Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Mtetezi wa mama Samia, mkosoaji wa Magufuli. Rangi halisi haijifichagi sheikh.
Msgufulii lazima atakosolewa kwa nguvu zote maana aliwafunga watu midomo utadhani tupo nchi ya majilani zetu kumbe tupo nyumbani kwetu.
 
Rostam aliongea maono ya JPM, mama anatembelea biti za JK, kazi ipo.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Awamu yenu imeisha tulieni waachieni wenzenu nao wafanye yao.
Kosa tulilo lifanya kamwe hatutalirudia tena.
 
Vita vya kiuchumi mlikuwa mnashindana na nani?
Vita vya kiuchumi huku mnafisadi mabilioni.
 
Pamoja kiongozi,muda ni mwalimu mzuri ,ukifika wakati utaongea
Sukuma gang ni kipindi chenu mwacheni rais afanye kazi za kuiletea maendeleo nchi yetu iliyo haribiwa na utawala wenu.
 
Nimeshangaa kuambiwa mwendazake alichukua billion 120 kwenye akaunti ya wafanyabiashara mmoja ambaye analipa Jodi vizuri tuu
Eti wamechukua sababu jamaa anahela nyingi
 
Mabeberu tunajipanga kurudi ili ajira zirude ,na mzunguko wa hela urudi
Ilikuwa ndoto mbaya ile imepita............

 
Maisha hayana ukamilifu. Kujifunza kupo dunia nzima.

Pia hatuongozwi na malaika wanaoshuka kutoka mbinguni, tunaongozwa na binadamu wanaosubiri kufa ili wakutane na hukumu ya Mungu.
 
Wapumbavu moo wengi sana
 
Hivi unataka kuniambia sisi hatuna akili kabisa mpaka tuingie mikataba ya kinyonyaji? Kinachotakiwa ni kila upande ufaidike lakini kuacha eti kwa kuogopa tutaibiwa huu ni zaidi ya ujinga.
 

mama kapiga U turn inaenda ku mcost sana

soon lile taifa linadorora, na wapinzania watarudia agenda zao
 
Maisha hayana ukamilifu. Kujifunza kupo dunia nzima.

Pia hatuongozwi na malaika wanaoshuka kutoka mbinguni, tunaongozwa na binadamu wanaosubiri kufa ili wakutane na hukumu ya Mungu.
Tatizo kulikuwa na wana ccm wenzenu kwa kujipendekeza kulio pitiliza walidiliki hata kumuita jiwe kuwa ni YESU.

wengine wakamfananisha na MALAIKA hiyo ni kufuru iliyo vuka mipaka.
 
mama kapiga U turn inaenda ku mcost sana

soon lile taifa linadorora, na wapinzania watarudia agenda zao
Hutaki jinyonge maana huna faida yoyote hapa nchini.

Haiwezekani uwe unapinga juhudi za rais za kusafisha nchi iliyojaa ukatili na udikiteeta.

Hongera zake nyingi mama yetu kwa kukyekeleeea hayo maujinga ukiwepo na wewe.
 
Tunawajua kundi lenu loote mnaojitahidi kumkwamisha mama Samia.

Mnajitahidi kubeza kila anachokifanya.

Hata hivyo hamtaweza maana tayari mshajulikana.

Niwashauri tu kuwa mnatakiwa mkubali kuwa mama Samia ndiye Rais wa JMT.
ila mtoa mada kaeleza vizuri tu. inakuaje kenya wawe na viwanda 534 Tz alafu useme nchi imefungwa, je kenya nao watafungua kama anavyofungua yeye. hizi hoja ni muhimu kabla hujaleta mapenzi mkuu
 
Kwa aina ya mateso tuliyopotia chini ya utawala wa Kayafa,mama hata akitaka kuiuza kigamboni kwa wakenya sawa tu
kwanini asiuze kile kijiji mkoa unaotoka unataja mkoa na eneo la wazaramo wenye eneo lao
 
ila mtoa mada kaeleza vizuri tu. inakuaje kenya wawe na viwanda 534 Tz alafu useme nchi imefungwa, je kenya nao watafungua kama anavyofungua yeye. hizi hoja ni muhimu kabla hujaleta mapenzi mkuu
Hakuna aliyewakataza kwenda kuwekeza wacheni kujifanya hamuelewi.
Serikali hiwezi kuwatia kamba wafanya biashara kuwalazimisha kwenda kuwekeza nchini Kenya?
 
andika kiswahili tu, maana engish mbovu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…