Tanzania itapigwa tena na Cape Verde

Tanzania itapigwa tena na Cape Verde

MWAKA 2000 CAPE VERDE ilikuwa namba 182
Miaka kumi tu.. wapo nafasi ya 67

Bado huamini kuwa wapo juu yetu sasa ona maajabu yafuatayo hapa chini

KIKOSI cha sasa cha CAPE VERDE
na TANZANIA

1.THIERY GRACA
anacheza ligi kuu ya Ureno klabu ya Estril

AISHI MANULA
Simba

2.STOPIRA
anacheza videoton
Wanashiriki Europe league walifungwa 1:0 kwa tabu sana na Chelsea pale Darajani

2.KESSY
Nkana Red Devils Zambia

3.FERNANDO
anacheza PAOK salonike wanashiriki Europe league

3.Gadiel michael
Yanga

4.ALMEIDA
anacheza uniao madeira Ureno

4.MWANTIKA
Azam
5:NUNo ROCHA
Anacheza Tosno ya ligi one Urusi

5:AGREY
AZAM FC

6:JANILO
Anacheza HERACLES ligi kuu ya Uholanzi

6.Abdi BANDA
BARoka fc LIGI KUU YA SAPL

7:CARLos
Anacheza Aves ligi kuu Ureno

7:Himid Mao
Petrojet ligi kuu ya Egypt

8:Tavales
Mchezaji tegemeo wa DIJON ya ligi kuu ya UFARANSA

8:MUDATHIRI
AZAM

9:ZE LUIS
Anacheza SPARTAK MOSCOW ya ligi kuu ya URUSI na wanacheza EUROPE LEAGUE

9: ULIMWENGU
LIGI KUU YA SUDAN

10: GARY RoDRIGUEZ
Straika tegemez wa GALATASARAY ya Uturuki wanashiriki UEFA

10:SAMATA
GENK .. EUROPE LEAGUE

11:KUCA
Anacheza Boavista ligi kuu Ureno

11:MSUVA
Difaar Hasan Al Jaadid ligi kuu ya Morocco

hawa ni wachezaji 11 wa pande zote mbili...sasa Hivi kweli bado unamlaumu Amunike kwa kipigo cha juzi...???

Eti kamuacha mkude,kichuya,nyoni,yndani,

Hebu tuweni na AIBU ukweli ni kuwa hatuna wachezaji wa kutupa matokeo chanya yenye muendelezo MPIRA NI SAYANSI sio blah blah wenzetu wanawekeza sisi tunasubiri miujiza

Tusubiri kwanza mpaka tutakapo amua kuwa serious...hii ni kwa yule binti ambae alisema Cape Verde ni wa kawaida *SAAAANA*
Huna akili
 
Yah! Haya ndio maneno Mkuu.

Nitakutag Mkuu tuombe uzima tu. kacnia. 😂😂
hahahha, mkuu wala sio mbali tuu hapa utakuja pm kuniomba nikutafutie chumba cha kupanga huku tz maana cape verde, uganda na Lesotho maisha yatakuwa magumu sana,

japo cape verde umeshashuhudia hali tete kabisa😀😀
 
hahahha, mkuu wala sio mbali tuu hapa utakuja pm kuniomba nikutafutie chumba cha kupanga huku tz maana cape verde, uganda na Lesotho maisha yatakuwa magumu sana,

japo cape verde umeshashuhudia hali tete kabisa😀😀
Hahahaaaa. Sidhani kwa kweli maana nionavyo sijui kama haitakuwa kinyume chake Mkuu.

Hahahaaaa. Ile timu nzuri bana. Uliona walivyokosa kosa bao za wazi nyingi maana halikuwa moja.
 
Hizi kelele mngezipiga kabla ya saa 11 angalau ningejitahidi kuwaelewa.
habari mkuu,
huko cape verde hali ya amani ikoje?
Hahahahaaa. Lol.

Iko kama ilivyokuwa Tanzania baada ya mechi ya kwanza. Teh teh
hahaha nashukuru kwa taarifa,
karibu tena Tanzania panapo majaliwa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Watu na matawi yenu majuuu...
 
Back
Top Bottom