Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Tatizo hujui unacho kisema , mama hayupo na waramba viatu kama nyinyi wa sukuma gang
 
Mfuate jiwe
 
Jiwe alivyoharibu hii nchi natamani angekuwa hai apigwe mawe hadharani
 
Mfuasi wa shetani jiwe ktk ubora wako.
 
Tunawajua kundi lenu loote mnaojitahidi kumkwamisha mama Samia.

Mnajitahidi kubeza kila anachokifanya.

Hata hivyo hamtaweza maana tayari mshajulikana.

Niwashauri tu kuwa mnatakiwa mkubali kuwa mama Samia ndiye Rais wa JMT.
usiseme tunatakiwa kukubali,kwani nani kakataa???

watu tuko kwenye gari tunazuia dereva asivywe pombe wewe umekaa nyuma yetu unasema tukubali tu maana ndio dereva tuliye naye.

lazima aelekezwe,shinda mnayo nyinyi mnaotafuta namna ya kuwa chawa wa mama,mnadhani mama anapenda kusifiwa muda wote[emoji16][emoji16]
 
Hakuna nchi yoyote duniani iliyojifungia na kuweza kuendelea.Mama yetu Samia piga kazi.Achana na hawa wapuuzi walikokuwa wako kwenye usingizi ya P wakisubiria Mungu atuletee miujiza.
 
when 'the tallest' talks 'the shortest'.....is it a verbal irony or situational irony?
 
Bavicha wanaelewa basi wenzio!! Yaani hawahusu kabisa wao utawasikia lock down basi. Huhuhu
 
Ilijitegemea lini Kiongozi?Awamu ya 5 deni la Taifa limeongezeka nakufika trioni 70.Na tulikopa kutoka kwa hao hao wewe unaona wabaya ,uchumi wa kijamaa ni mgumu kwa raia.Uchumi wa kukuza sector binafsi ndiyo mzuri
 
Pumbavu kabisa wee Mama..
Meko has gone and he will never be back again..he has gone for good..!!Bado haujaamini tu??
Nchi nzima ina furaha kwa huyu Mwehu kutokuwepo..wewe na wehu wenzako ndio kila siku Meko..Meko..
Kafie mbele huko.
 
Pumbavu kabisa wee Mama..
Meko has gone and he will never be back again..he has gone for good..!!Bado haujaamini tu??
Nchi nzima ina furaha kwa huyu Mwehu kutokuwepo..wewe na wehu wenzako ndio kila siku Meko..Meko..
Kafie mbele huko.
Nafikiri wapumbavu ni ancestors wako wewe mtoto wa kikopo
 
Ilijitegemea lini Kiongozi?Awamu ya 5 deni la Taifa limeongezeka nakufika trioni 70.Na tulikopa kutoka kwa hao hao wewe unaona wabaya ,uchumi wa kijamaa ni mgumu kwa raia.Uchumi wa kukuza sector binafsi ndiyo mzuri
Tofautisha kukopa na misaada ,sisi tunakopa ili tufanye maendeleo ,kukopa si dhambi ,nchi tajiri na matajri wanakopa ,na ukiona unakopesheka ujue dhamana yako inaruhusu ,ficha upumbavu wako
 
Pumbavu kabisa wee Mama..
Meko has gone and he will never be back again..he has gone for good..!!Bado haujaamini tu??
Nchi nzima ina furaha kwa huyu Mwehu kutokuwepo..wewe na wehu wenzako ndio kila siku Meko..Meko..
Kafie mbele huko.
Acha bangi ,mbaya sana huiwezi
 
Hakuna nchi yoyote duniani iliyojifungia na kuweza kuendelea.Mama yetu Samia piga kazi.Achana na hawa wapuuzi walikokuwa wako kwenye usingizi ya P wakisubiria Mungu atuletee miujiza.
Siamini na sitaamini kwa Tanzania tuliwahi kujifungia ,ispokuwa tuliwahi kuwa na viongozi wazururaji wanaotembeza bakuri na kutuletea vyandarua na alikuwepo kiongozi makini anaeisimamia nchi barabara na ikawezesha kufikia uchumi wa kati chini toka tupate uhuru na alitumia muda mchache sana
 
Tofautisha kukopa na misaada ,sisi tunakopa ili tufanye maendeleo ,kukopa si dhambi ,nchi tajiri na matajri wanakopa ,na ukiona unakopesheka ujue dhamana yako inaruhusu ,ficha upumbavu wako
Unashida ,ndiyo shida ya kusoma shule za kata.Kwanini unatukana baada ya kutoa hoja yako.Malezi yako ni mabovu kutoka kwa wazazi wako.Ukilelewa kwa malezi ya kishenzi utakuwa mwepesi kutukana watu ambao wao hawajakutukana.
 
Tofautisha kukopa na misaada ,sisi tunakopa ili tufanye maendeleo ,kukopa si dhambi ,nchi tajiri na matajri wanakopa ,na ukiona unakopesheka ujue dhamana yako inaruhusu ,ficha upumbavu wako
Kwa hiyo Mama kaenda kuomba msaada wapi sasa hoja yako haieleweki ,wewe ndiyo mpumbavu mkubwa.Kama humpendi mama kajinyonge,zama zenu zimepita nyinyi mnaojiona mna haki kuliko watz wengine
 
''Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo''

Mkuu punguza mahaba kwa Mwendazake,uchuuzi ni ule umachinga alioutengeneza kupitia vitambulisho vya Tsh.20,000/-.

Naamini wewe huitakii mema Tanzania ila jitahidi kuulazimisha moyo wako kwamba Magufuli is no longer na Samia ndo rais wetu kwa sasa.Wajibu wetu kumuombea na siyo kumbeza.

Hongera mama kwa mwanzo wenye kishindo wasikurudishe nyuma hawa wachache maana wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii.
 
Magufuli alisifiwa alipokuwa akifanya vizuri pia mwanzoni, aliporekebisha mambo kadhaa yaliyokuwa yanalalamikiwa kipindi cha jakaya.
 
Liwalo na liwe, mhimu tuna furaha na uhuru wetu inatosha. Mama songa mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…