Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Tuwekee humu jamvini ni bajeti ya mwaka gani haikuwa na external debts ili tuamini ni kwel marehemu dikiteta magufuli alikuwa anajenga taifa la kujitegemea lisilohitaji misaada ya kibeberu?
 
Eti kujitegemea kiuchumi ni wapi sera za mwendazake zimewahi fanikiwa popote duniani.
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania kulingania na za Tanzania nchini Kenya ,ambazo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
MH. Rais Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri anachofanya pia ni muhimu sana kwa ustawi wa taifa letu ila awe makini asirudie makosa yalikwishakufanyika, lakini MAJALIWA KASSIM MAJALIWA atatukosea sana tena sana watanzania asipochukua fomu ya kuomba kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kweli asipofanya hivyo binafsi sitamsamehe tunamuhitaji katika hiyo nafasi, imani yangu na matumaini yangu yako kwake MUNGU amlinde. haya ni mawazo yangu binfsi sijatumwa, wala simchukii mtu, niko tayari kukosolewa sio kuhukumiwa.
 
Hahahahah! Inashangaza na inafurahisha sana

Eti leo hii mtu kama wewe ambae ulikuwa hutaki hata kuisikia CCM leo hii ndo mtu wa kwanza kumsifia na kumkubali kada wa CCM

Yajayo yanafurahisha
Hayo ndiyo matatizo yenu sukuma gang kutotumia akili.

Hamsumbui akili kujua muandishi ana fikiria nini au nia yake ni ipi.

Pole sana bakia kwenye box la ujinga mlioachiwa kama urithi na jiwe.
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania kulingania na za Tanzania nchini Kenya ,ambazo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Walau hakuna kutukanwa,
kukripiwa wala kugombezwa na madharau kibaooo.... Na wapendwa wetu hawatwekwi na Kuuwawa.
 
Tunawajua kundi lenu loote mnaojitahidi kumkwamisha mama Samia.

Mnajitahidi kubeza kila anachokifanya.

Hata hivyo hamtaweza maana tayari mshajulikana.

Niwashauri tu kuwa mnatakiwa mkubali kuwa mama Samia ndiye Rais wa JMT.
Waliozoea kusafisha mikojo Ili tumbo lishibe leo biashara ile imekufa wanatapatapa Sana hawa.Jiwe ajui chochote kuhusu uchumi wa duniani sera zake chakavu zilifaa miaka ya 50 na sio kizazi cha sasa zingetuletea umasikini kuzidi ethiopia bora Mungu alivyosikia maombi yetu.Nchi inafunguliwa tunauza tutakapo korosho mbaazi ufuta mwaka huu bei juu.Waliozoea kuona viroba baharini imekula kwao.
 
Walau hakuna kutukanwa,
kukripiwa wala kugombezwa na madharau kibaooo.... Na wapendwa wetu hawatwekwi na Kuuwawa.
Mataga wanaumia Sana kutoona viroba vikielea,watu wakibomolewa nyumba zao,tumbuliwa,KILA siku Head line mara zito mara mbowe mara Lema wakiburuzwa na polisi vibaraka either mahakamani au vituoni.Zama za ushenzi zilizikwa rasmi chatotown.Tupo mikono salama japo hatuna pesa tuna amani.
Wawekezaji waje tupate ajira.
Kumi tena kwa mama nani kama mama tufute machozi.
 
samia anaenda kuifungua nchi, yule mshamba alikuwa anawaambia nchi inaenda kujitegemea kiuchumi kumbe alikuwa mkopaji mkubwa kuliko marais wote Tz, yaani ratio ya GDP/DEBT ya Tanzania ilikuwa kubwa kipindi cha Magufuli kuliko kipindi chote kuanzia kwa Mkapa, na aliomba IMF impatie msaada . Nyie wapumbavu wake mnamuamini. alikuwa anaielekeza Tanzania kuwa kama venezuela, haina demeokrasia, haina uchumi, haina marafiki. Mungu akatuepusha kama alivyotuepusha na kimbunga jobo
 
Tunawajua kundi lenu loote mnaojitahidi kumkwamisha mama Samia.

Mnajitahidi kubeza kila anachokifanya.

Hata hivyo hamtaweza maana tayari mshajulikana.

Niwashauri tu kuwa mnatakiwa mkubali kuwa mama Samia ndiye Rais wa JMT.
Ushaliwa kichwa ww tulia hujui kitu
 
samia anaenda kuifungua nchi, yule mshamba alikuwa anawaambia nchi inaenda kujitegemea kiuchumi kumbe alikuwa mkopaji mkubwa na aliomba IMF impatie msaada . Nyie wapumbavu wake mnamuamini. alikuwa anaielekeza Tanzania kuwa kama venezuela, haina demeokrasia, haina uchumi, haina marafiki. Mungu akatuepusha kama alivyotuepusha na kimbunga jobo
Cheki akili fupi kama hizi....
 
Magufuli labda kawatoeni nyinyi mataga na sukuma gang matongotongo maana wengine walisha jitambua.
Sisi ni wengi sana na tupo organized kuliko unavyodhani, si kwakumkwamisha Mh. Rais bali kumpa msaada kwa maendeleo na faida ya nchi yetu kwa ujumla na wala siyo faida binafsi......Hakuna namna nchi hii itarudi kwenye ule utopia wa kufikirika ambapo makampuni hewa yaliletwa na makuwadi wao......Tumshauri Mh. Rais kwa uaminifu pasipo kumtumia ili azidi kuwa na confidence na maamuzi yake.......Kuweni makini sana na huo upambe nuksi usio na faida kwa nchi yetu

...Yes I repeat kama tuliweza kwanza hatutashindwa tena mara hii ni rahisi zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kwanza.
 
Kujitegemea my Arse nal Mwalimu Nyerere mwenyewe alikiri kuwa hakuwezekani Dunia ya leo
 
Tunawajua kundi lenu loote mnaojitahidi kumkwamisha mama Samia.

Mnajitahidi kubeza kila anachokifanya.

Hata hivyo hamtaweza maana tayari mshajulikana.

Niwashauri tu kuwa mnatakiwa mkubali kuwa mama Samia ndiye Rais wa JMT.
Wewe Mmawia ni CDM damu-damu unajifanya kucheza ngoma ya majani ya kijani na maua ya njano ukizodoa chawa wanavyokosoana ndani na kumwongoza kiongozi wao uelekeo sahihi ila kwa kuona kuna unafuu kwako unajitosa kuwashambulia bila kujua nyuma ya pazia.

Ugomvi wa baba na mama achana nao, shika jembe ukalime
 
Back
Top Bottom