Tanzania iwe upande gani Kama Ethiopia na Misri zinapigania maji ya mto Nile?

Tanzania iwe upande gani Kama Ethiopia na Misri zinapigania maji ya mto Nile?

Wakidundana, tutarajie USA kumpa msaada mkubwa Egypt.
Egypt ndilo taifa la 2 nyuma ya Israeli kupokea misaada kutoka Marekani. Israeli ndio buffer zone, stabilizer katika Mashariki ya Kati. Uhai na ulinzi wa Israeli dhidi ya waarabu unalitegemea Egypt. Hivyo Egypt in silaha na ujuzi wa kufa mtu
 
Mnao ibeza Egypt kijeshi niwakumbushe tu kuna zile Mistral combat helicopter carrier Russia alikuwa ameweka oda kuzinunua Ufaransa baadae akazingua, aliekuja kuzinunua ni Egypt. Ni taifa linaweza kuprocure chochote wanachoweza mataifa makubwa. Sio nchi fulani ya kijima ambayo unahisi vitani na Ethiopia watapigana kwa mawe, matusi, uchawi na majini.
Kikubwa taasisi na mataifa asa ya Afrika yaongeze juhudi za kidplomasia ili huu mzozo uishe kibingwa maana sioni Tz tunafaidikaje na huu ugomvi
Mkuu hata kuyasambaza maji ya ziwa Victoria kwenda mwanza, shinyanga, dodoma, tabora pia Ni makosa , tumevunja sheria hiyo ya 1919s, inawezekana siku tukapewa adhabu au kuambiwa acheni Mara moja.
 
sio silaha yoyote ambayo ni tishio kwa Ethiopia ambayo wanayo misri

mchakato hapa ni kuipiga Ethiopia na iwe koloni ili isijaze maji kwenye bwawa au watumie air force yao kushambulia bwawa (hit and run)

sioni ndege ambazo zinaweza kutekeleza hiyo mission bila kudunguliwa

alafu hawa Ethiopia army huwa wanafanya mazoezi kwa kudungua ndege za kenya in Somalia unajua kwa nn ?
Ethiopia Ni wabishi pia tangu enzi za Mfalme Menerik I, nitaifa ambalo halikutawaliwa, nitaifa la wabishi. Ni taifa kakamavu, Ni taifa la kupigana
 
Acha kufananisha mipaka na maji ni upuuzi ulip tukuka yani mto upite kwako usitumie maji eti kisa hayo maji yanaenda kwa jirani yako uwo si ujinga uwo maji tutatumia wote kama utaki nitumie yapitishe angani bac na sio kwenye ardhi yangu...
Malawi walitakaga kuleta huo usenge. Eti Ziwa Nyasa LOTE ni la kwao, kwamba hata upande ambako kuna pwani ya Tanzania ukitaka kupiga mswaki, kuvua au kuoga tu ziwani mpaka uombe kibali Malawi
 
Tz tutakuwa kama kawaida yetu unafki(NAM) ila in deep tutakuwa upande wa misri kwa sababu bwala la Ethiopia ni mshindani wa bwawa letu so sisi hapa tutaombea Ethiopia ashindwe ili tuwe wauzaji wakubwa wa umeme ukanda huu

kingine ambacho hakisemwi ni kuwa misri wametupa offer nyingi mno kwenye ujenzi wa bwawa letu ili tuwe upande wao
Umeongea neno...!kwa maslahi mapana ya nchi, itabid tuwe upande wa Misri
 
Ethiopia Ni wabishi pia tangu enzi za Mfalme Menerik I, nitaifa ambalo halikutawaliwa, nitaifa la wabishi. Ni taifa kakamavu, Ni taifa la kupigana
watu wanawachukulia Ethiopia simple lkn hawajui kuwa kabla ya kufanya uamuzi wa kujenga bwawa tayari walikuwa wanajua nguvu ya misri ila wakajenga so kuna kitu wanajivunia

na kama miezi miwili iliyopita waliunda kikosi maalumu kwa ajiri ya ulinzi wa hilo bwawa wamechukua battalion nzima na imeanza kupewa bujeti yake
 
Ethiopia sio kama Tz, iko vizuri ni miongoni mwa base kubwa za jeshi la America duniani. Na kwa vita hawajambo kumbuka hawajawahi kutawaliwa na wakokloni
Mkuu katika dunia ya sasa hivi hizo mbwembwe na hadithi za zamani zilisha pitwa na wakati.
Narudia tena kiuhalisia Ethiopia hana ubavu hata kidogo wa kijeshi mbele ya Misri.
Jeshi la Misri ni kati ya jeshi la kisasa na lenye nguvu, mkuu lina silaha za kisasa ambalo Ethiopia ina hitaji miaka mingi kuwa na jeshi la namna hiyo.
Eti Ethiopia sio kama tz? hebu nitajie ni silaa gani aliyo nayo Ethiopia alafu Tz hatuna.
Jeshi la misri lipo kwenye levo za akina Uturuki ,Israel,Iran na sio nchi kama Ethiopia mkuu.
 
Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.

Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.

Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.

Kwenye ugomvi huu Ni vema Tanzania ikaunga mkono upande upi na kwasababu gani?

Upande wa Mashariki
 
Ethiopia msimbeze kivita yuko vizur sana
Mkuu hakuna anaye ibeza ila unatakiwa kuangalia mazingira ya hiyo vita, misri na Ethiopia hawa jashea mipaka kwa hiyo vita itakuwa ya angani.
Linapo kuja suala la jeshi la angani Ethiopia hana maajabu yeyote mbele ya Misri.
Misiri ni kati nchi yenye jeshi la anga la kisasa na lenye nguvu sana mkuu.
Lakini pia Misri ina meli za kivita kwahiyo ana uwezo pia wa kushambulia kutoka baharini.
Ninacho ona hapa Ethiopia inataka kutujazia wakimbizi tu japa na si kingine.
 
Ethiopia sio kama Tz, iko vizuri ni miongoni mwa base kubwa za jeshi la America duniani. Na kwa vita hawajambo kumbuka hawajawahi kutawaliwa na wakokloni
Mkuu umechanganya madesa. Kwa ukanda ule America ana base Djibout(Africom), labda base ya Ethiopia kaijenga leo baada ya kuanza haya mabishano
 
Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.

Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.

Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.

Kwenye ugomvi huu Ni vema Tanzania ikaunga mkono upande upi na kwasababu gani?
Ungetoa sababu za msingi za Tanzania kuegamia upande kati ya nchi hizo mbili.
 
Maji yangu unipangie jinsi ya kuyatumia.

Misri wapumbavu sana.

Kama wanashida ya maji wageuze bahari chanzo chao cha maji.

Waache Waethiopia wafanye watakacho. Mto Nile ni baraka ya Mungu. Hatuna mwenye mamlaka na huo mto.
... pia kingine ni wakati muafaka kwa Misri kuwa na proper birth control kuhakikisha population yao ni proportional na resources ya (sio za) maji waliyo nayo - The Nile. Wanajua the only water source waliyo nayo ni hiyo for everything drinking, industrial, irrigation, etc. whatever you name halafu kwa kuzaliana hawajambo; I think third in Africa after Nigeria and Ethiopia. Wawe na mpango wa makusudi wa kudhibiti ongezeko la watu vinginevyo soon itakula kwao hata ya kunywa watayakosa wakifanya mchezo.

Mkuu RTI kasema Ethiopia wasijitoe ufahamu kujipima kifua na Misri ni kweli, Misri wako mbali kijeshi kuliko Ethiopia, lakini hata wakipigwa leo hawatalala nao watakuwa na mpango wa muda wa kati na mrefu 25, 50, 100 years kuja ku-retaliate. Ni kama China, Iran, NK leo wanavyotunishiana misuli na US wakati miaka michache iliyopita walikuwa si lolote.

So, in the long run, millitary approach might not be useful for Egypt, badala yake mipango madhubuti ya kuendana na resources zitakazokuwa zinapatikana by then. Of course hii inahusu nchi zote sio kufyatua fyatua ovyo wakati unajua resources za kulisha na kunywesha watu wako ni finyu.
 
watu wanawachukulia Ethiopia simple lkn hawajui kuwa kabla ya kufanya uamuzi wa kujenga bwawa tayari walikuwa wanajua nguvu ya misri ila wakajenga so kuna kitu wanajivunia

na kama miezi miwili iliyopita waliunda kikosi maalumu kwa ajiri ya ulinzi wa hilo bwawa wamechukua battalion nzima na imeanza kupewa bujeti yake
Wakati wanawekeza kwenye huo mradi walijuwa kuwa uko mkataba wa 1919s, lazima sio wajinga kiasi hiko
 
Kwamba kuna tech anaweza kui afford Israel Egypt ikamshinda? Miaka ya 70 Mexico(kama sikosei) walijenga plant ya kubadili maji bahari kuwa maji baridi hapa Tz kwa ombi la Nyerere halafu leo Egypt ashindwe ku afford gharama za hiyo teknolojia! Sidhani labda wana sababu zingine za kwanini hawafanyi ila haiwezi kuwa gharama
... kwa small scale for home and industrial use that might be possible. Shida ni kwenye irrigation; ku-treat maji ya bahari upate billions of liters per day kumwagilia mashamba tena kwa mazingira kame ya jangwani sio lelemama. Pia utahitaji nguvu kubwa mno kuyapandisha kutoka low altitude (baharini) kwenda high altitude (mashambani) wakati Nile ni "free fall" and fresh by nature; nature ni nature tu Mkuu.
 
Chanzo cha mto Nile kiko Ethiopia lakini hao Wapuuzi wa Misri hawataki Ethiopia ineemeke na neema hiyo. Mie naunga mkono Ethiopia kutumia chanzo cha mto huo vyovyote vile wapendavyo tena wamechelewa sana.

Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.

Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.

Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.

Kwenye ugomvi huu Ni vema Tanzania ikaunga mkono upande upi na kwasababu gani?
 
Kweli, utu na ubinadamu ndio uwe muongozo. Pia Misri anatakiwa kuacha vitisho akubali kukaa meza ya mazungumzo na Ethiopia.

Wote hao wakumbuke White Nile ndio yenye mchango wa asilia 72 katika kupatikana Great Nile.
... hapo kwenye red; Ethiopia naye mbishi ameombwa mara kadhaa ila kwa kuwa anajua kashika mpini analeta ubishi. Mara kibao ameitwa kwenye meza ya mazungumzo haendi.

... hapo kwenye blue; hapana, mchango wa White Nile unaoanzia L. Victoria ni roughly 15% only; share kubwa ni Blue Nile (Ethiopia) about 85%. Katika jiografia enzi hizo nakumbuka kulikuwa na swali maarufu la "why floods occur in lower Nile (Egypt) in the months of August and September?" Because, rain season in Ethiopia is in June to August so by August and September the Blue Nile waters reach Egypt. Nakumbuka kujibu hili swali kwenye papers ya mchujo FII miaka hiyo! Nashukuru liliniepusha kukariri darasa; haha haha!
 
Back
Top Bottom