Libya ni Afrika sijui unaongelea Afrika ipi nyingine lakini hata kama iko ulaya kama unavyodhani basi natamani Tanzania ingepata angalau dikteta wa aina hiyo
Nikwambie labda upinzani hawana cha ziada cha kutusaidia upinzani ukishika hatamu huwenda mambo yakawa mabaya zaidi
Magufuli amewasanua watu kwamba ukiwa mamlakani unaweza kufanya lolote na hakuna wa kukufanya lolote hiyo ndiyo imepelekea hali kuwa mbaya zaidi kwa sasa
Na itazidi kuwa mbaya zaidi na zaidi huko mbele
Dawa siyo katiba mpya, katiba mpya itasaidia kwa uchache sana tofauti na matarajio ya wengi hii ni Afrika
Rais anashtakika lakini bado hutakuwa na hiyo power
Kinachotakiwa tumpate mtu kama Nyerere mwenye udikteta kiwango cha Magufuli