Tanzania inaongoza Afrika kwa kuwa na Walevi wengi."Kwa hali hii Maendeleo ni ndoto"

Tanzania inaongoza Afrika kwa kuwa na Walevi wengi."Kwa hali hii Maendeleo ni ndoto"

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Hii ni hatari kama sio balaa.Wenzetu wanaongoza kwa mambo ya msingi,ni ajabu Tanzania yetu inaongoza Afrika kwa kuwa na wale wengi.

Si ajabu wanawake wanakosa wanaume na waliopo hawana nguvu za kiume na za mwili,hupigwa hovyo kwa sababu ya ulevi.

Kana kwamba haitoshi Tzn iko mingoni mwa nchi top ten Duniani zinazoongoza kwa uchawi.

Sasa kama sisi tunaongoza kwa mambo ya kipuuzi ni wazi swala la maendeleo litaendelea kuwa ndoto.👇

====

TOP 10 ALCOHOL CONSUMERS IN AFRICA (2019)

Drink Types: Beer, Wine, Spirits & Others Litres Consumed Per Capita

1. Tanzania 7.81

2. Eswatini 7.68

3. Burkina Faso 7.28

4. SA 7.21

5. Uganda 6.82

6. Gabon 6.47

7. Rwanda 6.35

8. Equatorial Guinea 6.11

9.Botswana 5.98

10.Angola 5.84
Screenshot_20220107-211428.png
 
Hii ni hatari kama sio balaa.Wenzetu wanaongoza kwa mambo ya msingi,ni ajabu Tanzania yetu inaongoza Afrika kwa kuwa na wale wengi.

Si ajabu wanawake wanakosa wanaume na waliopo hawana nguvu za kiume na za mwili,hupigwa hovyo kwa sababu ya ulevi.

Kana kwamba haitoshi Tzn iko mingoni mwa nchi top ten Duniani zinazoongoza kwa uchawi.

Sasa kama sisi tunaongoza kwa mambo ya kipuuzi ni wazi swala la maendeleo litaendelea kuwa ndoto.[emoji116]

View attachment 2086200
Hii riport ni uongo mtupu hakuna watu wanakunywa pombe Kama wazambia wa muzambik Malawi
 
Pombe inanunuliwa na hela....kama tuna hela nyingi za kununua pombe maana yake watanzania wana hela nyingi za kutumia...
 
Wanywaji wao wanajigamba wanachangia mapato ya serikali
 
Mpaka tuwaondoe wachaga tuwarudishe kwao kenya bila kila mwaka tutaongoza.
 
Report ya mchongo hiyo. Mbona mwaka ni 2019.
 
Hii ni hatari kama sio balaa.Wenzetu wanaongoza kwa mambo ya msingi,ni ajabu Tanzania yetu inaongoza Afrika kwa kuwa na wale wengi.

Si ajabu wanawake wanakosa wanaume na waliopo hawana nguvu za kiume na za mwili,hupigwa hovyo kwa sababu ya ulevi.

Kana kwamba haitoshi Tzn iko mingoni mwa nchi top ten Duniani zinazoongoza kwa uchawi.

Sasa kama sisi tunaongoza kwa mambo ya kipuuzi ni wazi swala la maendeleo litaendelea kuwa ndoto.[emoji116]

====

TOP 10 ALCOHOL CONSUMERS IN AFRICA (2019)

Drink Types: Beer, Wine, Spirits & Others Litres Consumed Per Capita

1. Tanzania 7.81

2. Eswatini 7.68

3. Burkina Faso 7.28

4. SA 7.21

5. Uganda 6.82

6. Gabon 6.47

7. Rwanda 6.35

8. Equatorial Guinea 6.11

9.Botswana 5.98

10.Angola 5.84
View attachment 2086200
Hapo bado ule ulevi wetu pendwa wa Mbususu
 
Back
Top Bottom