Tanzania itapigwa tena na Cape Verde

Tanzania itapigwa tena na Cape Verde

Wala si kucheza nje sio Tija,Tija ni kua serious na kila kazi unayoifanya.Mbona hawahawa Cape verde walitandikwa goli 1 kwa 0 na Mganda nyumban kwake??Tatizo Tz wana maneno mengi kwenye kila kitu bila kua na mipango.Tz hatuez kufuzu Afcon kwa namna yyt ile kipindi hiki.Na nakuunga mkono,J4 tukipambana sana tunaambulia sare hiyo game Lakini hawaJamaa hatuwezi kuwafunga kwa mpira wetu wa hovyohovyo,Labda tuwafunge KAMBA
Aiseee!
 
Tatizo ndio hili kuishi kwa mazoea mleta uzi usiwe mjinga hivi ujaona matajili walioshia dalasa la 7 wamewajili waliomaliza phd
 
MWAKA 2000 CAPE VERDE ilikuwa namba 182
Miaka kumi tu.. wapo nafasi ya 67

Bado huamini kuwa wapo juu yetu sasa ona maajabu yafuatayo hapa chini

KIKOSI cha sasa cha CAPE VERDE
na TANZANIA

1.THIERY GRACA
anacheza ligi kuu ya Ureno klabu ya Estril

AISHI MANULA
Simba

2.STOPIRA
anacheza videoton
Wanashiriki Europe league walifungwa 1:0 kwa tabu sana na Chelsea pale Darajani

2.KESSY
Nkana Red Devils Zambia

3.FERNANDO
anacheza PAOK salonike wanashiriki Europe league

3.Gadiel michael
Yanga

4.ALMEIDA
anacheza uniao madeira Ureno

4.MWANTIKA
Azam
5:NUNo ROCHA
Anacheza Tosno ya ligi one Urusi

5:AGREY
AZAM FC

6:JANILO
Anacheza HERACLES ligi kuu ya Uholanzi

6.Abdi BANDA
BARoka fc LIGI KUU YA SAPL

7:CARLos
Anacheza Aves ligi kuu Ureno

7:Himid Mao
Petrojet ligi kuu ya Egypt

8:Tavales
Mchezaji tegemeo wa DIJON ya ligi kuu ya UFARANSA

8:MUDATHIRI
AZAM

9:ZE LUIS
Anacheza SPARTAK MOSCOW ya ligi kuu ya URUSI na wanacheza EUROPE LEAGUE

9: ULIMWENGU
LIGI KUU YA SUDAN

10: GARY RoDRIGUEZ
Straika tegemez wa GALATASARAY ya Uturuki wanashiriki UEFA

10:SAMATA
GENK .. EUROPE LEAGUE

11:KUCA
Anacheza Boavista ligi kuu Ureno

11:MSUVA
Difaar Hasan Al Jaadid ligi kuu ya Morocco

hawa ni wachezaji 11 wa pande zote mbili...sasa Hivi kweli bado unamlaumu Amunike kwa kipigo cha juzi...???

Eti kamuacha mkude,kichuya,nyoni,yndani,

Hebu tuweni na AIBU ukweli ni kuwa hatuna wachezaji wa kutupa matokeo chanya yenye muendelezo MPIRA NI SAYANSI sio blah blah wenzetu wanawekeza sisi tunasubiri miujiza

Tusubiri kwanza mpaka tutakapo amua kuwa serious...hii ni kwa yule binti ambae alisema Cape Verde ni wa kawaida *SAAAANA*
SIKU NYENGINE KUBAL CHA KWAKO KWANZA ...HATIMAYE TUMESHINDA SASA SIJUI UTAWEKA WAP SURA YAKO
 
Mkuu,nimetengua kauli.Hakika vijana leo wametutoa kimasomaso.Mwalimu amejaribu kuwaingiza wachezaji wanaoweza kupambana na si wachezaji ilimradi.Kelvin Yondan'Koton',Kiungo kiraka Erasto Edward Nyoni nadhani nawe umeona utofauti.Mechi ile ya away kila mwenye kujua soka alikata Tamaa kutokana na mpir wa hovyo kabisa tuliocheza.Itoshe kwa hayo
 
Mkuu,nimetengua kauli.Hakika vijana leo wametutoa kimasomaso.Mwalimu amejaribu kuwaingiza wachezaji wanaoweza kupambana na si wachezaji ilimradi.Kelvin Yondan'Koton',Kiungo kiraka Erasto Edward Nyoni nadhani nawe umeona utofauti.Mechi ile ya away kila mwenye kujua soka alikata Tamaa kutokana na mpir wa hovyo kabisa tuliocheza.Itoshe kwa hayo
Nakupongeza kwa kutengua kauli
 
Itaturahisishia kazi.
Tunacheza na Resotho Away, alafu tunamaliza na Uganda hapa nyumbani. Pia tumwombee Uganda ashinde mechi ya Leo, na pia ashinde mechi ijayo na Cape Verde. Hii it a turacos is is his kazi.
 
Nimempenda Yule kijana Faisal 'Fei toto' anaujua mpira kweli kweli
 
1 win and 1 draw, tutakuwa tumenaliza kazi
1 draw with Uganda and 1 win with Lesotho. Or 1 win with Uganda and 1 win with Lesotho. Cameroon njia nyeupe. Dreamliner iandaliwe tu ya kuipeleka team pamoja na mashabiki.
 
Back
Top Bottom