Tanzania iwe upande gani Kama Ethiopia na Misri zinapigania maji ya mto Nile?

Tanzania iwe upande gani Kama Ethiopia na Misri zinapigania maji ya mto Nile?

Misri duniani niyakumi na moja Israel ya kumi nambili wacha Israel kubebwa ila misri ningumu sana kama unaufahamu mkataba wa Camp David utaelewa tu
Hatuangalii hizo rank za kutenezwa Bali tunaangalia matokeo halisi kwenye field

Matokeo Ni kuwa Israel kamdunda Misri Mara kadhaa japo yeye alikuwa Taifa Changa na dogo zaidi

Kwani Camp David Accords zilisaidia zaidi Misri au Egypt baada ya Vita?.

Au hujui Historia ya Middle East vizuri ndugu

Hivi unajua Misri ndio nchi ya kwanza ya Kiarabu inayoitambua Israel kuwa Ni nchi? Tena Bila kupenda
 
Akionyesha dalili za kutaka kushambulia tu, tunajaza sumu ya panya maji yote kutoka mpaka wa Ethiopia kwenda mbele, tukose wote, akijitoa akili na sisi tunajinyofoa ubongo kabisa, liwalo na liwe!!
Wewe inaonekana huzitakii mema nchi zetu yaani uweke sumu kwenye maji kabisa.
Mkuu hapo ndipo tutachakazwa tuchakae kwelikweli.
Yaani nakwambia tutapotea.
 
Hatuangalii hizo rank za kutenezwa Bali tunaangalia matokeo halisi kwenye field

Matokeo Ni kuwa Israel kamdunda Misri Mara kadhaa japo yeye alikuwa Taifa Changa na dogo zaidi

Kwani Camp David Accords zilisaidia zaidi Misri au Egypt baada ya Vita?.

Au hujui Historia ya Middle East vizuri ndugu

Hivi unajua Misri ndio nchi ya kwanza ya Kiarabu inayoitambua Israel kuwa Ni nchi? Tena Bila kupenda
Kama Israel ilishinda Camp David accords zilikuwa za nini. Si unajua kilichozungumziwa kule.
Kwanza Sinai ambayo walipigania sasa hivi inamilikiwa na nani na kabla ya vita kuanza ilikuwa chini ya milki ya nani?

Misri anaitambua Israel bila kupenda, kwani kuitambua na kutoitambua kunapunguza au kuongeza nini. Mpaka rais wao akaenda Israel kwenye state visit kisha unasema bila kupenda?

Hatuangalii rank tunaangalia impact, kwahiyo unaona Israel ni viwango sawa na Ethiopia kijeshi mpaka uzilinganishe. Huwezi linganisha Uganda kupigwa na Tanzania kumaanisha inawezwa pigwa na Burundi.

Yani unalinganisha nchi iliyopigwa na kanchi kanaitwa Eritrea dhidi ya Egypt? Maajabu!
 
misri alichelewa angeomba kuonewa huruma kabla bwawa halijajengwa au sasa hivi akubali kulipa gharama za ujenzi na atoe pesa ya nishati mbadala

walichokosea walionesha dharau tokea mwanzo

IMG_9025.JPG

Sioni namna Ethiopia atamuelewa Egypt kuhusu mradi mkubwa kama huu
 
Hemu
Wewe geography Kama hukupata A aliyesahihisha karatasi yako anatakiwa atandikwe bakora .uko vizuri somo la geography na application yake in the real world .Hukukariri majina ya mito tu
Hemu m-Qoate jibu linaelea
 
Kama Israel ilishinda Camp David accords zilikuwa za nini. Si unajua kilichozungumziwa kule.
Kwanza Sinai ambayo walipigania sasa hivi inamilikiwa na nani na kabla ya vita kuanza ilikuwa chini ya milki ya nani?

Misri anaitambua Israel bila kupenda, kwani kuitambua na kutoitambua kunapunguza au kuongeza nini. Mpaka rais wao akaenda Israel kwenye state visit kisha unasema bila kupenda?

Hatuangalii rank tunaangalia impact, kwahiyo unaona Israel ni viwango sawa na Ethiopia kijeshi mpaka uzilinganishe. Huwezi linganisha Uganda kupigwa na Tanzania kumaanisha inawezwa pigwa na Burundi.

Yani unalinganisha nchi iliyopigwa na kanchi kanaitwa Eritrea dhidi ya Egypt? Maajabu!
We jamaa bana

Sinai Ni sehemu ya Egypt kwa Sasa, baada ya Israeli kurudisha

Camp David Accords ilitoa assurance ya Egypt kuwa anaitambua Israel na hataungana Tena na Waarabu wenzake kuivamia Tena,

Pia Kama unafahamu mgogoro wa Israel na Palestine huwezi kusema eti Egypt kuitambua Israel hakuna tatizo, Israel Waarabu wote wanaiona inaikalia kimabavu Ardhi ya Palestine na haitakiwi ku exist kabisa, na ndio maana nchi za Kiarabu ziliungana na kuivamia Israel

So Egypt kuitambua Israel Ni Kama anasaliti Ile Sababu iliyofanya nchi za Kiarabu kuivamia mwaka 1967

Pia Kama unafahamu Historia vizuri, baada ya Camp David Accords, Egypt alifukuzwa kwenye Arab League kwa kwenda kinyume na nchi nyingine za Kiarabu kuhusu Israel & Palestine

Pia huyo Rais wa Egypt, Sadat aliyeingia mkataba wa Camp David aliuawa na wananchi wenye hasira kwa Sababu aliidhalilisha nchi

Egypt inaweza kuwa nchi yenye nguvu Africa Ila Duniani Ni nchi ndogo sana
 
Nimeshawahi kuliongea hili siku za nyuma, na hapa narudia kuongea mawazo yangu yale yale yenye elements za Kibeberu, ambayo naamini hata ndugu yangu Kataskopos sometimes huwa anajiuliza "hivi huyu blaza sometimes huwa ankulaga ule mmea?"

The answer is YES, sometimes nakulaga ule mmea, na ndio maana bila aibu wala soni hapa narudia tena kwamba tunatakiwa kumuunga mkono Egypt na sio Ethiopia!!

Sio unamuunga mkono wazi wazi bali tunajifanya ni namna gani Tanzania tulivyo binadamu; na ni namna gani tunatakiwa kutanguliza ubinadamu kwa Egypt ambao hawana chanzo chochote cha maji cha uhakika zaidi ya Mto Nile!

Hapa tunajifanya kulia ni namna gani maisha ya Wamisri yanavyoweza kuvurugika pasipo na Mto Nile wenye maji ya kutosha!!

Kwamba, ujenzi wa Grand Ethiopian Renaissance Dam utaiathiri sana Blue Nile na hivyo kuleta janga kubwa kwa Egypt inayotegemea tu Nile! Sio tu itaathiri Egypt Livelihood bali pia inaweza kuathiri mazingira!!!

Tukifanya hayo kwa uchungu usiomithirika:-

Dunia itatushangilia kwa "ubinadamu" wetu!

Wanamazingira watatushangilia kwa jinsi tunavyojali mazingira!!

Waarabu na wenyewe watatushangilia kwa jinsi tunavyosimama na Warabu wenzao;

Kumbe:-

Deep inside tunalenga tu kuhujumu ufanisi wa Grand Ethiopian Renaissance Dam!!

How come tuchekelee tu kumuona Ethiopia anajenga mbwawa mkubwa kama ule ambao kimsingi lengo lake ni kutaka kuuza umeme kwa nchi za Afrika Mashariki?!

Kule Lindi na Mtwara kuna gesi ya kumwaga ambayo na tukipata Visionary Leaders, itatuwezesha kuwa wauzaji wakubwa wa nishati ukanda huu wa Afrika!!!

Grand Ethiopian Renaissance Dam ni threat kwa hiyo fursa, kwahiyo mawazo ya kibeberu yanahitajika kuwahujumu Wahabeshi!!

Hapa hapa nilishauri "tuwaunge mkono" ndugu zetu Wakenya baada ya kuzuka taarifa kwamba Wachina wanataka kupokonya Bandari ya Mombasa ili kufidia deni lao!!

Kwamba tupinge uharamia huo wa Uchina wa kutaka kuwanyang'anya ndugu zetu Wakenya Bandari waliyoirithi toka kwa Mababu wa Mababu zao!!!!

Watu hawakunielewa! Hawakunielewa kwa sababu hawawezi kuelewa what would happen kwa Dar es salaam Port endapo Mchina atakuwa ndie operator wa Mombasa Port!!

Na kwahiyo sitashangaa na hapa tena nisipoeleweka kwa sababu si kazi ndogo kuelewa what will happen endapo Ethiopia anakuwa ndie Energy Giant kwenye ukanda huu wa Afrika!!

Energy can be used as a weapon in geopolitics!!

Leo KE anatufungia tu mpaka kwa sababu anaamini hatuwezi kumbabaisha!!

Kinyume chake, hata kama ONLY 10% ya Mombasa and Nairobi Residents depend on energy from Tanzania; hapo KE kabla hawajatufanyia unyang'au wowote watakuwa kwanza wanajiuliza "...lakini na hii mijamaa haitafunga zile valves zinazoleta gas Nairobi and Mombasa?!"

Tuwaunge mkono Misri!

Misri ni ndugu zetu! Ni ndugu zetu kwa sababu ni Waarabu! Waarabu ni ndugu zetu kwa sababu Zanzibar pia kuna Waarabu! Hata huku Tandika pia tunaishi na Waarabu lakini hakuna Mhabeshi hata mmoja!

NIMEMALIZA!!!!
Ntarudi.....
 
Egypt wanajiona kama wakoloni. Hawatufai. Hata5kutoa maji Ziwa Victoria wanang'aka.

Ethiopia ni wenzetu zaidi. Ni moja ya nchi zilizokuwa upande wetu wakati wa vita dhidi ya Iddi Amin.

Tunajua Egypt wapo kwenye kwenye ujenzi wa bwawa la Stieglers.

Ili tu tusideal na ziwa...
 
Kwani nani aliipangia Tanzania kuwa mmiliki wa mlima Kilimanjaro.
Nani aliipangia Tanzania kumiliki eneo kubwa la maji ya ziwa Victoria na Kenya iwe na eneo dogo, kwanini wasigawane asilimia sawa na Uganda.
Kwanini Rwanda, Burundi nao wasiwe na eneo la ziwa.
Kwanini Uganda wapo landlocked wakati Tanzania ina bandari kama tatu.
Kwanini DRC iwe kubwa sana na yenye mali nyingi wakati Rwanda na Burundi ni ndogo na hazina maliasili.

Hayo maswali na mengine mengi yanafatia kwenye swali lako.
Misri ndo hakujipangia mipaka yake. Waliopanga matumizi ya maji ndio waliopanga mipaka ya Tanzania. Mbona sisi tulipigana na Iddi Amin alipotaka kuibadilisha?
Kenya wakisema Kilimanjaro ni ya kwao utatumia vigezo gani kusema si yao ni ya kwetu. Utatumia vigezo vilevile ambavyo Misri wanatumia, MKATABA. Na nchi zote za Afrika zilikubaliana kuheshimu mikataba ya kugawana milki. Hata sisi Tz na Malawi tunagombea ziwa Nyasa, kitakachofanyika ni kusoma na kutafsiri mkataba unasema ziwa linagawanyika kivipi.

Nakumbuka Mjerumani alikataa kuhusishwa na mgogoro kuhusu ziwa Nyasa
 
Hata maji ya ziwa Victoria Kuna pahala yanakotoka, lakini Kuna white Nile na blue Nile ambayo inakutana pahala na kutengeneza Nile inayokwenda hadi Misri. Blue ndiyo inayochangia maji mengi kwenye Nile watanisahihisha Wana geography. Blue Nile inatoka Ethiopia/Eritrea huko

Kagera river ndio main supplier.
 
Ethiopia Ni wabishi pia tangu enzi za Mfalme Menerik I, nitaifa ambalo halikutawaliwa, nitaifa la wabishi. Ni taifa kakamavu, Ni taifa la kupigana

Linapo kuja suala la Egypt sasa...
 
Tanzania haiwezi kudhurika kwasababu ndo chanzo chenyewe alafu yanashuka uko Ethiopia apo misri anahaki yakupigana kwasabu lazima kina cha maji kitapungua sana misri.
 
Huo ni ujinga, Misri alishwahi kutuzuia eti tusipeleke maji ya ziwa victoria kwa wananchi wa Tabora, hata sijui walipata wapi jeuri ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu, very arrogant, ila Lowassa aliwanyoosha, wakatulia

Hivi maji yalifikia?
 
Huu ugomvi wa maliasili ni mgumu sana.

Huwa nafikiria (theoretically tu) hivi Misri akitutaka tuzuie maji kutoka Victoria yasitiririke kwenda kwake, tutayapeleka wapi? Au tunachimba mto yaende Tanga? Baharini?

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeshawahi kuliongea hili siku za nyuma, na hapa narudia kuongea mawazo yangu yale yale yenye elements za Kibeberu, ambayo naamini hata ndugu yangu Kataskopos sometimes huwa anajiuliza "hivi huyu blaza sometimes huwa ankulaga ule mmea?"

The answer is YES, sometimes nakulaga ule mmea, na ndio maana bila aibu wala soni hapa narudia tena kwamba tunatakiwa kumuunga mkono Egypt na sio Ethiopia!!

Sio unamuunga mkono wazi wazi bali tunajifanya ni namna gani Tanzania tulivyo binadamu; na ni namna gani tunatakiwa kutanguliza ubinadamu kwa Egypt ambao hawana chanzo chochote cha maji cha uhakika zaidi ya Mto Nile!

Hapa tunajifanya kulia ni namna gani maisha ya Wamisri yanavyoweza kuvurugika pasipo na Mto Nile wenye maji ya kutosha!!

Kwamba, ujenzi wa Grand Ethiopian Renaissance Dam utaiathiri sana Blue Nile na hivyo kuleta janga kubwa kwa Egypt inayotegemea tu Nile! Sio tu itaathiri Egypt Livelihood bali pia inaweza kuathiri mazingira!!!

Tukifanya hayo kwa uchungu usiomithirika:-

Dunia itatushangilia kwa "ubinadamu" wetu!

Wanamazingira watatushangilia kwa jinsi tunavyojali mazingira!!

Waarabu na wenyewe watatushangilia kwa jinsi tunavyosimama na Warabu wenzao;

Kumbe:-

Deep inside tunalenga tu kuhujumu ufanisi wa Grand Ethiopian Renaissance Dam!!

How come tuchekelee tu kumuona Ethiopia anajenga mbwawa mkubwa kama ule ambao kimsingi lengo lake ni kutaka kuuza umeme kwa nchi za Afrika Mashariki?!

Kule Lindi na Mtwara kuna gesi ya kumwaga ambayo na tukipata Visionary Leaders, itatuwezesha kuwa wauzaji wakubwa wa nishati ukanda huu wa Afrika!!!

Grand Ethiopian Renaissance Dam ni threat kwa hiyo fursa, kwahiyo mawazo ya kibeberu yanahitajika kuwahujumu Wahabeshi!!

Hapa hapa nilishauri "tuwaunge mkono" ndugu zetu Wakenya baada ya kuzuka taarifa kwamba Wachina wanataka kupokonya Bandari ya Mombasa ili kufidia deni lao!!

Kwamba tupinge uharamia huo wa Uchina wa kutaka kuwanyang'anya ndugu zetu Wakenya Bandari waliyoirithi toka kwa Mababu wa Mababu zao!!!!

Watu hawakunielewa! Hawakunielewa kwa sababu hawawezi kuelewa what would happen kwa Dar es salaam Port endapo Mchina atakuwa ndie operator wa Mombasa Port!!

Na kwahiyo sitashangaa na hapa tena nisipoeleweka kwa sababu si kazi ndogo kuelewa what will happen endapo Ethiopia anakuwa ndie Energy Giant kwenye ukanda huu wa Afrika!!

Energy can be used as a weapon in geopolitics!!

Leo KE anatufungia tu mpaka kwa sababu anaamini hatuwezi kumbabaisha!!

Kinyume chake, hata kama ONLY 10% ya Mombasa and Nairobi Residents depend on energy from Tanzania; hapo KE kabla hawajatufanyia unyang'au wowote watakuwa kwanza wanajiuliza "...lakini na hii mijamaa haitafunga zile valves zinazoleta gas Nairobi and Mombasa?!"

Tuwaunge mkono Misri!

Misri ni ndugu zetu! Ni ndugu zetu kwa sababu ni Waarabu! Waarabu ni ndugu zetu kwa sababu Zanzibar pia kuna Waarabu! Hata huku Tandika pia tunaishi na Waarabu lakini hakuna Mhabeshi hata mmoja!

NIMEMALIZA!!!!

Asee!
 
Nakumbuka Mjerumani alikataa kuhusishwa na mgogoro kuhusu ziwa Nyasa
Ujerumani ilikuwa inatambua ziwa Nyasa kama sehemu ya Malawi. Hata kwenye ramani zao wanaonyesha hivyo, hata ramani iliyokuwa displayed ubalozini kwao ilionekana inaonyesha Nyasa ni ya Malawi. Ndo maana dunia mzima inaliita lake Malawi.
Sijui kwa sasa GER wana msimamo gani.
 
We jamaa bana

Sinai Ni sehemu ya Egypt kwa Sasa, baada ya Israeli kurudisha

Camp David Accords ilitoa assurance ya Egypt kuwa anaitambua Israel na hataungana Tena na Waarabu wenzake kuivamia Tena,

Pia Kama unafahamu mgogoro wa Israel na Palestine huwezi kusema eti Egypt kuitambua Israel hakuna tatizo, Israel Waarabu wote wanaiona inaikalia kimabavu Ardhi ya Palestine na haitakiwi ku exist kabisa, na ndio maana nchi za Kiarabu ziliungana na kuivamia Israel

So Egypt kuitambua Israel Ni Kama anasaliti Ile Sababu iliyofanya nchi za Kiarabu kuivamia mwaka 1967

Pia Kama unafahamu Historia vizuri, baada ya Camp David Accords, Egypt alifukuzwa kwenye Arab League kwa kwenda kinyume na nchi nyingine za Kiarabu kuhusu Israel & Palestine

Pia huyo Rais wa Egypt, Sadat aliyeingia mkataba wa Camp David aliuawa na wananchi wenye hasira kwa Sababu aliidhalilisha nchi

Egypt inaweza kuwa nchi yenye nguvu Africa Ila Duniani Ni nchi ndogo sana
Sasa kama Egypt ni nchi ndogo sana duniani na ni kubwa Afrika, Ethiopia iko Asia?


Then Anwar Sadat hakuuwawa na wananchi wenye hasira kali. Au unamaanisha wananchi wa Misri wanaruhusiwa kumiliki assaurt rifles tena kwenye sherehe za kitaifa.
 
Ujerumani ilikuwa inatambua ziwa Nyasa kama sehemu ya Malawi. Hata kwenye ramani zao wanaonyesha hivyo, hata ramani iliyokuwa displayed ubalozini kwao ilionekana inaonyesha Nyasa ni ya Malawi. Ndo maana dunia mzima inaliita lake Malawi.
Sijui kwa sasa GER wana msimamo gani.
Ujerumani analitambua kama Ziwa Malawi (Milki ya Malawi).

Uingereza analitambua kama Ziwa Nyasa na Ziwa Malawi upande wa Malawi (Milki ya Tanzania na Malawi).
 
Hizo propaganda sijui umezitoa wapi, Misri haijawahi kumpiga Israel na alishapigwa vibaya mno Hadi Israel akaikalia sehemu ya Misri (Sinai)
Israeli occupation of Sinai - Wikipedia

Misri akaomba msaada kwa Marekani amuombee kwa Israel ili window majeshi Sinai, moja wapo ya masharti Ni Misri kuitambua Israel Kama nchi, na Hadi leo Misri ndio Taifa pekee la Kiarabu linaloitambua Israel Kama nchi

Hiyo Yom Kippur war ilikuwa Ni Vita ya Egypt na Syria kutaka kukomboa maeneo yao ambayo waliporwa na Israel (Sinai and Golan Heights) kwenye Six Days War, hata hivyo walishindwa, hadi USA akaja kuwapatanisha

Kuna Hadi Rais Nasser walimuua kutokana na Hili la kudhalilishwa na kuwapigia magoti Mazayuni

Misri anaweza akawa anakimbiza hapa Afrika Ila Duniani Ni mtu mdogo Sana, hata hapo Uarabuni mwenyewe Ni mtu mdogo sana

Hapo ndio najiuliza sisi weusi tunakwama wapi?
 
Back
Top Bottom