Tanzania inahitaji Rais Dikteta mwenye Maono ili iendelee

Tanzania inahitaji Rais Dikteta mwenye Maono ili iendelee

... msianze kuleta mambo yenu halafu linakuja kuinuka jitu linadhani wanachohitaji wananchi ni udikteta! Please, stop that nonsense. Tanzania inahitaji mtu mwenye maono ya kuipeleka nchi mbele; mwanademokrasia; anaye-argue kwa hoja na sio kwa bunduki.
Bunduki ndio kila kitu Kwa majizi na mafisadi
 
Demokrasi was not for African countries. Hasa hizi zetu zilizojaa Uswahili. Angalia nchi ambazo zilipata kukaliwa na waarabu. Zilizoendelea zimeendelea kwa mkono imara wa chuma not Demokrasia.

Angalia nchi za Kiarabu ambazo zimeendelea, zinatawaliwa kwa sheria kali sana. Nchi hii imeharibika kwa sababu tumeifanya siasa kuwa ni maneno maneno ya mipasho na utendaji zero.

Kuna watu unashangaa wanaogopwa. Wanaogopwa na serikali? Tumekuwa na maneno maneno kwa miaka mingi. Anatakiwa Rais shujaa mwenye maono ambaye ataipeleka nchi kwenye uelekeo sahihi.

Kuna watu unaambiwa wakiguswa nchi itayumba. Unawaza nchi itayumbaje? Mimi nawaambia nchi hii italiwa sana na wachache wengi wataendelea kuteseka. Mpaka apatikane Rais katili wa maendeleo ambaye hatoacha watu wajilie watakavyo.

Wavivu ni wengi asilimia 70 na hawa ndo ambao wanataka waishi kiujanja ujanja tu. Kiwizi wizi na kifisadi. Ukiwapa mazingira ya kuchapa kazi wanakuchukia. Imagine mtu hataki kusoma. Ila anataka aje apate kazi kwa cheti feki.

Ukimfukuza kazini anakuchukia anakuona wewe katili. Ila ukimwambia nenda shule anakuona wewe pia hufai unamletea Elimu za Kigeni zisizofaa kwake. Mtu huyo unamwachisha kazi. Humfungulii mashtaka bado anapata ujasili wa kudai alipwe mafao? Hii inatokea katika nchi ambazo ni shit holes tu. Hawa walipaswa wafunguliwe kesi.

Anyway, mtakuja wenyewe kujitetea mi nimesema yangu tayari. Nimepasua jipu.
Hii kauli iliwaponza Chadema
 
Huwa nawaambia watu hivyo
Kiukweli kabisa Tanzania inahitaji dikteta mwenye akili nyingi asiye na tamaa na mwenye maono asiyeogopa

Watu kama Msoga na nduguze walifanya makosa na bado wahawajaona hilo watubu na wawe washauri wazuri kwa manufaa ya nchi badala yake wamezidi kuwa kikwazo kwa maendeleo ya nchi

Dawa yao unabadili sheria kidogo alafu unawafilisi mpaka mashangazi zao na wao unatia nyuma ya nondo bila kupepesa macho
Magufuli alikuwa ni dikteta asiye na maono
 
Huwa nawaambia watu hivyo
Kiukweli kabisa Tanzania inahitaji dikteta mwenye akili nyingi asiye na tamaa na mwenye maono asiyeogopa

Watu kama Msoga na nduguze walifanya makosa na bado wahawajaona hilo watubu na wawe washauri wazuri kwa manufaa ya nchi badala yake wamezidi kuwa kikwazo kwa maendeleo ya nchi

Dawa yao unabadili sheria kidogo alafu unawafilisi mpaka mashangazi zao na wao unatia nyuma ya nondo bila kupepesa macho
Magufuli alikuwa ni dikteta asiye na maono
Upumbavu mtupu mnaongea nyie.
Huyo dikteta aliyepita alifanya nini cha maana zaidi ya visasi na kuua wapinzani?

Tanzania inahitaji viongozi watakaofuata sheria na wananchi wenye akili na ujasiri wa kuwawajibisha viongozi wasiofaa, sio dikteta, Uganda inaongozwa na Dikteta ina kipi cha maana?
 
... msianze kuleta mambo yenu halafu linakuja kuinuka jitu linadhani wanachohitaji wananchi ni udikteta! Please, stop that nonsense. Tanzania inahitaji mtu mwenye maono ya kuipeleka nchi mbele; mwanademokrasia; anaye-argue kwa hoja na sio kwa bunduki.
Kheeee
 
Demokrasi was not for African countries. Hasa hizi zetu zilizojaa Uswahili. Angalia nchi ambazo zilipata kukaliwa na waarabu. Zilizoendelea zimeendelea kwa mkono imara wa chuma not Demokrasia.

Angalia nchi za Kiarabu ambazo zimeendelea, zinatawaliwa kwa sheria kali sana. Nchi hii imeharibika kwa sababu tumeifanya siasa kuwa ni maneno maneno ya mipasho na utendaji zero.

Kuna watu unashangaa wanaogopwa. Wanaogopwa na serikali? Tumekuwa na maneno maneno kwa miaka mingi. Anatakiwa Rais shujaa mwenye maono ambaye ataipeleka nchi kwenye uelekeo sahihi.

Kuna watu unaambiwa wakiguswa nchi itayumba. Unawaza nchi itayumbaje? Mimi nawaambia nchi hii italiwa sana na wachache wengi wataendelea kuteseka. Mpaka apatikane Rais katili wa maendeleo ambaye hatoacha watu wajilie watakavyo.

Wavivu ni wengi asilimia 70 na hawa ndo ambao wanataka waishi kiujanja ujanja tu. Kiwizi wizi na kifisadi. Ukiwapa mazingira ya kuchapa kazi wanakuchukia. Imagine mtu hataki kusoma. Ila anataka aje apate kazi kwa cheti feki.

Ukimfukuza kazini anakuchukia anakuona wewe katili. Ila ukimwambia nenda shule anakuona wewe pia hufai unamletea Elimu za Kigeni zisizofaa kwake. Mtu huyo unamwachisha kazi. Humfungulii mashtaka bado anapata ujasili wa kudai alipwe mafao? Hii inatokea katika nchi ambazo ni shit holes tu. Hawa walipaswa wafunguliwe kesi.

Anyway, mtakuja wenyewe kujitetea mi nimesema yangu tayari. Nimepasua jipu.
Una penda sana udikteta na madikteta ndugu ?
 
Demokrasi was not for African countries. Hasa hizi zetu zilizojaa Uswahili. Angalia nchi ambazo zilipata kukaliwa na waarabu. Zilizoendelea zimeendelea kwa mkono imara wa chuma not Demokrasia.

Angalia nchi za Kiarabu ambazo zimeendelea, zinatawaliwa kwa sheria kali sana. Nchi hii imeharibika kwa sababu tumeifanya siasa kuwa ni maneno maneno ya mipasho na utendaji zero.

Kuna watu unashangaa wanaogopwa. Wanaogopwa na serikali? Tumekuwa na maneno maneno kwa miaka mingi. Anatakiwa Rais shujaa mwenye maono ambaye ataipeleka nchi kwenye uelekeo sahihi.

Kuna watu unaambiwa wakiguswa nchi itayumba. Unawaza nchi itayumbaje? Mimi nawaambia nchi hii italiwa sana na wachache wengi wataendelea kuteseka. Mpaka apatikane Rais katili wa maendeleo ambaye hatoacha watu wajilie watakavyo.

Wavivu ni wengi asilimia 70 na hawa ndo ambao wanataka waishi kiujanja ujanja tu. Kiwizi wizi na kifisadi. Ukiwapa mazingira ya kuchapa kazi wanakuchukia. Imagine mtu hataki kusoma. Ila anataka aje apate kazi kwa cheti feki.

Ukimfukuza kazini anakuchukia anakuona wewe katili. Ila ukimwambia nenda shule anakuona wewe pia hufai unamletea Elimu za Kigeni zisizofaa kwake. Mtu huyo unamwachisha kazi. Humfungulii mashtaka bado anapata ujasili wa kudai alipwe mafao? Hii inatokea katika nchi ambazo ni shit holes tu. Hawa walipaswa wafunguliwe kesi.

Anyway, mtakuja wenyewe kujitetea mi nimesema yangu tayari. Nimepasua jipu.
Tulishakuwanaye sema watanzania wengi hatujui tunachokitafuta,kila siku utatukuta
mbugani tunatafuta tusichokijua,hata tukikutana nacho tunapishana nacho tunaendelea kutafuta.
 
... usishangae Clarra. Huwa wanaanzaga kuongea kama mzaha hivi; wazo linakomaa ndani ya jamii halafu pumbavu fulani lisilojua ABC's za good governance linaibuka huko liliko kwa kuogelea ndani ya mawazo haya haya kuja kuumiza watu. Hitler ni mfano mzuri.

Tunahitaji kiongozi mwenye maarifa ya uongozi, mwanademokrasia, mfuata Katiba na sheria. Hatuhitaji dikteta kuongoza nchi hii maana hata huko ambako wamewahi kuwa nao ni vilio na kusaga meno.
 
Kwani hiyo demokrasia tulikuwa nayo lini? Tangu nchi ipate uhuru, Nyerere aliandika katiba ya kutawala kidikteta na mpaka leo ndiyo hiyo inatumika. Kwa mantiki hiyo, marais wote 6 ni madikteta na bado nchi haina maendeleo. Sasa labda useme unataka dikteta wa aina gani tofauti na hao 6.
 
Ukisema dikteta unamaanisha jitu ambalo litauwa watu kwa kisingizio Cha kuleta maendeleo.
Kama alivyokuwa anafanya jiwe. Mungu apishie mbali mkosi kama ule wa jiwe. Hatutaki!! Tunadaka Uhuru.

Itafutwe namna ya kidhibiti wizi na ubadhirifu lkn siyo kuomba jitu Kama jiwe liwe rais wa nchi hii tena.
 
Watanzania hatujielewi tupo hovyo sana mawazoni mwetu. JPM alikuja na huo udikteta tukaanza maongezi ya kwamba nchi hii inahitaji zaidi taasisi zinazofanya kazi.

Amekuja SSH na kusikiliza maombi ya hao wanaotaka taasisi na tumeanza tena kulia tukimdai rais dikteta!!. Tupo hovyo sana vichwani.
 
Africa ni bara lililotawaliwa na linaoendelea kutawailiwa na madikteta wengi zaidi kuliko mabara mengine lakini ndio bara ambalo limeendelea kuwa nyuma zaidi kimaendeleo kuliko mabara mengine yote.
 
Watanzania wote hatuwezi kufanana akili kama mazombi. Wapo Watanzania vichwa fyatu wanaotamani na kuhusudu udikteta, wapo Watanzania wanaotaka demokrasia. Ni ufinyu wa akili kutuweka wote kwenye kapu moja.
Watanzania hatujielewi tupo hovyo sana mawazoni mwetu. JPM alikuja na huo udikteta tukaanza maongezi ya kwamba nchi hii inahitaji zaidi taasisi zinazofanya kazi.

Amekuja SSH na kusikiliza maombi ya hao wanaotaka taasisi na tumeanza tena kulia tukimdai rais dikteta!!. Tupo hovyo sana vichwani.
 
Watanzania hatujielewi tupo hovyo sana mawazoni mwetu. JPM alikuja na huo udikteta tukaanza maongezi ya kwamba nchi hii inahitaji zaidi taasisi zinazofanya kazi.

Amekuja SSH na kusikiliza maombi ya hao wanaotaka taasisi na tumeanza tena kulia tukimdai rais dikteta!!. Tupo hovyo sana vichwani.
Sikubaliani na wanaoomba utawala Kama wa jiwe urudi. Hawa wana yao nyuma ya maombi yao.

Tatizo ninaloliona mimi ni kwamba jiwe alikuwa full dictator wakati huyu aliyepo madarakani ni full laissez faire. Hatujapata mtu akaonesha uongozi.madhubuti kwa kufuata Sheria
 
Akija kiongozi mkali mnabakia kulialia

Ova
 
Back
Top Bottom