozi drsn shule ya msingi na wakaona wamemaliza maisha sembuse nchi yote yakoo imagine uko na ka milioni 20 tu ndani hakana kazi huwa unajiskiaje?

Pesa na madaraka vina gharama zake hatuhitaji raisi mwenye huruma anatakiwa awe na akili bhan ata kam ni dekteta lkn tuone mafanikio watu wana relax makazini hawana ata hofu raisi anataka kuonekana mwema kwa watu
 
Tunahitaji Rais mzalendo mwenye uchungu na nchi yake, asiwe kaburu awe mnyenyekevu Kwa Katiba aliyoapa kuilinda. Akikemea rushwa na ufisadi ukimuangalia usoni unasema yes huyu ndiye. Asiwe dikteta bali awe Rais wa vyama vyote.
Hayupo wa hivo lbd wew😂😂😂bhana bora awe kaz kaz kma Magu ata watu waandamane
 
Kweli tunachokijua ni hicho, umenena. Big up! Ila kiongozi wa namna hiyo hadumu, inatakiwa dini zote wakae pamoja na kuomba, ili atakaemdhuru kiongozi wa namna hiyo yeye adhurike mara kumi.
Wew tu imagine ka nchi kamekaa kipole kipole tyu ata hakana vibe hkuna ata kamuandamano kadogo ka kushtua serikali angalau ata watu waone nguvu ya kaserikali ketu tupo tupo tu Ayah Tanzania nchi yenye amani sijui watu wanapataje amani hawana ela
 
Ni kwer kabisa, nashangaa watu ety ooh tunahtaji raisi mwenye utu mzalendo sjui anaejali watu wake ambae hajashiba madaraka😝😝hivi unazan kuwa na madarka kitu kirahisi mda huo kuna watu walkuwa viongozi drsn shule ya msingi na wakaona wamemaliza maisha sembuse nchi yote yakoo imagine uko na ka milioni 20 tu ndani hakana kazi huwa unajiskiaje ? Pesa na madaraka vina gharama zake hatuhitaji raisi mwenye huruma anatakiwa awe na akili bhan ata kam ni dekteta lkn tuone mafanikio watu wana relax makazini hawana ata hofu raisi anataka kuonekana mwema kwa watu
Hatuhitaji dictator bali mtu anayeweza kusimamia utaratibu tulizojiwekea.
 
Tukiipata baada ya KATIBA mpya hatokuwa mkali sana, kitabu kitamsaidia.

Bt kutulipizia KISASI Kwa Hawa wanaotesa wananchi hv sasa hakukwepeki😠😠😠
 
Demokrasi was not for African countries. Hasa hizi zetu zilizojaa Uswahili. Angalia nchi ambazo zilipata kukaliwa na waarabu. Zilizoendelea zimeendelea kwa mkono imara wa chuma not Demokrasia.

Angalia nchi za Kiarabu ambazo zimeendelea, zinatawaliwa kwa sheria kali sana. Nchi hii imeharibika kwa sababu tumeifanya siasa kuwa ni maneno maneno ya mipasho na utendaji zero...
Mama yetu wanamchezea Sana aidha hayajui maisha ya watu wa Hali ya chini. So wale Chawa wanampa hope
 
Back
Top Bottom