Tanzania iruhusu watu binafsi kujenga nyumba za kuhifadhia maiti (Mortuary rooms)

Tanzania iruhusu watu binafsi kujenga nyumba za kuhifadhia maiti (Mortuary rooms)

Sawa kabisa mkuu. Na pia kinachotakiwa ni kuweka standards tu na usimamizi wa kutosha (CCTV cameras, monitoring visits, uwepo wa miongozo ya ufanyaji kazi kwa weledi, etc).
Hii itahakikisha kuwa kila kitu kinafanyika kwa weledi mkubwa, na iwapo kunatokea uvunjwaji wa maadili na miiko ya kazi basi hatua stahiki zinachukuliwa kwa haraka.
Mkuu sema tu nipo apeche alolo ningekuwa nina hela ningewekeza kwenye hiyo idea yako maana naiona potential ya hiyo fursa ni kubwa sana.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Wadau hivi Bongo ukiachana na Mortuary zilizopo ndani ya hospitali, Mbona hakuna Mortuary ambazo Mtu/Kampuni zinamiliki private? i.e high class/ VIP mortuary?

Mfano kwa wenzetu Kenya, hii fursa watu wameitumia kweli kweli na kuna private mortuaries nyingi tu watu wamezitengeneza, na wengi wanazitumia huduma hizo pale wanapofikwa na janga la msiba kwenye familia zao.

Kwa shida ya upungufu na ubora hafifu wa vyumba vya mortuary kwa hospitali nyingi ninayoiona kwenye hospitali nyingi za bongo, hii inaweza kuwa biashara nzuri tu bongo na ikalipa vizuri tu, kama watu wenye uwezo wakiwekeza huko.

Ni watu hawajaiona hiyo fursa au wabongo hawataweza kuzilipia?

Au taratibu zetu za kisheria haziruhusu? Kama sheria zetu haziruhusu, zifanyiwe marekebisho ziruhusu hilo, ni fursa nzuri sana. Watu watapata pesa na serikali itapata kodi.
zipo privates zaidi ya 4 mpaka sasa
 
viungo vyetu vitauzwa huko private bora kuachia serikali. private analenga faida akitokea mtu anataka figo au dushe watauziwa.. marehemu kapigwa suti kumbe watu washang'oa kila kitu, siafiki hili wazo.
 
viungo vyetu vitauzwa huko private bora kuachia serikali. private analenga faida akitokea mtu anataka figo au dushe watauziwa.. marehemu kapigwa suti kumbe watu washang'oa kila kitu, siafiki hili wazo.
Mbona hospitali kubwa za private nyingi zina mortuaries zao na hawauzi hivyo viungo mkuu? Kinachotakiwa ni kuwepo kwa standards na ufuatiliaji wa kinachofanyika na mamlaka zinazohusika kuhakikisha kila kitu kinafanyika kwa weledi, na kikifanyika kitu kinyume na weledi hatua zinachukuliwa haraka.
 
Serikali wala haijakataza funeral homes kuanzishwa tatizo biashara ndogo watanzania hawafi kwa wingi kama nchi zingine
 
Sio lazima wawe wao unaweza ukaanzisha ukawaajiri km part time yaani anafanya kazi hospital akitoka anaunganisha shift nyingine kwenye ofisi yako km madaktari wanavyofanya

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Huoni madaktari wengi wanafungua hospitali zao, mafamasia wanafungua famasi zao nk
 
Wadau hivi Bongo ukiachana na Mortuary zilizopo ndani ya hospitali, Mbona hakuna Mortuary ambazo Mtu/Kampuni zinamiliki private? i.e high class/ VIP mortuary?

Mfano kwa wenzetu Kenya, hii fursa watu wameitumia kweli kweli na kuna private mortuaries nyingi tu watu wamezitengeneza, na wengi wanazitumia huduma hizo pale wanapofikwa na janga la msiba kwenye familia zao.

Kwa shida ya upungufu na ubora hafifu wa vyumba vya mortuary kwa hospitali nyingi ninayoiona kwenye hospitali nyingi za bongo, hii inaweza kuwa biashara nzuri tu bongo na ikalipa vizuri tu, kama watu wenye uwezo wakiwekeza huko.

Ni watu hawajaiona hiyo fursa au wabongo hawataweza kuzilipia?

Au taratibu zetu za kisheria haziruhusu? Kama sheria zetu haziruhusu, zifanyiwe marekebisho ziruhusu hilo, ni fursa nzuri sana. Watu watapata pesa na serikali itapata kodi.
Kwa nchi yenye wasiojulikana ni hatari kuwa na vitu hivyo.
 
Kwa nchi yenye wasiojulikana ni hatari kuwa na vitu hivyo.
Kwa nini mkuu? Mbona hospitali za private zina mortuary?
Na ukifuatilia huu uzi pia wadau wamesema zipo private mortuaries, hadi sasa mimi nimezipata tatu tayari, na natarajia kwenda kuzitembelea kujifunza mambo mawili matatu ili nianzishe na mimi.
 
Kuna biashara za kufanya. Binafsi siwezi fanya hiyo Biashara ni bora nife na umaskini wangu.
 
Wadau hivi Bongo ukiachana na Mortuary zilizopo ndani ya hospitali, Mbona hakuna Mortuary ambazo Mtu/Kampuni zinamiliki private? i.e high class/ VIP mortuary?

Mfano kwa wenzetu Kenya, hii fursa watu wameitumia kweli kweli na kuna private mortuaries nyingi tu watu wamezitengeneza, na wengi wanazitumia huduma hizo pale wanapofikwa na janga la msiba kwenye familia zao.

Kwa shida ya upungufu na ubora hafifu wa vyumba vya mortuary kwa hospitali nyingi ninayoiona kwenye hospitali nyingi za bongo, hii inaweza kuwa biashara nzuri tu bongo na ikalipa vizuri tu, kama watu wenye uwezo wakiwekeza huko.

Ni watu hawajaiona hiyo fursa au wabongo hawataweza kuzilipia?

Au taratibu zetu za kisheria haziruhusu? Kama sheria zetu haziruhusu, zifanyiwe marekebisho ziruhusu hilo, ni fursa nzuri sana. Watu watapata pesa na serikali itapata kodi.
Wakati nakua nilikua na mawazo ya kijamaa ukizingatia mfumo wetu wa maisha na kukosa exposure kwa wenzetu ila nilipopata fursa ya kutoka nje nikagundua kumbe private investors wana uwanda mpana sana wa kuwekeza tofauti na mawazo yangu kuwa serikali ina wajibu wa kuwekeza kila kitu. Rejea wa JK ( kama sijakosea) kuna rhino alipelekwa SA kutibiwa tena kwenye taasisi binafsi. Nyama pori namibia 🇳🇦, private security companies,
Nadhani tanzania 🇹🇿 tumechelewa sana, serikali iandae sera tu

kuna siku natoka, nikapita bank A kujua kama acc yangu naweza kuitumia nje japo ina MasterCard wakasema mpaka niandike barua etc, kikubwa nikaenda kuchukua acc ya nje ambayo naweza kuaccess ATMs zao basi.
 
Wakati nakua nilikua na mawazo ya kijamaa ukizingatia mfumo wetu wa maisha na kukosa exposure kwa wenzetu ila nilipopata fursa ya kutoka nje nikagundua kumbe private investors wana uwanda mpana sana wa kuwekeza tofauti na mawazo yangu kuwa serikali ina wajibu wa kuwekeza kila kitu. Rejea wa JK ( kama sijakosea) kuna rhino alipelekwa SA kutibiwa tena kwenye taasisi binafsi. Nyama pori namibia 🇳🇦, private security companies,
Nadhani tanzania 🇹🇿 tumechelewa sana, serikali iandae sera tu

kuna siku natoka, nikapita bank A kujua kama acc yangu naweza kuitumia nje japo ina MasterCard wakasema mpaka niandike barua etc, kikubwa nikaenda kuchukua acc ya nje ambayo naweza kuaccess ATMs zao basi.
Umeongea vizuri sana aisee.... Na ndo negative comments nyingi unazoziona hapa nyingi ni matunda ya mawazo ya kijamaa!!
 
Hadi issue za mortuary kuanzia kuhifadhi maiti.... na ile nyumba walihama ikakaa muda imekosa mpangaji wanataka kuiuza haijauzika ikabidi wa wawauzie hao hao!!
Daaahhh...!!
Wabongo tuna imani kali!
 
Mtu kufia hospitali haimaanishi kuwa ni lazima kwamba mwili wake uhifadhiwe hapo. Bado mnaweza kufanya taratibu mkaondoka na mwili na kisha kwenda kuuhifadhi kwenye a private mortuary kama mkitaka hivyo. Ila pia mkuu, kuna watu wengi tu wanafia kwenye hospitali/vituo vya afya ambavyo havina mortuary, hii pia huwa inatokea. Au mtu anafia hospitali yenye mortuary ila mnaambiwa kwa wakati huo imejaa, kwa hiyo mnaambiwa mchukue mwili labda muuepeleka mortuary ya Muhimbili au mortuary ya hospitali nyingine yoyote kubwa. Hapa sasa pia mnaweza kuamua kuupeleka mwili private mortuary.
Changamoto ambayo naiona itabidi kupambana nayo ni namna ya kuitangaza au kuifanya ijulikane... Maana kwa response niliyoiona hapa inaonekana Watanzania wengi wako so negative about this. Ila, mtu akianzisha na akapata namna tu ambayo ikafanya ikajulikana (mfano kwa kuestablish links na hospitali/vituo vya afya binafsi ambavyo havina mortuary, au kuingia mkataba nazo kwamba ikitokea mgonjwa amefariki, basi wanamleta kumhifadhi hapo kwako then wao wanapata percent fulani na wewe unapata percent fulani kulingana na makubaliano mtakayofikia, etc), kutusua ni rahisi.
Au akifa mtu maarufu unaomba kumuhifadhi bure kwa hiyo wakati wakiitangaza tangaza hiyo taarifa lazima waseme na alikohifadhiwa na itapata media coverage ya kutosha
 
Back
Top Bottom