Mikataba ambayo pande zote tunakubaliana nayo haina shida, especially mipaka, ila kwa amabayo hatukubaliani nayo, waingie vitani kama wako tayari, au la tukae chini tuzungumze, uamuzi ni wao hao Egypt, na kwakuwa Egypt anataka kutumia huo mkataba kukandamiza nchi zingine zote, basi awe tayari kupigana nazo zote vita, maana hata sisi tulishaletewa vikwazo wakati tunajenga mradi wa maji wa ziwa victoria kwenda mikoa ya kaskazini, the agreement defies logic, its nonsensical, tutaingia vitani au laa wakubali mazungumzo kuvunja huo mkataba