Tanzania iruhusu watu binafsi kujenga nyumba za kuhifadhia maiti (Mortuary rooms)

Tanzania iruhusu watu binafsi kujenga nyumba za kuhifadhia maiti (Mortuary rooms)

Naifahamu watu wa Rombo wanaitumia sana na sina mwezi nilienda hapo ni ya wa KKKT kwa siku elfu kumi.
halafu hii biashara haina utata hukutani hata na maafisa wa jiji au TRA kuangalia wamelala wangapi kama GUEST ukiwa na vichwa kumi uko vizuri.
 
Biashara nyingine NI kukaribisha maroho machafu tu
awapi sasa unafikiri biashar hii na ya lodge ipi ni biashara nzuri na huduma ya Kiroho zaidi? roho chafu inakujaje wakati umeifadhi miili iliyokufa? ngoja niwatengenezee mazingira ya kuipenda
 
Biashara nyingine NI kukaribisha maroho machafu tu
yaani ukianza hiyo biashara id yako itabadilika utaitwa mjanja mimi ngoja nikujengee ushawishi.
  1. fikiria unashamba ekari tano ambalo lipo km 15 toka mjini lakini lipo karibu na vijiji ambavyo ni miji midogo.
  2. shamba hili ukilima mahindi kwa kila ekari huwa unapata gunia 7 mpaka 10 kwa ekari 5 sawa na gunia 50
  3. gunia moja unaweza kuuza shillingi 50,000 mpaka 60,000 kwa gunia 50 sawa na shillingi 3,000,000/- na kilimo ni cha msimu mmoja kwa kuwa tunategemea mvua. wastani wa shillingi 250,000 kwa mwezi kabla ya kutoa gharama za kilimo ambazo kwa wastani zinaweza kuwa shilingi 100,000/- na kubakiwa na pato la 150,000 kwa mwezi ambalo ni kazi kulipata .
sasa tubadilishe matumizi ya hili shamba kwa kipato zaidi
  1. tufungue mradi wa huduma za mazishi ikiwemo makaburi mazuri ya kuvutia yanayofanana kama yale ya askari wa kijerumani na eneo litengwe kama ifuatavyo.
  2. ekari tatu zitumike kwa makaburi ambayo yatachibwa na kujengewa kabisa na wastani wa makaburi 300 yanaweza kupatikana katika ekari moja sawa na kaburi 900 kwa ekari tatu na kila kaburi litauzwa kwa shilingi 1,500,000/- kwa makaburi 900 sawa 1,350,000,000
  3. ekari mbili zilizobaki zitawekwa vitu vifuatavyo:-
    1. sehemu ya kutengenezea au kuuzia majeneza na maua
    2. chumba cha kuhifadhia maiti chenye uwezo wa kustiri miili 20 kwa gharama ya shilingi 15,000/- kwa siku. na vikijaa vyote una 300,000/- kwa siku sawa na pato la 9,000,000/- kwa mwezi na kwa mwaka 108,000,000/-
    3. mgahawa mzuri kwa ajiri ya chakula na maji
    4. choo na eneo la huduma za kijamii
    5. nyumba ya maombolezo -zipo familia zisingependa shughuli za mazishi ziwe nyumbani kwao hivyo nyumba hii inaweza kuwafaa kwa maombolezo kwa kipindi mpaka marehemu anazikwa kwa siku watoze 100,000/-
    6. sehemu ya ibada na sherehe za kumwaga marehemu
    7. sehemu ya makaburi madogo ambayo yanaweza kutumika pale familia itakaporidhia kuuza kaburi lao kubwa na kuamisha mifupa kwenye kaburi dogo na kuruhusu kaburi liweze kuuzwa tena! nini sasa mnaogopa na hii itafanywa kwa ibada maalum
  4. piga fensi ya maana na maua ya mazuri kwenye makaburi kiasi waliokuja kuzika wavutiwe kuwa wateja na ikiwezekana waanze kuyalipia kila mwezi.
kwa leo iwatoshe kwa wale waliosoma Marketing wameelewa vizuri ni bora hii kuliko hizo guest zinazojengwa kila siku zinaongeza watoto wa mitaani na kuwaua watoto huku familia zikiangamia kwa shida kwa ajiri ya vidosho.
kama vipi karibuni kwa business plan tuanze kuitengeneza.
 
yaani ukianza hiyo biashara id yako itabadilika utaitwa mjanja mimi ngoja nikujengee ushawishi.
  1. fikiria unashamba ekari tano ambalo lipo km 15 toka mjini lakini lipo karibu na vijiji ambavyo ni miji midogo.
  2. shamba hili ukilima mahindi kwa kila ekari huwa unapata gunia 7 mpaka 10 kwa ekari 5 sawa na gunia 50
  3. gunia moja unaweza kuuza shillingi 50,000 mpaka 60,000 kwa gunia 50 sawa na shillingi 3,000,000/- na kilimo ni cha msimu mmoja kwa kuwa tunategemea mvua. wastani wa shillingi 250,000 kwa mwezi kabla ya kutoa gharama za kilimo ambazo kwa wastani zinaweza kuwa shilingi 100,000/- na kubakiwa na pato la 150,000 kwa mwezi ambalo ni kazi kulipata .
sasa tubadilishe matumizi ya hili shamba kwa kipato zaidi
  1. tufungue mradi wa huduma za mazishi ikiwemo makaburi mazuri ya kuvutia yanayofanana kama yale ya askari wa kijerumani na eneo litengwe kama ifuatavyo.
  2. ekari tatu zitumike kwa makaburi ambayo yatachibwa na kujengewa kabisa na wastani wa makaburi 300 yanaweza kupatikana katika ekari moja sawa na kaburi 900 kwa ekari tatu na kila kaburi litauzwa kwa shilingi 1,500,000/- kwa makaburi 900 sawa 1,350,000,000
  3. ekari mbili zilizobaki zitawekwa vitu vifuatavyo:-
    1. sehemu ya kutengenezea au kuuzia majeneza na maua
    2. chumba cha kuhifadhia maiti chenye uwezo wa kustiri miili 20 kwa gharama ya shilingi 15,000/- kwa siku. na vikijaa vyote una 300,000/- kwa siku sawa na pato la 9,000,000/- kwa mwezi na kwa mwaka 108,000,000/-
    3. mgahawa mzuri kwa ajiri ya chakula na maji
    4. choo na eneo la huduma za kijamii
    5. nyumba ya maombolezo -zipo familia zisingependa shughuli za mazishi ziwe nyumbani kwao hivyo nyumba hii inaweza kuwafaa kwa maombolezo kwa kipindi mpaka marehemu anazikwa kwa siku watoze 100,000/-
    6. sehemu ya ibada na sherehe za kumwaga marehemu
    7. sehemu ya makaburi madogo ambayo yanaweza kutumika pale familia itakaporidhia kuuza kaburi lao kubwa na kuamisha mifupa kwenye kaburi dogo na kuruhusu kaburi liweze kuuzwa tena! nini sasa mnaogopa na hii itafanywa kwa ibada maalum
  4. piga fensi ya maana na maua ya mazuri kwenye makaburi kiasi waliokuja kuzika wavutiwe kuwa wateja na ikiwezekana waanze kuyalipia kila mwezi.
kwa leo iwatoshe kwa wale waliosoma Marketing wameelewa vizuri ni bora hii kuliko hizo guest zinazojengwa kila siku zinaongeza watoto wa mitaani na kuwaua watoto huku familia zikiangamia kwa shida kwa ajiri ya vidosho.
kama vipi karibuni kwa business plan tuanze kuitengeneza.
Yani nilikua nafikiria hii ishu ya kununua ardhi ili kuuza viwanja vya makaburi,ni bonge la idea.
 
Yani nilikua nafikiria hii ishu ya kununua ardhi ili kuuza viwanja vya makaburi,ni bonge la idea.
haya lete hela sasa wewe uendelee kuwazika wenda zao!
hapo nimetaja chache hii ninayo kwa zaidi ya miaka 8 sasa.
Arusha kuna sehemu niliziona plot za makaburi za wahindi zimepangwa vizuri nafikiri pale wanauza
 
KIKUBWA HOSPITALI ZOTE ZA PRIVATE ZIWE NA MORTUARY NZURI. IKIBIDI HADI VITUO VYA AFYA NA ZAHANATI/DISPENSARIES.
 
We are now trully Capitalists...

Profits above all else....
 
Napenda kuelewa kwako wewe unaona kuna tofauti gani kati ya mortuary iliyopo kwenye hospitali ya mtu binafsi na stand alone mortuary ambayo ni private owned?
KeyserSoze
Huduma na chanzo cha kipato ni vitu viwili tofauti sana..., ukibase kwenye chanzo cha kipato utapelekea kuchochea matatizo yatokee ili upate kipato..., ukibase kwenye huduma kipato kitakuwa ni njia tu ya kukuwezesha wewe kuendelea kutoa huduma na sio kutajirika kwa utoaji wako huduma...

Sioni tatizo kama unatoa huduma za luxury (people have a choice) ila huduma za lazima ambapo watu hawana choice na kuzifanya fursa.., hapo utakuwa umehitimu katika ubepari (in fact that is the ugly face of capitalism)
 
Huduma na chanzo cha kipato ni vitu viwili tofauti sana..., ukibase kwenye chanzo cha kipato utapelekea kuchochea matatizo yatokee ili upate kipato..., ukibase kwenye huduma kipato kitakuwa ni njia tu ya kukuwezesha wewe kuendelea kutoa huduma na sio kutajirika kwa utoaji wako huduma...

Sioni tatizo kama unatoa huduma za luxury (people have a choice) ila huduma za lazima ambapo watu hawana choice na kuzifanya fursa.., hapo utakuwa umehitimu katika ubepari (in fact that is the ugly face of capitalism)
Najaribu kukuelewa mkuu.
Kwa hiyo kwako wewe huduma kama za hospitali, uwakili, shule, maji, na kadhalika hazitakiwi kabisa kumletea mtu kipato, bali inatakiwa zitolewe tu kama huduma na kusiwe na kutengeneza faida kwa aina yoyote ile katika huo mchakato? Nimeelewa vizuri ulichomaanisha au nimepotosha?
Kama nimepotosha utanisahihisha, kama nimeelewa vizuri je mtu anaefungua hospitali binafsi kwa mfano, ataiendeshaje bila faida? Au inabidi aifungue tu kama sadaka/huduma, ila awe na utaratibu mwingine usiohusiana na hiyo hospitali yake wa yeye kupata income?
KeyserSoze
 
KIKUBWA HOSPITALI ZOTE ZA PRIVATE ZIWE NA MORTUARY NZURI. IKIBIDI HADI VITUO VYA AFYA NA ZAHANATI/DISPENSARIES.
Hilo uwezekano wake kwa sasa ni a far fetch. Meanwhile wakati tunaendelea kusubiri hilo litokee (hata likitokea itakua ni miaka mingi baadae); Why cant we have private mortuaries?
 
Yule Pallangyo aliyekuwa Mochwari ya Mt. Meru kwa miaka mingi pamoja na huyu muhudumu wa maiti wa sasahivi ni marafiki zangu ila hata akiwashika mkono wa salamu watu wengine huwa hawapokei.

Kuna siku tulikuwa tunakula nae chakula pale hospitalini kwsbb alikuwa anaingia night akaenda kununua kichane cha ndizi akawa anawagaia bure wamama pale hotelini jirani na hospitali wale wamama wakakataa hata kushika zile ndizi nikacheka kinoma nikagundua wabongo waogaa.
 
Najaribu kukuelewa mkuu.
Kwa hiyo kwako wewe huduma kama za hospitali, uwakili, shule, maji, na kadhalika hazitakiwi kabisa kumletea mtu kipato, bali inatakiwa zitolewe tu kama huduma na kusiwe na kutengeneza faida kwa aina yoyote ile katika huo mchakato? Nimeelewa vizuri ulichomaanisha au nimepotosha?
Kama nimepotosha utanisahihisha, kama nimeelewa vizuri je mtu anaefungua hospitali binafsi kwa mfano, ataiendeshaje bila faida? Au inabidi aifungue tu kama sadaka/huduma, ila awe na utaratibu mwingine usiohusiana na hiyo hospitali yake wa yeye kupata income?
KeyserSoze
Mentality Mkuu in the end mambo ya ajabu pole pole unaona ya kawaida... Kuna tofauti ya kusema kuna uhaba wa mortuary nitengeneze na kuna fursa ya kutengeneza mortuary sababu I can charge more na kupata super profit...

Mtu akihitaji dawa ninaweza kumchaji chochote kile hana choice sababu nina maisha yake mkononi.., Je nimchaji ngapi ?, Kama nina kisima kina maji na watu wanahitaji maji je niwauzie maji zaidi ya bei ya Bia ? Ukizingatia maji ni muhimu kuliko Bia..., na hawana choice watakuja tu sababu wanahitaji maji....

Hii scenario itafanya kazi bila shida yoyote mpaka pale wahitaji maji watakapokuwa wengi zaidi na kunichukia mimi ninayewauzia maji (in the end hayo maji watayachukua kwa nguvu) najaribu tu kukupa eventuality ya Profits at all Costs (in the end the gap in classes increases, ambayo huleta chuki na chaos)

Hapa siongelei mortuary per se...., bali mtizamo wa kuangalia kila tatizo kwa jicho la fursa...., Na msemo wa kwamba Greed is Good..., au ku-profit in peoples problems, uzembe, upuuzi au makosa yao (is not sustainable in the long run)
 
Mentality Mkuu in the end mambo ya ajabu pole pole unaona ya kawaida... Kuna tofauti ya kusema kuna uhaba wa mortuary nitengeneze na kuna fursa ya kutengeneza mortuary sababu I can charge more na kupata super profit...

Mtu akihitaji dawa ninaweza kumchaji chochote kile hana choice sababu nina maisha yake mkononi.., Je nimchaji ngapi ?, Kama nina kisima kina maji na watu wanahitaji maji je niwauzie maji zaidi ya bei ya Bia ? Ukizingatia maji ni muhimu kuliko Bia..., na hawana choice watakuja tu sababu wanahitaji maji....

Hii scenario itafanya kazi bila shida yoyote mpaka pale wahitaji maji watakapokuwa wengi zaidi na kunichukia mimi ninayewauzia maji (in the end hayo maji watayachukua kwa nguvu) najaribu tu kukupa eventuality ya Profits at all Costs (in the end the gap in classes increases, ambayo huleta chuki na chaos)

Hapa siongelei mortuary per se...., bali mtizamo wa kuangalia kila tatizo kwa jicho la fursa...., Na msemo wa kwamba Greed is Good..., au ku-profit in peoples problems, uzembe, upuuzi au makosa yao (is not sustainable in the long run)
Najaribu kukuelewa the angle you are coming from.
Kwa hiyo suala hapa ni maneno yanayotumika na sio huduma husika per se?
Maana kimsingi duniani hapa ili upate faida ni lazima uwe una solve shida fulani! Huwezi kutengeneza hela duniani if you are not offering solution/s to people's problems/needs.
Mtu anahitaji sukari anywe chai, aweke kwenye uji pale kijijini alipo hakuna duka la sukari hadi kilomita 10 mbele, unachofanya wewe unainunua sukari kwa jumla, unaongeza gharama yako ya usafiri na faida, unamsogezea sukari ndani ya mita 60 toka ilipo nyumba yake. Umesolve shida yake, anakuja kununua sukari kwako unapata faida, unaendelea na biashara na yeye anakunywa chai yake yenye sukari safi kabisa! Hapo uliona
shida ya kutokwepo duka la sukari kijiji husika, wewe ukaigeuza fursa, maisha yanaenda. Sijaona ubaya hapo. Nimetumia mfano wa sukari, ila sukari inaweza ikawa maji, au chochote kile.
Kimsingi kama kungekua hamna shida ya kuwa solved, sijui tungetengenezaje pesa.
Maana tungeweza wote tukabaki tunalalamika kijiji hiki hatuna duka la sukari, lakini, kulalamika kutaleta sukari kijijini hapo?
Na mimi najaribu kukuelewesha hii concept ya kuangalia problem kwa jicho la fursa, si mbaya kila wakati kama unavyoi portray...!
 
Back
Top Bottom