Hizo propaganda sijui umezitoa wapi, Misri haijawahi kumpiga Israel na alishapigwa vibaya mno Hadi Israel akaikalia sehemu ya Misri (Sinai)
Israeli occupation of Sinai - Wikipedia
Misri akaomba msaada kwa Marekani amuombee kwa Israel ili window majeshi Sinai, moja wapo ya masharti Ni Misri kuitambua Israel Kama nchi, na Hadi leo Misri ndio Taifa pekee la Kiarabu linaloitambua Israel Kama nchi
Kuna Hadi Rais wao walimuua kutokana na Hili la kudhalilishwa na kuwapigia magoti Mazayuni
Misri anaweza akawa anakimbiza hapa Afrika Ila Duniani Ni mtu mdogo Sana, hata hapo Uarabuni mwenyewe Ni mtu mdogo sana