Wanaandika wa Kenya wa Tanzania mmekuwa wauaji hiyo siyo sifa ni ujinga kila mtu ana thamani na siyo kila mnayepishana mawazo mnamuua hatuwezi kuendelea hivi ni ujingaNachocheka hii thread kaandika mkenya hahaha... Sijui mambo ya tz na ug yanamhusu nini... Nyege mbayaa aseee
Maendeleo siyo kuua watu na kuteka binadamu tumeumbwa kutofautiana inchi ni yetu sote tuwe wazalendoUzuri wa udikteta wa JPM ni udikteta wa maendeleo, karibuni Kagera [emoji7] [emoji609][emoji559][emoji269][emoji264][emoji256]
View attachment 1088518View attachment 1088519View attachment 1088520View attachment 1088522
Haya si majibu omba Mungu yasikukute lakini tambua kuwa wapambe wa Al-Bashir hawakujua kuwa yatawakuta haya lakini leo wapo wapi?Umechukua hatua gani sasa baada ya tz kua hivyo???
Acha kuwa mjinga hivyo ona thamani ya mtu inchi ni yetu soteUjambazi upo wapi hapo? Huyo mkulima ukimuambia huo utumbo wako sijui wa bring back our shit ataweza kukupiga bastola
Hao Wana afadhari hapa ni media gani inaweza kuandika na kutangaza haya maovu ikawa hewani?Vipi hapo, Kenya haina mpinzani hapa Africa katika kuua raia wake.Amnesty report says Kenya tops Africa in extrajudicial killings
Kenya tops Africa in police killingswww-nation-co-ke.cdn.ampproject.org
Hivi kwanini Mungu aliumba watu wa namna yako?Yenye kuthibitisha kwamba mtu ni terrorist sio video, ni MAHAKAMA pekee. Katika hii video yako uliyoweka, mwishoni mtangazaji amesema katika Mara zote alizopelekwa mahakamani, serikali imeshindwa kuthibitisha kama Rogo ni terrorist, sasa wewe unapata wapi madaraka ya kusema Rogo alikua ni terrorist?, au tukubaliane kwamba Kenya ni banana Republic, POLISI inaweza kuhukumu kifo bila MAHAKAMA.
Hapa una maana Azori , na wanaotekwa wote ni ni terrorists?Ninarudia tena, hata kama Rogo alikua anasema, kwanini MAHAKAMA ilishindwa kutumia hizo video ili kumtia hatiani?, kwani hizi clips ambazo wewe unazitumia kusema Rogo alikua terrorist hazikuwepo?, mbona serikali ilishindwa kuzitumia kama ushahidi mahakamani badala yake Rogo alishinda na kuachiwa Uhuru?, wewe unajua sheria kuliko mahakama za Kenya?
Nyie ni walamba miguu tuu hamjui mnachokiteteaIli heshima iwepo basi lazima kuwe na mipaka. Kutukana, Kuzusha mambo sio uhuru bali ni UJINGA kuuwachia!
Watu wa chache kwa tamaa ya uongozi na umasikini wa fikra mnatufanya tunaishi kama wakimbizi katika inchi yetu kwanini?Kwahiyo nyie mliua wawili wao wakaua 68. Hahahah kituko ka hiki unakikuta Kenya pekee
Inchi yetu kwa hili la MDUDE ni inchi ya kidiktetaKenya acheni kushangilia kufeli kwa breki za gari letu. tatizO mmezoe kuendeaha gari lenu Bora kila mara na sasa mnajilinganisha nasi
Umelewa madaraka na ukibaraka macho yamepofuka huwezi kuona lakini fahamu ukiona mwenzio ananyolewa zako tia majiHuo ukandamizaji ni upi au mi sio RAIA wa tz maana sioni huo udictator
Labda anaishi JupiterHivyo vyote alivyoorodhesha mleta mada vinafanyika hapa bongo. Wewe hujui.?
Ulevi wa kishabiki unakusumbua hivi angekua ametekwa ndgu yako ungeandika haya , ungejisikiaje?Limekaa kishabiki,kutokna na stress za nchi yake Tuachie Tanzania yetu.
Inchi imegeuka SomaliaJana tu kikundi cha utekaji kimeteka raia aliyekuwa anakosoa serikali huko Mbeya Tanzania
Hujui kuwa wiki iliyoisha Jana tu katekwa MDUDE na Wakili wa kujitegemea ?Sijajua na visijui au vinafanyikaa wapi dar pekee ake maana m npo tz BT sijaona hicho alichoandikaa
Hakuna Uhuru tena inchi imegeuka vitisho na mauji kutekana tekana kishambaWamemsukumizia Ikulu huyo mwendawazimu ambaye hana hata chembe moja ya uongozi sasa kabaki kufanya maovu ya kukwapua trillions hazina na kuuwa Watanzania wanaomkosoa kwa ukatili wake na maovu mengine mbali mbali.
Kenya hatuwezi guga terrorists, The guy was an alshabaab recruiter and died just like Osama. Heri mmoja akufe kuliko maelfu. Westgate made the government and all Kenyans brake down. Wanafaa kujua this is not an Islamic state na wakijaribu upuzz wanatumwa wote.Hahahahaha, alikamatwa na kupelekwa mahakamani kama alikua terrorist?, au Kenya ni Banana Republican hakuna sheria wala MAHAKAMA?. Basi kama unasema hao walikua terrorists bila kuhukumiwa mahakamani, hata huyo Azory pia ni terrorist.
Vipi kuhusu yule Pastor aliyepinga Mauaji ya wajaluo katika kipindi cha uchaguzi, pia alikua terrorist?