Tanzania iruhusu watu binafsi kujenga nyumba za kuhifadhia maiti (Mortuary rooms)

Najaribu kukuelewa the angle you are coming from.
Kwa hiyo suala hapa ni maneno yanayotumika na sio huduma husika per se?
Labda nikuulize huduma ni nini ? na kiasi gani cha kuchaji ni sawa 100%, 1000 % au kulingana na demand and supply ?, kama kuna embe moja kijiji kizima basi lazima kuwe na mchujo na kama wote wanalitaka hata likiuzwa kwa gharama ya mahindi lori zima ni sawa..., after all binadamu hawaishi kwa maembe pekee....

Ila kama kijijini una kisima na watu wanahitaji maji je utachaji kiasi gani ? (kiasi ambacho wanaweza kununua au kiasi ambacho itabidi wakupe hati zao za nyumba (kumbuka either wakae na majumba yao kama maiti au wakupe wewe ili waongeze siku moja ya kuishi (nadhani hapo tunakuja kwenye basic needs being a right for each and everyone) na kiumbe yoyote hatakiwi kuhodhi hizo basic needs (kumbuka hapa siongelei mortuary per-se bali kwamba tumehitimu na kuwa mabepari)
Maana kimsingi duniani hapa ili upate faida ni lazima uwe una solve shida fulani! Huwezi kutengeneza hela duniani if you are not offering solution/s to people's problems/needs.
Yap but you can even make profits by inciting problems, you can sell drugs to addicted people, create gambling joints as well as sell weapons to people so they can kill each other...

Kama ujuavyo first world countries wana-profit through marginalization of developing countries, kizazi chetu kinatengeneza toys na vitu vya kupita kwa mtaji wa mazingira ambayo ni urithi wa coming generations..., Well so long as if it makes dollars then it makes sense who cares.....
Naam Sukari..., akishindwa kutumia sukari basi atumie chumvi au anywe uji bila sukari sidhani kama atakufa..., ila hio ni tofauti na wewe sababu babu yako alirithi shamba robo tatu ya ardhi ya kijiji na umepanda mahindi hivyo kila mwanakijiji lazima aje kwako akuombe ili uchague kama aendelee kuishi au afe kwa njaa....
Kimsingi kama kungekua hamna shida ya kuwa solved, sijui tungetengenezaje pesa.
Kama kungekuwa hakuna shida pesa zingekuwa hazina faida na sio lazima mtu apate shida aumie ili wewe utoe huduma unaweza ukatunga kitabu au ukatunga wimbo / movie mtua akaenjoy hapo unaongeza furaha ambapo sio necessarily kulikuwa na maumivu
Hapo umebadilisha maneno yangu sijasema kuangalia problem kwa jicho la fursa bali nimesema kuangalia kila Problem (key word hapa ni kila) is not sustainable...
 
Very good business..
 
Biashara nyingine NI kukaribisha maroho machafu tu
Zaidi ya Guest House.. watu wanazini kila siku? .. kwani ni wapi kuhifadhi mwili wa aliyekufa ni dhambi? Tena yaweza kuwa biashara yenye baraka za Mungu kuliko hizo nyingine
 
Profesa Shaba ali import vifaa kabisa nadhani mpaka leo 30 years later bado viko bandarini.
Alipata upinzani na ukiritimba mkubwa sana kutoka serikali pendwa.
Serikali ya kikomunisti inachojua ni kukataza tu
 
Labda na wewe uwe muhindi mwenzao.. lasivo biashara itakufa
 
haya lete hela sasa wewe uendelee kuwazika wenda zao!
hapo nimetaja chache hii ninayo kwa zaidi ya miaka 8 sasa.
Arusha kuna sehemu niliziona plot za makaburi za wahindi zimepangwa vizuri nafikiri pale wanauza
Niko kuzisaka chief
 
Zitakuwa kama Sheli,Soko likizidi zitajengwa mpaka open space au masokoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…