DOKEZO Tanzania Institute Of Education (TIE) does the textbooks business in a "cocaine style". Is that the core job of the institute?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Edit op yako uongezee hii tafsiri ili mtu akifungua huu uzi akutane na Swahili version moja kwa moja.
 
Ndugu Midas Touch ,Mungu akubariki sana kwa kuliona hilo na kuliweka wazi.
Kongole sana kwa uzalendo.

Nina dada yangu mmoja ni Prof, alistaafu huko nnje akaja kupata contract hapo TET.

Aliwahi kuniambia kuwa hajawahi kuona madudu makubwa na ya kutisha yakifanyika kwenye taasisi ya umma, tena iliyopewa jukumu la kupika wataalamu wa kesho, kama hapo TET.

Hii elimu yetu inavyochezewa na watu walioaminiwa na kupewa dhamana ya kiuongozi, ni bomu ambalo lisipoteguliwa sasa, litakuja kuiangamiza Tanzania mazima.

Hivi na Tanzania Elimu Supply (TES) ilifia wapi na ilikufaje!!??
 
TES ilikuwa ni agent wa serikali ktk kusambaza vifaa vya elimu pamoja na vitabu mashuleni, ilikufa siku nyingi sana ambapo TIE kazoa kazi za TES pamoja na Private publishers na Bookselers. Maajabu haya.
 
T. I. E walivyo wajanja maswali yote ya NECTA wanatoa kwenye vitabu vyao ili vitabu vinunuliwe Kwa wingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…